Nahitaji POS ya NMB kukodi au kununua

Nahitaji POS ya NMB kukodi au kununua

Rurakha

Senior Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
122
Reaction score
224
Habari mimi ni wakala nahitaji mwenye machine ya uwakala ya NMB aliepo dar es salaam offer ni 700k kununua na kama mtu anayo basi niko tayari anikodishe ntampa 30% ya kamisheni itakayopatikana taratibu za kisheria za makabidhiano zitazingatiwa nakaribisha pm
 
Sim Banking ninayo nimeambulia kamisheni ya 38000 kwa mwezi wateja wengi wanataka pos na NMB wapo local sana
 
Bank hairuhusu hicho kitu mzee ni kinyume na mkataba, utaratibu unasema aliekabidhiwa airudishe ndio upewe wewe,sasa akirudisha adi upewe mtihani mwingine
 
Ndio hivyo tunaingia makubaliano na mwenye POS nitumie kwa muda ila asante sana kwa kunifahamisha
 
Awa jamaa wanazingua sana naona wanataka biashara ya uwakala ife tofauti na hapo sijui nani alishauri ili jambo, kwa watanzania walivyo kumshawishi mtu kutoa kwa simu anaona kama unataka kumwibia kingine mpaka uwe na Tsh Mia hapo ndio mteja anachanganyikiwa na kuondoka zake
 
Mimi napoteza mamia ya wateja na hawataki kuwa na flexibiloty ni Benki ya kishamba sana basi watengeneze hata application
 
Back
Top Bottom