Nahitaji support kwenye Tech entrepreneurship

Nahitaji support kwenye Tech entrepreneurship

Thank you Mademoiselle umeongelea jambo kubwa sana, Ideas nilizoandika hapa ni baadhi tu ya nlizonazo na zipo ambazo zinagusa moja kwa moja kwa watu wa hali ya chini. kwa mfano nilishawahi kuwa na wazo la how to develop small scale manufacturing sectors ambazo specifically zitakuwa mostly developed in rural areas, ambako raw materials zinatokea, yaani kutengeneza viwanda vidogo vidogo kwa level ya households na pengine kijiji tu, with the use of small technological machines and limited manpowers itawezesha jamii kubwa ya watu wa kijijini kuajiriwa katika sector hii, na kuongeza thamani ya bidhaa zao maana itawawezesha kutransform raw materials kwenda kwenye medium and final goods, na kuuza kwa bei kubwa zaidi.
Case study ni india small scale manufacturing sector inaproduce diversity of goods kwenye hyo sector kama napkins, Tissues, chocolates, papers na small toys.
hii sector inacontribute around 40% of total export ya india.
Na hiii issue inakuwa na mitazamo negative sana kwa watu wengi mtu ukimwambia naomba tushirikiane tufanye kitu flani anaona kama kitu ambacho kigumu sana na maybe hakitawezekana. Nina jamaa zangu wawili nilishawahi kuwaface kuwa tukae tujaribu kufanya project hii na hii ila wanaogopa wanaona sisi hatuwezi sisi waafrika.
 
changamoto ya izo smart water meter ni battery mzee

za kichina zipo kibao, zilipatwa fungwa dawasa ya Tanga,
hazikuzidi miezi 4, battery zikaisha, ikawa kazi ya kuzibadili battery, kwa wateja karibia 400
Yes mkuu nimeona hiyo, hizo zilikuwa kwenye majaribio ila inawezekana kabisa zikatengezewa zenye battery imara labda kutokana na kuhitaji za bei cheap.
 
Bado kujaribu, ila kuna mambo nataka niweke sawa kwanza hasa ya miundo mbinu
aah ok ila pia naweza kukushauri utafute team mkuu usifanye pekeako maana unaweza jikuta unafanya research ya kitu ambacho pengine kilishafanyiwa reseach, mimi kama inatokea extensive support tayari watu wa kuanza nao kazi wapo ila shida ni hela mkuu.
 
aah ok ila pia naweza kukushauri utafute team mkuu usifanye pekeako maana unaweza jikuta unafanya research ya kitu ambacho pengine kilishafanyiwa reseach, mimi kama inatokea extensive support tayari watu wa kuanza nao kazi wapo ila shida ni hela mkuu.
Mi nimejikita kwenye 'animation'; ninachotafuta kwa sasa ni kijana mtundu kwenye hiyo field
 

Telehealth and Telemedicine​


Kwa sasa kila mtu ana simu, na sio lazima iwe simu janja, hata simu yenye kuweza kuongea na kutuma message inaweza kutumika kama chombo cha kusaidia jamii katika mambo ya afya na matibabu

Fikiria kama utaweza kuja na mfumo wa utakao wezesha wagonjwa kuwasiliana na madaktari moja kwa moja kwa kutumia simu kwa gharama ndogo, inaweza kwa kutuma ujumbe na kujibiwa na ushauri au maelezo ya kupiga simu kuongea na daktari moja kwa moja, na kwa wenye simu janja hata mawasiliano yanaweza kuwa ya video call na kuweza kumuonyesha daktari tatizo linalokusumbua, na kweza kupata ushauri wa haraka kama ni kukuandikia dawa kwenda kununua kwenye duka la dawa au kukushauri uende kituo cha afya au maabara huku ukiwa na unajua je vipimo gani unatakiwa kufanya bila kubahatisha na kupunguza gharama kubwa ya kuona daktari.

Hii huduma itakuwa na msaada mkubwa kwa watu wa vijijini, mama wajawazito, na waliozaa au jamii ya watu wa kipato cha chini.

