Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ule usafiri wa mbagala aiseeh siwezi enda kule n kama jehunumkama vya bei nafuu, Nenda mbagala mkuu,, chumba sebule nasikia efu 40 tu uko.. ...
Masaki, ila haviitwi chumba master, vinaitwa Studio apartmentNaombeni mnisaidie ni maeneo yepi ktk mkoa wa Dar naweza pata chumba kizuri cha masters kwa bei nzuri ya kizalendo or n maeneo yepi dsm unaweza mshauri mtu akapange chumba na kuanza maisha.
Hahaha bora kulipa 200K ukae road
Kwa ule usafiri wa mbagala aiseeh siwezi enda kule n kama jehunum
UongoSinza mwananyamala magomeni kinondon mwenge unaweza pata kuanzia 130-150k japo iliochoka master tu lkn Hamna sebule wala jiko
Uongo
Uongo
Njoo tukae wote makumbusho ili uwe unawahi kazini.
Huko mbagala ajiandae kukabwa mchana mchana kweupeeeekama vya bei nafuu, Nenda mbagala mkuu,, chumba sebule nasikia efu 40 tu uko.. ...
Na uliyemsikia basi kakudanganya! Kwa hiyo bei labda ndani ndani kabisa huko, ambako ukipiga na gharama za bodaboda, basi bora tu ukapange sehemu ya kawaida utakayolipa 100K.kama vya bei nafuu, Nenda mbagala mkuu,, chumba sebule nasikia efu 40 tu uko.. ...
Mbagala kwenyewe unakujua au unakusikia tu kupitia JF?!Huko mbagala ajiandae kukabwa mchana mchana kweupeeee
Mkuu wewe mstaarabu kama mimi.. mtu mwingine angemjibu hovyo maana hizo picha hadi bei zinaonekana.Unamuuliza nani?[emoji848] Kama ni mm niliepost picha bac cjui nimezichkua instagram hizo picha kwa madalali wapo zaidi ya 20 huko katafute mmoja au usearch uangalie but kwa uzoefu maeneo km hayo sio chini ya 150K Ila masafa ni marefu huko porini utaenda
Mkuu wewe mstaarabu kama mimi.. mtu mwingine angemjibu hovyo maana hizo picha hadi bei zinaonekana.