Nahitaji ushauri wa biashara, nina mtaji wa 1.2(million moja na laki mbili)

Nahitaji ushauri wa biashara, nina mtaji wa 1.2(million moja na laki mbili)

Labda atlist uongeze 1.2 +1.2 uwe na 2.4 atlist ..
Maana kwa 1.2 haitatosha, itakulazimu ununue bidhaa chache kutokana na mtaji wako,

mauzo yatakuwa kidogo kwasababu bidhaa nyingi utakuea hauna..

Mzunguko wa pesa wa biashara yako utakuwa mgumu siku za mwanzoni.. hadi kuzoeleka .

Ita idi uwe na akiba kidogo usije ukaitumia faida au kupunguza mtaji kwa matumizi binafsi..

Ushauri : fungua biashara ndogo itakayoendana na mtaji wako..

Kisha ukikuwa ndipo utimize malengo yako ya duka la mahitaji ya nyumbani..!

maana 1.2mil kama huo mtaa utakaofungua duka kuna ushindani , basi wewe unakuwa kwenye nafasi ya kushindwa zaidi..

Zingatia biashara ambayo gharama za uendeshaji ziwe ndogo na himilivu.. usije ukajiingiza kwenye makodi ya fremu / umeme wa kuchanga utata hadi 15+/month
Makodi ya serikali kwa pesahiyo hiyo!!
 
Habar JF..!

Mi ni kijana, namaliza chuo mwaka huu katika kujibana bana nimeambulia 1.2m. Siku zote kwenye maisha kuomba ushauri ni njia mojawapo wa kujifunza hivyo basi wana jf naombeni mnishauri biashara gan naweza kuifanya na ikanipa chochote kitu kulingana na hali ya sasa. Nb: Mimi kama mim nawaza nifungue kigenge ili niweze niuze vitu vidogo (kama kaduka hivi)...
Biashara zipo nyingi ndugu kuna, biashara ya viungo Kama Hiliki karafuu n.k inategemea interesting yako lakini njia za kupita zipo
 
Mkuu duka la reja reja linalipa sana, tafuta location Kawe pale, ile mitaa karibu na uuwanja wa Pakers (Kwa mwamposa) pale kuna movement sana, Chagua bidhaa zako chache na uzisimamie kwa bidii au hata popcorn tu zile siku za ibada yule Mchungaji anajaza sana watu pale lazima uuze..

Choose wisely vitu unavyotaka kuanza navyo.
Thanks.
 
Habar JF..!

Mi ni kijana, namaliza chuo mwaka huu katika kujibana bana nimeambulia 1.2m. Siku zote kwenye maisha kuomba ushauri ni njia mojawapo wa kujifunza hivyo basi wana jf naombeni mnishauri biashara gan naweza kuifanya na ikanipa chochote kitu kulingana na hali ya sasa. Nb: Mimi kama mim nawaza nifungue kigenge ili niweze niuze vitu vidogo (kama kaduka hivi)

Sasa nimekuja hapa niweze kuomba ushauri kwenu je mawazo yangu yapo sahihi hayo ya kufungua kiduka??
Na kama yapo sahihi nawezaje kumantain hilo duka.

Na kama mawazo yangu hayapo sahihi nini naweza kufanya biashara gani kwa mtaji huo 1.2m. Naombeni ushauri wenu natanguliza shukran[emoji120][emoji120]
Ulishawahi fanya hiyo biashara ya kufungua kiduka hapo awali?
 
Habar JF..!

Mi ni kijana, namaliza chuo mwaka huu katika kujibana bana nimeambulia 1.2m. Siku zote kwenye maisha kuomba ushauri ni njia mojawapo wa kujifunza hivyo basi wana jf naombeni mnishauri biashara gan naweza kuifanya na ikanipa chochote kitu kulingana na hali ya sasa. Nb: Mimi kama mim nawaza nifungue kigenge ili niweze niuze vitu vidogo (kama kaduka hivi)

Sasa nimekuja hapa niweze kuomba ushauri kwenu je mawazo yangu yapo sahihi hayo ya kufungua kiduka??
Na kama yapo sahihi nawezaje kumantain hilo duka.

Na kama mawazo yangu hayapo sahihi nini naweza kufanya biashara gani kwa mtaji huo 1.2m. Naombeni ushauri wenu natanguliza shukran[emoji120][emoji120]
Mkuu Jiulize kwanza hiyo milioni 1.2 uliipataje? Kama uliipata kwa kufanya shughuli furani bas mkuu usiiache hiyo shghur just unachotakiwa kufanya ni kuongeza value katika hiyo shughur iliyokuletea hiyo milioni 1.2, usiingie kweny biashara mpya hiyo pesa bado ni ndogo
 
Mkuu Jiulize kwanza hiyo milioni 1.2 uliipataje? Kama uliipata kwa kufanya shughuli furani bas mkuu usiiache hiyo shghur just unachotakiwa kufanya ni kuongeza value katika hiyo shughur iliyokuletea hiyo milioni 1.2, usiingie kweny biashara mpya hiyo pesa bado ni ndogo
Shukran sana kwa ushauri
 
Habar JF..!

