Nahitaji Pharmacy (duka la dawa) linalouzwa Kigamboni

Nahitaji Pharmacy (duka la dawa) linalouzwa Kigamboni

Rich Dad

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
748
Reaction score
135
Kwa mwenye kuuza duka la dawa kigamboni nahitaji. Iwe ni biashara yenye vibali vyote muhimu na pia unioneshe daftari la mauzo na location iwe nzuri ya kueleweka.

Nicheki inbox tuzungumze zaidi.
 
Back
Top Bottom