Kwa bei hiyo subili wakuletee zile wanatoa wanakozitoa na kukubambikia namba uhangaike na kamanda sirroWandugu wa JF ninahitaji kununua Premio New Model no D. Iwe na CC 1500. Bei isizidi Million 9. Tafadhali nitumie msg kwenye PM kama una gari ya aina hiyo na ipo kwenye hali nzuri
Ukifuata comments za humu ndani unaweza shindwa kununua unachotaka. Ila ndani ya hawa hawa watoa comments wapo walio serious na biashara na vitu vinauzika na kununulika. Just read between commentsnumesoma comments humu nimebaki mdomo wazi, kikawaida kabisa tuna amini wengi waliojiunga na JF ni intellectuals lakini kwa comments hizi kutoka kwenye hii post basi kama taifa tuna safari ndefu sana.
post inazungumzia ujitaji wa gari iliyotumika nchini yenye namba kuanzia D , lakini wanaocomment wanaanza tena kuleta story za kuagiza gari, hivi mnasomaga kwanza post au kukurupuka tu kucomment? kwa hyo bei unaweza pata mkononi mwa MTU ila ikague vizuri gari kabla hujaamua kuinunua!
Ukiipata kwa specification hizo mshukuru Mungu.Wandugu wa JF ninahitaji kununua Premio New Model no D. Iwe na CC 1500. Bei isizidi Million 9. Tafadhali nitumie msg kwenye PM kama una gari ya aina hiyo na ipo kwenye hali nzuri
Kuwa nao makini hao huwa wanauza hata ukihitaji plot maeneo ya Lugalo BaracksSawa. Ila kuna watu wanakuja inbox kiongozi
nipo makini sana kamandaKuwa nao makini hao huwa wanauza hata ukihitaji plot maeneo ya Lugalo Baracks
BadoUshapata Gari au bado
Ova