Ngozi Joram
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 662
- 545
mm na ww anayeleta siasa ni nani? sayansi gani unayozungumzi ww au tiba mbadala nayo ni part of medicine or science-based healthcare systems? serikali ya marekani hutumia zaidi ya $2.5 billion kila mwaka kwa kulipa watu kutest tiba mbadala with almost none showing any effect beyond that of false treatment. Jobs alikufa kwa cancer inayotibika sababu ya kukataa matibabu na kuamini kuwa tiba mbadala itamsaidia nakusababisha unnecessarily early deathMimi nazungumzia sayansi,wewe unaleta siasa.Sayansi na siasa ni mambo mawili yanayopingana.Endelea na siasa,mimi naendelea na sayansi....watu kama ninyi itawachukuwa muda sana mpaka kuamka...
Vipi wale wanaowahi kwenda India kwa matibabu ya cancer lakini hawaponi?Hao mbona huwazungumzii?
Nashukuru mkuu nitalifwatilia hilo ili nijue zaidiAgiza matunda yanaitwa mafyulisi(mbeya) au pingas(iringa) waingereza huita apricot. Nasikia yanasaidia sana mno. Ni vema ukaanza fasta. Kwa ushauri zaidi mtafute membermoja humu anaitwa Deception atakujuza zaidi
Ukiwa na Shida yoyote ileWapendwa habari zenu,
Tatizo lenyewe ni kuwa katika hali ya kupambana na Cancer ya Damu, ilikua 2014 mwanzoni nilipoanza kuhisi uvimbe tumboni ndipo nilipoamua kwenda Hospitali na kufanya vipimo ambapo kwakweli majibu yalionyesha tu kuna uvimbe wa bandama na nilipewa tu vidonge vyakupunguza uvimbe.
Pia niliambiwa ukiendelea kuwepo basi watanipasua na kuitoa bandama jambo lililonipa wasiwasi sana, siku zikazidi kwenda uvimbe unaongezeka nilipofika hospitali nikaongezewa doze, baada ya kuanza kutumia vidonge na doze ikiwa imeongezwa afya ikaanza kudhoofika ndipo nilipo amua kuvuka mpaka na kwenda nchi ya jirani walipo gundua kuwa nina tatizo la Cancer ya Damu.Nikaanzishwa dawa ya kuua makali na cells za cancer ambazo bado naendelea kuzitumia.
Ombi langu kwenu wapendwa najua katika wingi wetu humu JF wapo watu wenye kujua zaidi juu ya tiba mbadala ambazo nimesikia kuwa zipo Ila kwakweli sizifahamu, pili niliwahiambiwa kuwa Serikali husaidia matibabu ya Cancer kupitia kuchangia gharama au kutoa dawa lakini kwangu binafsi sijui wapi pakuanzia.
Nimekuja kwenu naitaji ushauri kutoka kwenu.
Una uhakika?Huyo ni mganga wa kienyeji jamani.
Hizo baadhi ya cancer ambazo hazina sawa ni zipi mkuu? Mbona kama unaeneza hofu zaidi kwa wadau kuliko tumaini?ukweli naujua ila siwez kukushauri i felt sad naomba kilamtu a google source of cancer ili ajue jins ya kuepuka tatizo maana baadh ya kansa hazina dawa na tuepuke usasa tukidhan ni ufahal sijui soseji baga piza magarita spain wine na nk we kula dona bamia tembele togwa mbege na nk utakua salama
Anapatikana wapi Kokoto, Kilimanjaro?kuna mtaalamu mmoja yupo sehemu unaitwa nyumba ya mungu katika wilaya ya mwanga hapa moshi.huyu mzee amesaidia watu wengi sana hadi madaktari wenye saratani mbalimbali amewasaidia na wamepona!kiukweli huyu mzee ni bingwa na hana gharama kubwa ila masharti yake ya kukutibu usiwe umechomwa mionzi na kansa isiwe katika ya mwisho kabisa!kwa hapo anakutibu na unapona kabisa mimi nna ushuhuda wa dada yangu alipata ya ziwa mwaka 2000 alitibiwa hadi leo amepona kabisa.na ameshapeleka ndugu na jamaa wengi kwa huyo mzee na wamepona kabisa.dawa za hospitali hazitibu zaidi ya kukudhoofisha tu.tafuta muda nenda hapo nyumba ya mungu ulizia KOKOTO utapelekwa na gharama zake hata elf50 haifiki halafu uje ulete mrejesho hapa ukichekelea
Sawa mkuuUkiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Mkuu Deception nakupongeza kwa hekima, maarifa, ujuzi na kipawa ulichopewa kuwasaidia kwenye uhitaji hususan kwenye eneo la matibabu.Kama unachosema ni kweli,basi nitafute nikupe ushauri utakaokuponya kabisa na uwe mmoja wa mashuhuda humu.....
