Cards Fantasy
Senior Member
- Nov 3, 2016
- 192
- 111
Habari za Leo Wanafamilia!
Pole na Majukum, Mm naitwa Hussein, naishi Tandika Magorofan, nna miaka 34, nna mke na watoto watatu.
Nnajishughulisha na Ufugaji, utengenezaji dawa za Asili za Kuku na uuzaji wa Kuku, kwa Sasa nimejikita zaidi kwenye Kuku wa nyama kwa kuwanunua directly kwa Wafugaji wengine au sokoni, kuwapack na kuwauuza mahotelini, mabuchani au kwenye migahawa kwa taratibu za kulipana on delivery au on credit ambapo wengi hupenda style hii.
Kutokana na kuongezeka kwa soko, na wateja wakubwa wakibaki wale wa credit imenilazimu kusaka mshirika wa kufanya nae hii biashara ili tugawane kwa kile kinachopatikana.
Mshirika atakuja kuongeza nguvu ya freezer mbili na capital ya kununua Kuku wastani 400 kila week. Ambapo nakusudia kuwe na collection point maeneo ya Kigambon, maana ukanda ule nao umebarikiwa Wafugaji wengi na nimeishi kule kipindi nafuga maeneo ya Dege.
Kwa wastani Mshirika atapaswa kuwa na capital ya Tsh Mil 3.5 Hadi Mil 5. Au wakipatikana Wawili itakuwa vzr zaidi kila mmoja atachangia pale mkono wake utakapoweza jikuna.
Wastani wa faida kwa mwezi tukitoa gharama za uendeshaji ni 10% ya capital ya kila Mshirika. Tunaweza fanya contract ya miezi 6 na kuendelea kulingana na mapenzi ya Mshirika.
Unaweza chukua capital yako kwa kutoa notice ya siku 30 kabla ili kwa mwezi husika usiwe included kwenye mgao wa faida.
Naimani mengine tutayaweka sawa pindi tukikaa mezani.
Natanguliza Shukran Sana.
Kwa mawasiliano Zaidi,
0784 645 900
0624 7400 12
Unaweza pitia fb na Instagram kwa Kukucaretz na Sokoni fresh Tz.
Pole na Majukum, Mm naitwa Hussein, naishi Tandika Magorofan, nna miaka 34, nna mke na watoto watatu.
Nnajishughulisha na Ufugaji, utengenezaji dawa za Asili za Kuku na uuzaji wa Kuku, kwa Sasa nimejikita zaidi kwenye Kuku wa nyama kwa kuwanunua directly kwa Wafugaji wengine au sokoni, kuwapack na kuwauuza mahotelini, mabuchani au kwenye migahawa kwa taratibu za kulipana on delivery au on credit ambapo wengi hupenda style hii.
Kutokana na kuongezeka kwa soko, na wateja wakubwa wakibaki wale wa credit imenilazimu kusaka mshirika wa kufanya nae hii biashara ili tugawane kwa kile kinachopatikana.
Mshirika atakuja kuongeza nguvu ya freezer mbili na capital ya kununua Kuku wastani 400 kila week. Ambapo nakusudia kuwe na collection point maeneo ya Kigambon, maana ukanda ule nao umebarikiwa Wafugaji wengi na nimeishi kule kipindi nafuga maeneo ya Dege.
Kwa wastani Mshirika atapaswa kuwa na capital ya Tsh Mil 3.5 Hadi Mil 5. Au wakipatikana Wawili itakuwa vzr zaidi kila mmoja atachangia pale mkono wake utakapoweza jikuna.
Wastani wa faida kwa mwezi tukitoa gharama za uendeshaji ni 10% ya capital ya kila Mshirika. Tunaweza fanya contract ya miezi 6 na kuendelea kulingana na mapenzi ya Mshirika.
Unaweza chukua capital yako kwa kutoa notice ya siku 30 kabla ili kwa mwezi husika usiwe included kwenye mgao wa faida.
Naimani mengine tutayaweka sawa pindi tukikaa mezani.
Natanguliza Shukran Sana.
Kwa mawasiliano Zaidi,
0784 645 900
0624 7400 12
Unaweza pitia fb na Instagram kwa Kukucaretz na Sokoni fresh Tz.