Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #61
Njaa mbaya sana...napita tu
kumbe nawe unajua njaa mbaya goood!!!
pita huku mlango wa nyuma upotee kabisa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa mbaya sana...napita tu
Utampata tuSifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
23kwani wewe una miaka mingapi?
😁😁😁😁😁😁 sio tu papaaAkuuuu ndo maana nikasema nahitaji papaa
tena sio tu papaa ila wa kunilea!!!!!!!
Una passport?natafuta papaaa wa kunilea 😁😁
nina namba ya NIDA 😁😁😁Una passport?
Unatumia Pombe ama kilevi chochote?
Kumbe ubahili ni toka kitambo?walivyo wabahili sijui kama utapata kweli?
Hii offer Bado ipo 😊☺️Sifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Hii offer Bado ipo...Ila TU asije kua kausha damu.Shost! Wameifufua
Mke umemtupa?🥴Hii offer Bado ipo 😊☺️
uwe na MBAHii offer Bado ipo...Ila TU asije kua kausha damu.
Wakati mi nshaokoka 😹Shost! Wameifufua
🤣🤣Hili balaa aisee...futa weka nuktaWakati mi nshaokoka 😹
Na apply MBAMke umemtupa?🥴
Uzi uachwe Kama ulivyo .🤣🤣Hili balaa aisee...futa weka nukta
All the best👍Sifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Means... Married but available ( MBA)😉 😉 😉uwe na MBA