Nahitaji papaa wa kunilea......!

Nahitaji papaa wa kunilea......!

Sifa nnazohitaji:

Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....

Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana

wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Ulishapata.. kipindi hicho nilikuwa sio mubaba sasa hv mimi ni mubaba na ni pedeshee
 
Sifa nnazohitaji:

Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....

Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana

wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Ulishampata? Kama bado nipe nafasi ya kukukaza pasije pakaziba
 
Eti Nimejaribu ku figure out hiyo papa, ni nene au nyembamba. 😂😂😂
images (10).jpeg
 
Back
Top Bottom