zinc
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,391
- 1,068
Wakuu wa JF,
Hope mko salama, naamini mpo poooooaaaa. Sasa nina dili kali, baada ya kutafiti mada nyingi katika jukwaa hili la MMU kwa muda mrefu, nimejiridhisha kuwa kuna changamoto za mahusiano either me kwa ke, me kwa me au ke kwa ke. Kubwa kuliko ni mahusiano ya me kwa ke, niko katika hatua za mwisho kwenye kumaliza kutengeneza kipindi ambacho kitakuwa hewani mubashara kikihusu mahusiano hasa jamii ya wavulana/wanaume na jamii ya wasichana/wanawake.
Hivyo kwa ambaye anahisi yeye ni gwiji kwenye angle hizi anicheki pm au hata hapa kwenye Uzi huu, tuone namna ambavyo tunaweza tukashiriki au kukifanya kipindi hiko kikawa bora zaidi kabla ya kuachiwa.
Note that nilisha revealed my identity before.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hope mko salama, naamini mpo poooooaaaa. Sasa nina dili kali, baada ya kutafiti mada nyingi katika jukwaa hili la MMU kwa muda mrefu, nimejiridhisha kuwa kuna changamoto za mahusiano either me kwa ke, me kwa me au ke kwa ke. Kubwa kuliko ni mahusiano ya me kwa ke, niko katika hatua za mwisho kwenye kumaliza kutengeneza kipindi ambacho kitakuwa hewani mubashara kikihusu mahusiano hasa jamii ya wavulana/wanaume na jamii ya wasichana/wanawake.
Hivyo kwa ambaye anahisi yeye ni gwiji kwenye angle hizi anicheki pm au hata hapa kwenye Uzi huu, tuone namna ambavyo tunaweza tukashiriki au kukifanya kipindi hiko kikawa bora zaidi kabla ya kuachiwa.
Note that nilisha revealed my identity before.
Sent using Jamii Forums mobile app