All the best
 

Telehealth and Telemedicine​


Kwa sasa kila mtu ana simu, na sio lazima iwe simu janja, hata simu yenye kuweza kuongea na kutuma message inaweza kutumika kama chombo cha kusaidia jamii katika mambo ya afya na matibabu

Fikiria kama utaweza kuja na mfumo wa utakao wezesha wagonjwa kuwasiliana na madaktari moja kwa moja kwa kutumia simu kwa gharama ndogo, inaweza kwa kutuma ujumbe na kujibiwa na ushauri au maelezo ya kupiga simu kuongea na daktari moja kwa moja, na kwa wenye simu janja hata mawasiliano yanaweza kuwa ya video call na kuweza kumuonyesha daktari tatizo linalokusumbua, na kweza kupata ushauri wa haraka kama ni kukuandikia dawa kwenda kununua kwenye duka la dawa au kukushauri uende kituo cha afya au maabara huku ukiwa na unajua je vipimo gani unatakiwa kufanya bila kubahatisha na kupunguza gharama kubwa ya kuona daktari.

Hii huduma itakuwa na msaada mkubwa kwa watu wa vijijini, mama wajawazito, na waliozaa au jamii ya watu wa kipato cha chini.

All the best

Shukrani mkuu, idea hii ni kubwa sana na inagusa jamii moja kwa moja, naomba niifanyie kazi hii kama hutojali.
 

Telehealth and Telemedicine​


Kwa sasa kila mtu ana simu, na sio lazima iwe simu janja, hata simu yenye kuweza kuongea na kutuma message inaweza kutumika kama chombo cha kusaidia jamii katika mambo ya afya na matibabu

Fikiria kama utaweza kuja na mfumo wa utakao wezesha wagonjwa kuwasiliana na madaktari moja kwa moja kwa kutumia simu kwa gharama ndogo, inaweza kwa kutuma ujumbe na kujibiwa na ushauri au maelezo ya kupiga simu kuongea na daktari moja kwa moja, na kwa wenye simu janja hata mawasiliano yanaweza kuwa ya video call na kuweza kumuonyesha daktari tatizo linalokusumbua, na kweza kupata ushauri wa haraka kama ni kukuandikia dawa kwenda kununua kwenye duka la dawa au kukushauri uende kituo cha afya au maabara huku ukiwa na unajua je vipimo gani unatakiwa kufanya bila kubahatisha na kupunguza gharama kubwa ya kuona daktari.

Hii huduma itakuwa na msaada mkubwa kwa watu wa vijijini, mama wajawazito, na waliozaa au jamii ya watu wa kipato cha chini.

All the best
sijui kwa upande wako ulishaanza kuifanyia kazi hii idea? nina mengi ya kujifunza kupitia kwako mkuu
 
sijui kwa upande wako ulishaanza kuifanyia kazi hii idea? nina mengi ya kujifunza kupitia kwako mkuu
Hapana Mkuu
Mimi nafanya kazi in Medical Device Industries, kwa hiyo naoina hii kasi ya makampuni kwa sasa kujaribu kutengeneza vifaa ya tiba vinavyoweza kutumika nyumbani na kuweza kutuma matokeo moja kwa moja mahospitalini au vituo vya afya( GP clinics).

Kwa upande wetu hii hatua kidogo ni mbali sana, lakini pia nimeona bado gharama za matibabu huwa ni chanzo cha vifo vingi Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Fikiria mfumo ambao utafanya kazi kama Just Eat au Uber Eat, ambapo unaweza kwa kuanzia sio mahospitali makubwa labda kwa baadae , lakini vituo vya binafsi vya afya na labda pia vya serikali, vinakuwa vinajisajili kwenye mfumo, na kuweza kushindana kutoa gharama za afya kwa gharama nafuu na kumsadia mteja kuwa na uchaguzi ajiunge na kituo kipi kuwasiliana na daktari kutokana na uwezo wake...

All the Best...
 
Back
Top Bottom