Car4Sale Nahitaji Premio New Model

Car4Sale Nahitaji Premio New Model

Wandugu wa JF ninahitaji kununua Premio New Model no D. Iwe na CC 1500. Bei isizidi Million 9. Tafadhali nitumie msg kwenye PM kama una gari ya aina hiyo na ipo kwenye hali nzuri
Kwa bei hiyo subili wakuletee zile wanatoa wanakozitoa na kukubambikia namba uhangaike na kamanda sirro
 
numesoma comments humu nimebaki mdomo wazi, kikawaida kabisa tuna amini wengi waliojiunga na JF ni intellectuals lakini kwa comments hizi kutoka kwenye hii post basi kama taifa tuna safari ndefu sana.
post inazungumzia ujitaji wa gari iliyotumika nchini yenye namba kuanzia D , lakini wanaocomment wanaanza tena kuleta story za kuagiza gari, hivi mnasomaga kwanza post au kukurupuka tu kucomment? kwa hyo bei unaweza pata mkononi mwa MTU ila ikague vizuri gari kabla hujaamua kuinunua!
Ukifuata comments za humu ndani unaweza shindwa kununua unachotaka. Ila ndani ya hawa hawa watoa comments wapo walio serious na biashara na vitu vinauzika na kununulika. Just read between comments
 
Wandugu wa JF ninahitaji kununua Premio New Model no D. Iwe na CC 1500. Bei isizidi Million 9. Tafadhali nitumie msg kwenye PM kama una gari ya aina hiyo na ipo kwenye hali nzuri
Ukiipata kwa specification hizo mshukuru Mungu.
 
IPO Subaru
443569e8439e22142b24baf081883044.jpg
 
Back
Top Bottom