Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Pole sana kiongozi, inshort huyo mwanamke wala hakubakwa alitoa tu mwenyewe kwasababu ya upweke alionao,wanawake wengi ni wazaifu hasa wanapokuwa kwenye hali kama hiyo,inawezekana huyo jamaa alikuwa anamtongoza sana au amempenda tu na akiangalia wewe uko mbali,mwili unataka huduma lazima ashawishike tu,chakufanya mchukue uwe nae karibu,endelelea kumsoma nyendo zake kama ukiona wanaendelea kuwasiliana basi fanya maamuzi magumu tu.
 
Msamehe tu. Ukiangalia umri umeenda. Hata watoto wenu watakua wakubwq sasa. Uzuri hakubishq amekwambia ukweli japo kwa njia nyingine. Naimani hatorudia tena na anajutia.
By the way unaweza nifundisha jinsi ya kufanya hivyo meditation Nina shemeji yako hapa kisu atari Nina wivu naye kinoma nataka nim monite.
 
Mkuu pole sana. Ila usimuache mkeo. Hata kama amekusaliti kwa makusudi sio kwa kubakwa na huenda hata sasa anaendelea kupigwa na microfinance guy ila usimfumkuze kwa haraka. Ioe situation muda angalau hata mwezi to miezi mi 3 na katika kipind hiki muwekee msimamo wako kabisaa kuwa huwez kuwa nae ila msimuache. Ataizoea hali ua msimamo wako na wewe utatumia kipind hiko kuweka mipango hasa utaratibu kuhusu watoto then mkatae mazima
 
Duh mapenzi.
Ruge 46
Nandi 30

Differrence 16.
 
You own nothing and nothing should owns you detach from everything move on mkuu.
 
Tumia hiyohiyo meditation ikupe ushauri km ilivyofanya kukuonyesha maovu ya usaliti wa mke wako usitusumbue sis wenyew tunastress zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…