Nahitaji ushauri wako kuhusu saratani ya damu

Agiza matunda yanaitwa mafyulisi(mbeya) au pingas(iringa) waingereza huita apricot. Nasikia yanasaidia sana mno. Ni vema ukaanza fasta. Kwa ushauri zaidi mtafute membermoja humu anaitwa Deception atakujuza zaidi
 
mm na ww anayeleta siasa ni nani? sayansi gani unayozungumzi ww au tiba mbadala nayo ni part of medicine or science-based healthcare systems? serikali ya marekani hutumia zaidi ya $2.5 billion kila mwaka kwa kulipa watu kutest tiba mbadala with almost none showing any effect beyond that of false treatment. Jobs alikufa kwa cancer inayotibika sababu ya kukataa matibabu na kuamini kuwa tiba mbadala itamsaidia nakusababisha unnecessarily early death
 
Agiza matunda yanaitwa mafyulisi(mbeya) au pingas(iringa) waingereza huita apricot. Nasikia yanasaidia sana mno. Ni vema ukaanza fasta. Kwa ushauri zaidi mtafute membermoja humu anaitwa Deception atakujuza zaidi
Nashukuru mkuu nitalifwatilia hilo ili nijue zaidi
 
Kama utakuwa na muda wa kuweza kuangalia video na kusoma emails, nitumie email address yako pm ili nikugorwardie email za centre moja ya matibabu ya cancer hapa USA. Kisha nita kulink ili uwe unapata email zao daily.

Kuhusu cancer, ni ugonjwa ambao ukifuatilia hawa scientists nitakao kupa utagundua yafuatayo.
1. Ni ugonjwa unaotibika kiurahisi
2. Madaktari hawajui lolote kuhusu cancer maana they are brainwashed
3. Ni ugonjwa ambao pharmaceutical companies wanautumia kupata pesa
4. Hata kipimo tu cha cancer ni source of cancer

Samahani siwezi weka email address yangu hapa sababu ya hackers
 
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Hizo baadhi ya cancer ambazo hazina sawa ni zipi mkuu? Mbona kama unaeneza hofu zaidi kwa wadau kuliko tumaini?
 
Anapatikana wapi Kokoto, Kilimanjaro?
 
Mkuu Deception nakupongeza kwa hekima, maarifa, ujuzi na kipawa ulichopewa kuwasaidia kwenye uhitaji hususan kwenye eneo la matibabu.
Naona katika post yako hapo juu umesema cancer haitibiwi kwa maombi. Umekataa suala la maombi lakini hapo chini umeji contradict tena kuwa huenda Mungu amejibu maombi yake kwa wewe kujitokeza kutoa msaada. Nimefurahi kwa kuji contradict kwako which proves that God still answer prayers.
Mkuu, mwanzo umesema Mungu ametupa maarifa lakini unakataa kuwa kansa haitibiwi kwa maombi. Biblia inatuthibitishia kuwa Mungu mwenyewe alitibu magonjwa mengi ya mwanadamu kansa pia ikiwemo.
Huwezi kumweka Mungu mbali kwenye eneo lolote la maisha ya binadamu. Wapo watu wameponywa hadi ukimwi kwa maombi. Mungu bado anabaki kuwa mponyaji wa kwanza na wa mwisho. Mwanadamu anatumiwa tu.
Maarifa yako uliyopewa na Mungu yasikufanye usahau ukuu wa Mungu.
To your surprise unaweza kumpata Ndugu Satuuuu ukampa dawa na ukashindwa kumponya ukashangaa anaponywa na Mungu kupitia maombi.
Anyway,Mungu akuongezee maarifa kila umkumbukapo na kumwabudu.
Nilitaka kukukumbusha hilo tu. Nilidhani umesahau
 
Pole sana mkuu ila kansa ya damu inatibika na kupona kabisa japo ni ghali,nnao ushahidi namfaham jamaa yangu nlisoma nae chuo mwaka wa pili akagundulika na kansa ya damu,ila akapelekwa marekani na kapona kabisaaaaa nakurejea kumaliza elimu yake. Hapo ni pesa tu chamsingi kama uwezo haupo unaweza kufundrise mtafute mtu kama Sam Maela wa itv anaweza kukuunganisha na Watz wenzio na ukasaidiwa,uckate tamaa mkuu hayo mambo yanafanyika na huyo jamaangu yupo usa sasa maana mzee wake yuko huko na familia,chukua hatua na ukirejea huku wapo watu tunachanga tu mbona harusi kibao tunatoa pesa
 
Mkuu Asante umenipa mwanga
 
Hii thread nimeiona late ila kama binadamu I have to be so concerned. Pole sana kaka, ninaposema pole sina maana tatizo lako ni kubwa kuliko Mungu, hapana. Nimejaribu kusoma comment za watu nimeona kuna mdau kakushauri kuhusu kitunguu swaumu, asali na limao hivi vitu vinauwezo mkubwa wa kufanya magic, ningependa kukushauri kwamba katika Asali jaribu kutafuta ile asali ambayo ni pure, haijachakachuliwa na pia kuna sukari nyingi mjini ambazo zinatengenezwa na sukari guru, hizi haziwezi kufanya kazi kama asali orijino. Katika kununua asali zingatia sana hilo mkuu ili kupata tiba sahihi.

Mungu ni mkubwa kuliko matatizo /magonjwa yanayotusumbua.
 
Very strong message, mkuu maneno yako yana busara mno! kwa huyu mgonjwa na wengine wote.
Mazingatio ni muhimu sana katika ushauri huu.
Muumba akuzidishie busara, aamin.
 
Mkuu pole sana na pia namwomba muumba akuponye, lakini nikupe tahadhari pia katika maelezo yako umegusia tiba mbadala mimi nakubali tiba mbadala ipo lakini angalia hiyo tiba unaipata kwa nani maana jamaa wa tiba mbadala kipindi hiki wako wengi mno lakini wengi ni wa kuongeza tatizo badala ya kuondoa,kuwa makini na hilo.
Nataraji pia utakuwa umesoma maelezo ya mkuu kinyau kwa mtazamo wangu kuna busara kubwa ndani yake, tafakari.
Mwisho nakuombea tena kwa muumba akuponye kwani yeye ndiye mfalme wa waponyaji.
 
Mabazazi wote wanaokufata pm hujawaona mpaka ukataka kumtunza mtoa mada?
Stunter labda hujamwelewa miss natafuta, binafsi nilivyomwelewa mimi anajaribu kumfariji mgonjwa kwamba ugonjwa wake wala si tatizo kuuuubwa kivile so apunguze ama aondoe kabisa stress na mambo yaende kama kawaida ndo maana anaingizia jokes fulani hivi ili mgonjwa aondoe stress.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…