Unatoa 065
vip kwa sis wenye Phd tunaruhusiwa kuapply pia, maana nimeona MBA zip
vip kwa sis wenye Phd tunaruhusiwa kuapply pia, maana nimeona MBA zip
Khaa..! Sielewi hapa.Sifa nnazohitaji:
Khaa..! Sielewi hapa.
Wewe ndio unamahitaji halafu wewe ndio una masharti.
Wewe si ndio unataka mtu wa kukulea? Sasa kwa nini mkunaji ndio niwekewe masharti wakati wewe ndio unawashwa?
Nakushauri papaa la kichagga sio la kulea ni la kukunyweshwa bia na nyama choma
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
je? 22 age
nikulee mi baba ako?
dah, nimekosa deal hivihivi!