Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
Umenena mkuu...
Mtaishia kwenye uroda tu! Kuoana hakuta dumu!!
ninavyofahamu karne hii hakuna taboos lol
Big Boss unasapoti hii
kama ningekuwa Amina.......shemeji halali yangu.....
Jamani mbona wakinadada mnajiaminisha sana kwetu!?Mi nadhani kuliko kuendelea kuumia bora amwambie huyo shemeji yake kuwa anampenda!Na shemeji kwa busara zake atamkataa kistaarabu(kwani c lazma dada akikwambia anakupenda ukubali).baada ya hapo dada atatulia.But akikaa kimya asimwambie kitu na shemeji anaendelea kumtembelea nyumbani kwake oneday(watasema shetani katupitia).Pole sana dadangu