Nahitaji nyama ya panya Arusha!

shukran kwa maelezo mazuri. Kama unaweza kunipatia tuongee bei.
 
Mkuu njoo nakapanya mtwara upate Nyama za kutosha (natania tu 🤣)
 
kuna mkurya alikua anafuga panya mende nyoka. alikua ana export. yule jamaa alikua bandidu. nasikia alishafariki na business ikafa watoto wakachoma moto biashara in the name of dini inakataza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…