Nahitaji single mother

Nahitaji single mother

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
893
Reaction score
1,021
NAMTAKA SINGO MAZA

1 Nimehangaika sana, kuyatafuta mapenzi
Niliowapa amana, hata hawakuienzi
Nikapigwa dana dana, na kufanyiwa ushenzi
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

2 Aloumizwa ja mimi, huenda tukalandana
Hatusikizi akwami, wawili tukipendana
Tukuze wetu uchumi, mawazo kuliwazana
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

3 Kapita mingi mishale, hataogopa umande
Ajua haya na yale, kwa juhudi ajipinde
Mjuzi mambo ya kale, kucheza ngoma sikinde
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

4 Asiwe mwingi wa wana, hapo hapatanifaa
Ukimwona kama mwana, hutadhani kashazaa
Awe mmoja wa ujana, ndoa tutaiandaa
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

✍️Abuuabdillah
Whatsapp 0744883353
Kilimanjaro
 
NAMTAKA SINGO MAZA

1 Nimehangaika sana, kuyatafuta mapenzi
Niliowapa amana, hata hawakuienzi
Nikapigwa dana dana, na kufanyiwa ushenzi
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

2 Aloumizwa ja mimi, huenda tukalandana
Hatusikizi akwami, wawili tukipendana
Tukuze wetu uchumi, mawazo kuliwazana
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

3 Kapita mingi mishale, hataogopa umande
Ajua haya na yale, kwa juhudi ajipinde
Mjuzi mambo ya kale, kucheza ngoma sikinde
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

4 Asiwe mwingi wa wana, hapo hapatanifaa
Ukimwona kama mwana, hutadhani kashazaa
Awe mmoja wa ujana, ndoa tutaiandaa
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

✍️Abuuabdillah
Whatsapp 0744883353
Kilimanjaro
Umekuwa malenga wa JF au unataka kuoa kweli?
 
NAMTAKA SINGO MAZA

1 Nimehangaika sana, kuyatafuta mapenzi
Niliowapa amana, hata hawakuienzi
Nikapigwa dana dana, na kufanyiwa ushenzi
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

2 Aloumizwa ja mimi, huenda tukalandana
Hatusikizi akwami, wawili tukipendana
Tukuze wetu uchumi, mawazo kuliwazana
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

3 Kapita mingi mishale, hataogopa umande
Ajua haya na yale, kwa juhudi ajipinde
Mjuzi mambo ya kale, kucheza ngoma sikinde
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

4 Asiwe mwingi wa wana, hapo hapatanifaa
Ukimwona kama mwana, hutadhani kashazaa
Awe mmoja wa ujana, ndoa tutaiandaa
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

✍️Abuuabdillah
Whatsapp 0744883353
Kilimanjaro
Chukua huyu nilimzalisha mtoto mtoto mmoja huyu kanyooka vipengele uende navyo wew Tajiri 0715900949
 
NAMTAKA SINGO MAZA

1 Nimehangaika sana, kuyatafuta mapenzi
Niliowapa amana, hata hawakuienzi
Nikapigwa dana dana, na kufanyiwa ushenzi
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

2 Aloumizwa ja mimi, huenda tukalandana
Hatusikizi akwami, wawili tukipendana
Tukuze wetu uchumi, mawazo kuliwazana
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

3 Kapita mingi mishale, hataogopa umande
Ajua haya na yale, kwa juhudi ajipinde
Mjuzi mambo ya kale, kucheza ngoma sikinde
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

4 Asiwe mwingi wa wana, hapo hapatanifaa
Ukimwona kama mwana, hutadhani kashazaa
Awe mmoja wa ujana, ndoa tutaiandaa
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

✍️Abuuabdillah
Whatsapp 0744883353
Kilimanjaro
single maza wa watoto wangapi?

kuna single maza ana watoto watatu huku
 
Utakufa vibayaa kijanaa weweeee
FB_IMG_1735739435691.jpg
 
NAMTAKA SINGO MAZA

1 Nimehangaika sana, kuyatafuta mapenzi
Niliowapa amana, hata hawakuienzi
Nikapigwa dana dana, na kufanyiwa ushenzi
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

2 Aloumizwa ja mimi, huenda tukalandana
Hatusikizi akwami, wawili tukipendana
Tukuze wetu uchumi, mawazo kuliwazana
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

3 Kapita mingi mishale, hataogopa umande
Ajua haya na yale, kwa juhudi ajipinde
Mjuzi mambo ya kale, kucheza ngoma sikinde
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

4 Asiwe mwingi wa wana, hapo hapatanifaa
Ukimwona kama mwana, hutadhani kashazaa
Awe mmoja wa ujana, ndoa tutaiandaa
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

✍️Abuuabdillah
Whatsapp 0744883353
Kilimanjaro
Mashangazi tumefikiwaaa, yaan kuna mtu mmoja story ya kweli alikuwa jirani yangu kwenye estate moja niliyokuwa nakaa mahali fulani, alikuwa single mother akapata mpenzi wake aliyekuwa anamsomeshea mtoto na kumapangia nyumba estate hapo tena pazuri sana. Bills zote zake huyo jamaa. Kumbe dada anaendelea na mwanaume wake waliyezaa nae kama kawaida siku ambazo jamaa hayupo yule mzazi mwenzake na single mom anakaa hapo anakula kila kitu anachotoa yule baba. Siku moja yule baba alawasiliana nae usiku. Kesho yake anapigiwa simu kwamba alipot polisi kumbe yule mzazi mwenzake kamuua yule dada na simu ya mwisho polisi kutrace ni ya yule aliyule hawara. Ilikuwa msala sema tu jamaa alionekana yupo mkoani na akapata msaada.

