Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Chukuwa huu ushauri
 
Hilo ndio muhimu migambo wakaze pesa zingine sio mpk kituoni, wanamalizana njiani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wasiponikumbuka watakamatwa wao pamoja na wahalifu wenzao [emoji1787][emoji1787]
Phaller wewe...!

[emoji1]
 
Dogo achana na mawazo ya coaster
 
kuf
uga kuku risk ndogo.... kuna jamaa yangu hapa m70 zimezama yamebaki mabanda tu na ndio tulikuwa tunamwona bize na uzalishaji mayai na kuku kushuka hesabu anakwambia kuku wanajilisha tu hakuna faida na kama ipo haitoshi kujilipa mshahatra kuendesha maisha..ilibidi tuwanunue kuku 4ooo kwa 7k hawakuisha wakaja madalali wakawalangua kwa 5k each ndio ponea kutoa mtaji alichopata kwenye mradi ni mabanda kubaki na uzoefu.... so usimwambie ina risk ndogo tena yupo chuo atulize kipago kabisa nani atasimamaia kuku wamekula wamepata chanjo unataka ...umtumie voice note boss ingia watsap kidogo
 
your right sir, lakini hakuna biashara isiyo na risk,cha msingi inabidi utambue kuwa biashara yoyote unayoanzisha mambo yanaweza kwenda mrama na ukafail,cha msingi NI kufanya utafiti kabla ya Kuanzisha biashara husika,Ila pia ni vizuri kuelewa somo la risk management.
cha mwisho ni kwamba hata ufanye biashara gani usipofuata taratibu sahihi utapata loss Tu,Kwa hiyo Nina wasiwasi na huyo jamaa,labda hakufanya ufugaji kama inavyotakika,vinginevyo biashara hii hata asingepata faida basi Angehit Ata BEP(break even point)
 
Mi mwenzio nina miaka 22, niko mtaani natafuta mitaji baada ya kutoendelea na chuo. Nina mawazo ya kuanzisha biashara kubwa, lakini sina mitaji. Sasa nakuomba nipe ushauri, chagua mojawapo ya biashara zifuatazo:

1. Biashara yenye mzunguko mkubwa na faida kiasi.
2. Mzunguko mdogo lakini faida kubwa.
3. Faida kubwa na mzunguko mkubwa.

Ukiweza kutoa mifano ya biashara hizo tatu, utakuwa umenisaidia sana. Mimi ni mchoyo, hivyo naomba unipe mfano wa biashara kwa kila aina hiyo tatu.

Mifano:

Biashara 1: Uza mafuta ya kula, sabuni, nk. Biashara hii inahusisha bidhaa ambazo watu hutumia kila siku.

Je, unaweza kuongeza faida kwa biashara hii? Fanya hivi: Tumia mtaji wako kununua bidhaa moja kwa moja kutoka kiwandani, kama vile mafuta ya kula au sabuni za kufulia. Chagua bidhaa ambazo unaona zina mzunguko mkubwa, yaani watu lazima watatumie kila siku.

Nakushauri utafute viwanda vya nje, kama vile Malaysia kwa mafuta ya kula au China kwa sabuni...

NB: Kutumia mtaji wako, tafuta bidhaa yoyote yenye mzunguko na nunua moja kwa moja kutoka kiwandani ili uweze kuwa muuzaji. Utapata faida kubwa sana kulingana na mtaji wako, hata mara tatu ya mtaji wako, kulingana na bidhaa.

Nenda kwa viwanda vya nje, ambavyo mara nyingi huwa vina bei nafuu. Lakini ikiwezekana, unapata bidhaa za ndani ya Tanzania au Afrika ambazo zina bei rahisi zaidi.

Nifuate kwa nambari +255659943041, nina uhusiano na viwanda na naweza kukusaidia.
 
Kama unasoma kawekeze katika mfuko upate peercctt. Kkwa. Mii toa pesa kadhaa tu anzisha kitu kitakacho kodhi mahitaji yako,
 
40milion, Tafuta frame moja weka Mpesa,Tigo pesa airtel monye na Allopesa. Weka NMB,CRDB na EQUITY Wakala. Frame Kwa mwaka itakucost 6M, kupata line pamoja na Hizo machine 5M hapo jumla 11M, Dada wa kazi Kwa mwaka 2.4M. Fungua Gori kila jioni ukitoka dalasani pitia hapo

Hela iliyobaki weka UTT , biashara ikichangamka utaongeza mtaji.

Note: Make sure mteja hakosi kiasi chochote kwako, wataadithiana Kwa huyo hakosagi hela wataanza kufulika
 
Hili wazo zuri sitalipuuza ila kwenye ng'ombe wenye miili mikubwa huwezi kupata kwa laki 4 maana me kwetu kondoa na babu yangu mara ya mwisho niliona akiuza dume kubwa 600k pale hom ilikua 2020
 
Hapo napo awe makiniii.. Kupigwa hela chap tuu
 
Tafuta eneo la bei rahisi mijini jenga apartments za kupangisha hizi za Chumba sebule choo jiko,
Uaneze Kula kitu kinaitwa passive income, hautojuta
 
Tafuta eneo la bei rahisi mijini jenga apartments za kupangisha hizi za Chumba sebule choo jiko,
Uaneze Kula kitu kinaitwa passive income, hautojuta
40 Mil unajenga nyumba ya Ukubwa gani ?
Ya Muundo gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…