Satuuuu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,849
- 1,993
Wapendwa habari zenu,
Tatizo lenyewe ni kuwa katika hali ya kupambana na Cancer ya Damu, ilikua 2014 mwanzoni nilipoanza kuhisi uvimbe tumboni ndipo nilipoamua kwenda Hospitali na kufanya vipimo ambapo kwakweli majibu yalionyesha tu kuna uvimbe wa bandama na nilipewa tu vidonge vyakupunguza uvimbe.
Pia niliambiwa ukiendelea kuwepo basi watanipasua na kuitoa bandama jambo lililonipa wasiwasi sana, siku zikazidi kwenda uvimbe unaongezeka nilipofika hospitali nikaongezewa doze, baada ya kuanza kutumia vidonge na doze ikiwa imeongezwa afya ikaanza kudhoofika ndipo nilipo amua kuvuka mpaka na kwenda nchi ya jirani walipo gundua kuwa nina tatizo la Cancer ya Damu.Nikaanzishwa dawa ya kuua makali na cells za cancer ambazo bado naendelea kuzitumia.
Ombi langu kwenu wapendwa najua katika wingi wetu humu JF wapo watu wenye kujua zaidi juu ya tiba mbadala ambazo nimesikia kuwa zipo Ila kwakweli sizifahamu, pili niliwahiambiwa kuwa Serikali husaidia matibabu ya Cancer kupitia kuchangia gharama au kutoa dawa lakini kwangu binafsi sijui wapi pakuanzia.
Nimekuja kwenu naitaji ushauri kutoka kwenu.
Tatizo lenyewe ni kuwa katika hali ya kupambana na Cancer ya Damu, ilikua 2014 mwanzoni nilipoanza kuhisi uvimbe tumboni ndipo nilipoamua kwenda Hospitali na kufanya vipimo ambapo kwakweli majibu yalionyesha tu kuna uvimbe wa bandama na nilipewa tu vidonge vyakupunguza uvimbe.
Pia niliambiwa ukiendelea kuwepo basi watanipasua na kuitoa bandama jambo lililonipa wasiwasi sana, siku zikazidi kwenda uvimbe unaongezeka nilipofika hospitali nikaongezewa doze, baada ya kuanza kutumia vidonge na doze ikiwa imeongezwa afya ikaanza kudhoofika ndipo nilipo amua kuvuka mpaka na kwenda nchi ya jirani walipo gundua kuwa nina tatizo la Cancer ya Damu.Nikaanzishwa dawa ya kuua makali na cells za cancer ambazo bado naendelea kuzitumia.
Ombi langu kwenu wapendwa najua katika wingi wetu humu JF wapo watu wenye kujua zaidi juu ya tiba mbadala ambazo nimesikia kuwa zipo Ila kwakweli sizifahamu, pili niliwahiambiwa kuwa Serikali husaidia matibabu ya Cancer kupitia kuchangia gharama au kutoa dawa lakini kwangu binafsi sijui wapi pakuanzia.
Nimekuja kwenu naitaji ushauri kutoka kwenu.