Ninachotaka kusema jaman, masingle maza msiwachoshe wababa wa wawatu, ukupenda toa moyo wake mpe huyo baba habari za kusema sijui baba mtoto anataka kuongea na mwanae akome, amsubiri akishaanza kumiliki simu.

Single mother msiwaudhi wababa wa watu, wameona kwenu kuna upendo so mshikirie hapohapo, jifunzeni kula na kipofu jamani. Yaan mm ningekuwa single mom yaan kuna mtu angenifurahia angepewa kila kitu
 
Mashangazi tumefikiwaaa, yaan kuna mtu mmoja story ya kweli alikuwa jirani yangu kwenye estate moja niliyokuwa nakaa mahali fulani, alikuwa single mother akapata mpenzi wake aliyekuwa anamsomeshea mtoto na kumapangia nyumba estate hapo tena pazuri sana. Bills zote zake huyo jamaa. Kumbe dada anaendelea na mwanaume wake waliyezaa nae kama kawaida siku ambazo jamaa hayupo yule mzazi mwenzake na single mom anakaa hapo anakula kila kitu anachotoa yule baba. Siku moja yule baba alawasiliana nae usiku. Kesho yake anapigiwa simu kwamba alipot polisi kumbe yule mzazi mwenzake kamuua yule dada na simu ya mwisho polisi kutrace ni ya yule aliyule hawara. Ilikuwa msala sema tu jamaa alionekana yupo mkoani na akapata msaada.

Ninachotaka kusema jaman, masingle maza msiwachoshe wababa wa wawatu, ukupenda toa moyo wake mpe huyo baba habari za kusema sijui baba mtoto anataka kuongea na mwanae akome, amsubiri akishaanza kumiliki simu.

Single mother msiwaudhi wababa wa watu, wameona kwenu kuna upendo so mshikirie hapohapo, jifunzeni kula na kipofu jamani. Yaan mm ningekuwa single mom yaan kuna mtu angenifurahia angepewa kila kitu
Pole yake jamaaa hawa singlo maza inabidi uwe unachunguza vyema. na kwenye swala la 6 kwa 6 uwe mnyumbulifu haswa la sivyo atakumbuka utamu wa nyuma gusa kila engo
 
NAMTAKA SINGO MAZA

1 Nimehangaika sana, kuyatafuta mapenzi
Niliowapa amana, hata hawakuienzi
Nikapigwa dana dana, na kufanyiwa ushenzi
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

2 Aloumizwa ja mimi, huenda tukalandana
Hatusikizi akwami, wawili tukipendana
Tukuze wetu uchumi, mawazo kuliwazana
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

3 Kapita mingi mishale, hataogopa umande
Ajua haya na yale, kwa juhudi ajipinde
Mjuzi mambo ya kale, kucheza ngoma sikinde
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

4 Asiwe mwingi wa wana, hapo hapatanifaa
Ukimwona kama mwana, hutadhani kashazaa
Awe mmoja wa ujana, ndoa tutaiandaa
Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa

✍️Abuuabdillah
Whatsapp 0744883353
Kilimanjaro
Ukiwapata wengi nifowadie mmoja
 
Mashangazi tumefikiwaaa, yaan kuna mtu mmoja story ya kweli alikuwa jirani yangu kwenye estate moja niliyokuwa nakaa mahali fulani, alikuwa single mother akapata mpenzi wake aliyekuwa anamsomeshea mtoto na kumapangia nyumba estate hapo tena pazuri sana. Bills zote zake huyo jamaa. Kumbe dada anaendelea na mwanaume wake waliyezaa nae kama kawaida siku ambazo jamaa hayupo yule mzazi mwenzake na single mom anakaa hapo anakula kila kitu anachotoa yule baba. Siku moja yule baba alawasiliana nae usiku. Kesho yake anapigiwa simu kwamba alipot polisi kumbe yule mzazi mwenzake kamuua yule dada na simu ya mwisho polisi kutrace ni ya yule aliyule hawara. Ilikuwa msala sema tu jamaa alionekana yupo mkoani na akapata msaada.

Ninachotaka kusema jaman, masingle maza msiwachoshe wababa wa wawatu, ukupenda toa moyo wake mpe huyo baba habari za kusema sijui baba mtoto anataka kuongea na mwanae akome, amsubiri akishaanza kumiliki simu.

Single mother msiwaudhi wababa wa watu, wameona kwenu kuna upendo so mshikirie hapohapo, jifunzeni kula na kipofu jamani. Yaan mm ningekuwa single mom yaan kuna mtu angenifurahia angepewa kila kitu
We. Ni mshangazi kumbe
 
Back
Top Bottom