winneza shacool
Member
- Apr 24, 2018
- 17
- 9
- Thread starter
-
- #41
....huu Uzi hauna uhusiano na hicho unachokiwazaKwa ajiri ya Diaspora
....ahahahahaNa sisi wa Syria na Afghanistan tunakubalika?
....πππππKwa hyo sisi wazalendo hatufai
....umri wa nini tena hapa??Una umri gani?
....yeah kiasiJe wewe una huo uzoefu?
[emoji23][emoji23][emoji23] Hujaacha tu mambo yakoChura ipo?
[emoji23][emoji23][emoji23]kisa mwendokasi unafika unahisi ni dispora kipenzi? unajua sijaribiwi kama JIWE
....mm sikuweka mipaka,labda soma tena uziNini tofauti kati ya abroad na diaspora?
Kama kuna tofauti......,
diaspora inaanzia wapi? Maana ata msumbiji ni abroad
....hope so...Kwa hyo sisi wazalendo hatufai
Nipo natokea Morroco nipo safarini naelekea Palestina kwa sasa, niliwahi kukaa Vaticani, na Sudan kama huna ubaguzi you are most wellcome, ila zote hizo ni za hapa hapa mitaa ya Dar, kama hutajali