Kama unachosema ni kweli,basi nitafute nikupe ushauri utakaokuponya kabisa na uwe mmoja wa mashuhuda humu.....
Vinginevyo hao waliokwambia uende ukapige chemo au mionzi na wale wanaokutaka ufanye maombi watakuua....cancer haitibiwi kwa maombi au mionzi....kuna watu wamekariri kwenda India lakini hakuna hata mmoja aliyepina cancer kwa kwenda India lakini bado wanang'angania kwenda India....watu kama sisi tunapowaelimisha watu kuhusu mambo haya tunadharauliwa...
Sasa kama kweli unataka kupona,usidharau,njoo nikupe ushauri,ni bure kabisa,sihitaji pesa kutoka kwako,bali nahitaji kiti kimoja tu,kwamba urudi tena hapa kutoa ushuhuda ili wengine nao wanufaike kupiti kwako...
Mungu ametupa akili tuitumie kutatua matatizo....matatizo hayatatuliwi kwa maombi PEKEE kwa maana hata mimi kuja hapa kukupa ushauri inawezekana ni moja ya majibu ya Mungu kuhusu hayo maombi...usidharau.