Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Wengine hatuli chakula cha nyau.Nahitaji wao wanitumie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine hatuli chakula cha nyau.Nahitaji wao wanitumie.
Ajira ipo kwenye ubunifu tu. Nimeleta hili ili watu wajio
Wengine hatuli chakula ch
Twende kwenye namba ya Whatsapp nimeiweka hapo.Kuna stoo ya mahindi huwa tunawaua kwa sumu wengi tu we nielekeze uko wapi nikuletee mmoja ntakuuzia elfu 3 uhakika wa kupata watano kila baada ya siku mbili upo
Uliyeagiza nyama kuna swali huku.Panya analiwa kwan
Aliyeuliza atakuwa mtoto nadhani.Uliyeagiza nyama kuna swali huku.
Mmh! Sa Mkuu hiyo sumu haitakuwa na madhara kwa walaji?Kuna stoo ya mahindi huwa tunawaua kwa sumu wengi tu we nielekeze uko wapi nikuletee mmoja ntakuuzia elfu 3 uhakika wa kupata watano kila baada ya siku mbili upo
Nadhani amemaanisha ataacha kuwatega kwa sumuMmh! Sa Mkuu hiyo sumu haitakuwa na madhara kwa walaji?
Ooh! Sawa Mkuu.Nadhani amemaanisha ataacha kuwatega kwa sumu
Watu wanakula dog unashangaa panya, mpaka mende watu wanakula.Panya analiwa kwan
Mbinu za kuwakamata zinabadilishwa namletea wazimaMmh! Sa Mkuu hiyo sumu haitakuwa na madhara kwa walaji?
Hii comment Nimeona unaleta utani. Unatuchora.Waliochinjwa na kuchunwa tu. Wawekwe kwenye friji/barafu na kutumwa kwangu. Kama unaweza nipe bei kwa kilo.
Anaweza kuwa ni nyau alitaka kudowea mlo.Aliyeuliza atakuwa mtoto nadhani.
Mmemaliza paka na mbwa, sasa mnaamia kwenye panya!! Walevi wa baa kazi wanayo.Najua inaweza kuwa kama kichekesho lakini najua sehemu nyingi za Tanzania hasa mikoa ya kusini nyama ya panya ni kitoweo kituzi tu.
Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445.
Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh.
Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thread hii.
Kwanza huyo hajawahi kufika Arusha, hapajui hata kwa Morombo.Chai...
Ooh! Hapo sawa Mkuu.Mbinu za kuwakamata zinabadilishwa namletea wazima
Vipi nikuletee na wewe?Ooh! Hapo sawa Mkuu.
Hahahaaa. Hapana Mkuu.Vipi nikuletee na wewe?
Mkuu kama Iko serious nikiagizie, niko Arusha piaNajua inaweza kuwa kama kichekesho lakini najua sehemu nyingi za Tanzania hasa mikoa ya kusini nyama ya panya ni kitoweo kituzi tu.
Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445.
Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh.
Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thre