Vinginevyo hao waliokwambia uende ukapige chemo au mionzi na wale wanaokutaka ufanye maombi watakuua....cancer haitibiwi kwa maombi au mionzi....kuna watu wamekariri kwenda India lakini hakuna hata mmoja aliyepina cancer kwa kwenda India lakini bado wanang'angania kwenda India....watu kama sisi tunapowaelimisha watu kuhusu mambo haya tunadharauliwa...
Sasa kama kweli unataka kupona,usidharau,njoo nikupe ushauri,ni bure kabisa,sihitaji pesa kutoka kwako,bali nahitaji kiti kimoja tu,kwamba urudi tena hapa kutoa ushuhuda ili wengine nao wanufaike kupiti kwako...
Mungu ametupa akili tuitumie kutatua matatizo....matatizo hayatatuliwi kwa maombi PEKEE kwa maana hata mimi kuja hapa kukupa ushauri inawezekana ni moja ya majibu ya Mungu kuhusu hayo maombi...usidharau.
ubongoSawa mkuu
brainWhat
Mkuu Asante umenipa mwangaPole sana mkuu ila kansa ya damu inatibika na kupona kabisa japo ni ghali,nnao ushahidi namfaham jamaa yangu nlisoma nae chuo mwaka wa pili akagundulika na kansa ya damu,ila akapelekwa marekani na kapona kabisaaaaa nakurejea kumaliza elimu yake. Hapo ni pesa tu chamsingi kama uwezo haupo unaweza kufundrise mtafute mtu kama Sam Maela wa itv anaweza kukuunganisha na Watz wenzio na ukasaidiwa,uckate tamaa mkuu hayo mambo yanafanyika na huyo jamaangu yupo usa sasa maana mzee wake yuko huko na familia,chukua hatua na ukirejea huku wapo watu tunachanga tu mbona harusi kibao tunatoa pesa
Very strong message, mkuu maneno yako yana busara mno! kwa huyu mgonjwa na wengine wote.Pole sana kaka.
Cha kwanza kabla ya matibabu yote ya mwili mwamini Mungu kuwa anaweza yote . Pili uponyaji huendana na stability ya roho akili na mwili wako. Hivyo kwa imani yako yoyote zidi kufanya ibada. Pia amini kuwa you are stronger that the disease. Tatu anza sass lifestyle inayoenda kupunguza makali ya magonjwa yote. Acha matumizi ya processed foods , acha matumizi ya excess starch na sugar. Jikite kwenye gree foods , lots of water and oxygen .
Tatu: Do all the readings you can about that disease. Hata kama unaenda kwa wataalamu kama upo kwenye nafasi ya kuresearch itakupa mwanga hata wa kujadiliana na daktari kuhusu treatment plan anayosuggest kwako. By reading other related success stories utajua the DOs and DONTs. Soma pia kuhusu alternate cancer treatments ( use of laetrile, wheat grass, blackstrap mollases etc) . In all these omba Mungu akuongoze kwenye right plan and trust your choice.
Unapokuws mgonjwa utapata ushauri mwingi sana ila kama una all the needed information inasaidia kumake the right choises.
God bless you and We trust and pray you rise up as a Hero.
Stunter labda hujamwelewa miss natafuta, binafsi nilivyomwelewa mimi anajaribu kumfariji mgonjwa kwamba ugonjwa wake wala si tatizo kuuuubwa kivile so apunguze ama aondoe kabisa stress na mambo yaende kama kawaida ndo maana anaingizia jokes fulani hivi ili mgonjwa aondoe stress.Mabazazi wote wanaokufata pm hujawaona mpaka ukataka kumtunza mtoa mada?