Mi ni kijana, namaliza chuo mwaka huu katika kujibana bana nimeambulia 1.2m. Siku zote kwenye maisha kuomba ushauri ni njia mojawapo wa kujifunza hivyo basi wana jf naombeni mnishauri biashara gan naweza kuifanya na ikanipa chochote kitu kulingana na hali ya sasa. Nb: Mimi kama mim nawaza nifungue kigenge ili niweze niuze vitu vidogo (kama kaduka hivi)

Sasa nimekuja hapa niweze kuomba ushauri kwenu je mawazo yangu yapo sahihi hayo ya kufungua kiduka??
Na kama yapo sahihi nawezaje kumantain hilo duka.

Na kama mawazo yangu hayapo sahihi nini naweza kufanya biashara gani kwa mtaji huo 1.2m. Naombeni ushauri wenu natanguliza shukran[emoji120][emoji120]
Unapenda biashara ya duka je umewahi kufanya biashara yoyote hapo kabla?
 
Ok, iyo ya duka inaweza ikakomba hela yote uliyonayo maana lazima upange fremu

Nilitaka kukuambia uwekeze nusu ya pesa uliyonayo wakati nusu ingine umeiweka Kama akiba ukiwa unasikilizia maendeleo ya biashara lakini kwa biashara ya duka sidhani Kama itawezekana.

Mwanzo ni mgumu na biashara yoyote changamoto hazizuiliki hiyo pesa ni nyingi sana na ni ndogo sana inategemea na wewe ulivyojipanga hata kwenye ajira wanataka mtu mwenye uzoefu na kwenye biashara ni hivyo hivyo?

Utapataje uzoefu?

Wekeza hiyo laki mbili hiyo milioni ifiche
Fanya utafiti tafuta biashara ya laki au laki mbili fanya baada ya muda utakuwa umepata uzoefu mkubwa sana na hiyo milioni itakusaidia mbele ya safari.

Narudia tena usiweke mayai yote kwenye kapu moja.
 
Ok, iyo ya duka inaweza ikakomba hela yote uliyonayo maana lazima upange fremu

Nilitaka kukuambia uwekeze nusu ya pesa uliyonayo wakati nusu ingine umeiweka Kama akiba ukiwa unasikilizia maendeleo ya biashara lakini kwa biashara ya duka sidhani Kama itawezekana.

Mwanzo ni mgumu na biashara yoyote changamoto hazizuiliki hiyo pesa ni nyingi sana na ni ndogo sana inategemea na wewe ulivyojipanga hata kwenye ajira wanataka mtu mwenye uzoefu na kwenye biashara ni hivyo hivyo?

Utapataje uzoefu?

Wekeza hiyo laki mbili hiyo milioni ifiche
Fanya utafiti tafuta biashara ya laki au laki mbili fanya baada ya muda utakuwa umepata uzoefu mkubwa sana na hiyo milioni itakusaidia mbele ya safari.

Narudia tena usiweke mayai yote kwenye kapu moja.
Shukran kwa ushauri
 
Sasa mkuu environmental health sciences okay tuko sawa, ushasema una penda biashara ya duka iyo 1.2milioni inakutosha wewe hapo kuanza.
Nunua mchele
Sukari
Mafuta
Maharage
Nazi
Maji
Unga wa ngano
Sabuni
Vocha za simu.
Vinywaji
Miswaki
Dawa za Meno
Steel wire za vyombo
Rangi za viatu
Mafuta ya kujipaka

Anza na hivyo vitu kwa wingi tega mtaa fanya kazi mauzo kwa siku hukosi.
Hapa labda anunue kitu kinoma kimoja. Mfano sukari mfuko mmoja, mchele labda kilo mia, mafuta ya kupikia ni deal sana maana nimeuza ila faida yake i nahitaji uwe na roho ngumu sana.
 
Habar JF..!

Mi ni kijana, namaliza chuo mwaka huu katika kujibana bana nimeambulia 1.2m. Siku zote kwenye maisha kuomba ushauri ni njia mojawapo wa kujifunza hivyo basi wana jf naombeni mnishauri biashara gan naweza kuifanya na ikanipa chochote kitu kulingana na hali ya sasa. Nb: Mimi kama mim nawaza nifungue kigenge ili niweze niuze vitu vidogo (kama kaduka hivi)

Sasa nimekuja hapa niweze kuomba ushauri kwenu je mawazo yangu yapo sahihi hayo ya kufungua kiduka??
Na kama yapo sahihi nawezaje kumantain hilo duka.

Na kama mawazo yangu hayapo sahihi nini naweza kufanya biashara gani kwa mtaji huo 1.2m. Naombeni ushauri wenu natanguliza shukran[emoji120][emoji120]
Anzisha danguro...inalipa sana
 
Back
Top Bottom