puppa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 379
- 176
Teh teh....mdogo wangu utaambulia ma mama poa humu shauri yako
ngoja nikomae nae... apate mahaba mazito kutoka kwa kijana puppa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh....mdogo wangu utaambulia ma mama poa humu shauri yako
Unataka msomi wa wapi mama marekani, ulaya, india, kenya/uganda, udsm au saint kayumbani?????
Duh sisi wa 45 inakuaj3?au ndo haihu....si mnaemaga tunajua kulea ninyi?
Unataka msomi wa wapi mama marekani, ulaya, india, kenya/uganda, udsm au saint kayumbani?????
umeanza ubaguzi!
umeanza ubaguzi!
Popote ili mradi awe na Elimu tuweze kupeana mawazo ya maendeleo ya taifa
Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni
Unataka msomi wa wapi mama marekani, ulaya, india, kenya/uganda, udsm au saint kayumbani?????
Kumbe unatafuta mume kidijital bhana.
Popote ili mradi awe na Elimu tuweze kupeana mawazo ya maendeleo ya taifa
Hapa kataja elimu, ila tukijitokeza sisi walimu atatupotezea. Haya bana, kila la kheri.
Mabinti hawako huru kabisa unaweza kukuta anataka samaki lakini akaomba nyoka,maisha yalivyo kasi na upate shida ya kujibana khaaaaa..!unataka ubadilishane nae mawazo gani aaagghrrr.
Rafiki bana hahahahaha
Kwani walimu sio watu? Hawafai kuwa marafiki?
Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni