Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
Umenena mkuu...
Kweli kabsa mume wake atapata sababu ,atajitetea kuwa aliona mdogo wake amabaye ni shem yake Amina alikua ana uhudiano ndo maana alimtekeleza na jamii ikiangalia kweli shem alikua anahudumia ,hapo avute subira atapata mtu atakayempenda na kumjali aachane na kumfeel shem wake