Nahitaji shamba la kununua

Nahitaji shamba la kununua

Njoo inbox Mkuu tuyajenge. Shamba lipo
 

Attachments

  • IMG_3406.jpeg
    IMG_3406.jpeg
    3.7 MB · Views: 29
IMG_8600.jpg

IMG_8653.jpg

Shamba ninalo lina rutuba ya kutosha linafaa kwa kilimo na ufugaji. Lina ukubwa wa heka 10 pia lina banda kubwa la kufugia
 
Samahan si wote tunajua lukobe ni wapi, hebu tunaomba ufafanuzi zaidi. Na bei million 2 Kwa shamba lote
 
LIPO MKENGE NJIA YA BAGAMOYO NINA HEKA 3 NAITAJI 3.5M NO DALALI +255715160365
 
Nahitaji shamba la kununua hapa morogoro mwenye shamba naomba anijulishe
Nina shamba nauza. Shamba lipo Morogoro Kijiji Cha Luwe, wilaya ya Mvomero.

Zipo ekari kumi zinauzwa zote kwa pamoja jumla tsh milioni sita tu (6M). Kama unahitaji ni PM
 
Back
Top Bottom