Nahitaji ushauri wako kuhusu saratani ya damu

Nahitaji ushauri wako kuhusu saratani ya damu

Kina kitu kinaitwa trevo japo sina uhakika nacho lakini wengi wanatoa shuhuda kuwa inasaidia cancer, jaribu ndugu yangu. pole sana.
 
Wapendwa habari zenu.
Tatizo lenyewe ni kuwa ktk hali ya kupambana na Cancer ya Damu, ilikua 2014 mwanzoni nilipo anza kuhisi uvimbe tumboni ndipo nilipo amua kwenda Hosp na kufanya vipimo ambapo kwakweli majibu yalionyesha tu kuna uvimbe wa bandama na nilipewa tu vidonge vyakupunguza uvimbe.

Pia niliambiwa ukiendelea kuwepo basi watanipasua na kuitoa bandama jambo lililonipa wasiwasi sana,siku zikazidi kwenda uvimbe unaongezeka nilipo hosp nikaongezewa doze, baada ya kuanza kutumia vidonge na doze ikiwa imeongezwa afya ikaanza kudhoofika ndipo nilipo amua kuvuka mpaka na kwenda nchi ya jirani walipo gundua kuwa nina tatizo la Cancer ya Damu.

Nikaanzishwa dawa ya kuua makali na cells za cancer ambazo bado naendelea kuzitumia. Ombi langu kwenu wapendwa najua ktk wingi wetu humu JF wapo watu wenye kujua zaidi juu ya tiba mbadala ambazo nimeskia kuwa zipo Ila kwakweli sizifahamu, pili niliwahi ambiwa kuwa Serikali husaidia matibabu ya Cancer kupitia kuchangia gharama au kutoa dawa lakini kwangu binafsi sijui wapi pakuanzia. Nimekuja kwenu naitaji ushauri kutoka kwenu.

POLE SANA KAKA,NAOMBA UNIJULISHE MAENEO GANI YA TUMBO YALIKUWA YAKIUMA?NATAKA NIFAHAMU PIA MANAKE KUNA KIPINDI NILIAMBIWA NINA MATATIZO YA BANDAMA NIKAENDA HOSPITAL KUPIMWA DOCTA AKANIAMBIA BANDAMA YANGU IPO VIZURI LAKINI SIJIELEWI ELEWI,HEBU NAOMBA UNIJUZE DALILI ZAKE MKUU.
 
Pole sana mkuu kama wadau walivoshauri nenda ocean road na reference ya matibabu ya mwanzo watakupokea, mapema ni bora zaidi.
 
Pole sana kaka.
Cha kwanza kabla ya matibabu yote ya mwili mwamini Mungu kuwa anaweza yote . Pili uponyaji huendana na stability ya roho akili na mwili wako. Hivyo kwa imani yako yoyote zidi kufanya ibada. Pia amini kuwa you are stronger that the disease. Tatu anza sass lifestyle inayoenda kupunguza makali ya magonjwa yote. Acha matumizi ya processed foods , acha matumizi ya excess starch na sugar. Jikite kwenye gree foods , lots of water and oxygen .
Tatu: Do all the readings you can about that disease. Hata kama unaenda kwa wataalamu kama upo kwenye nafasi ya kuresearch itakupa mwanga hata wa kujadiliana na daktari kuhusu treatment plan anayosuggest kwako. By reading other related success stories utajua the DOs and DONTs. Soma pia kuhusu alternate cancer treatments ( use of laetrile, wheat grass, blackstrap mollases etc) . In all these omba Mungu akuongoze kwenye right plan and trust your choice.
Unapokuws mgonjwa utapata ushauri mwingi sana ila kama una all the needed information inasaidia kumake the right choises.
God bless you and We trust and pray you rise up as a Hero.
Asante sana mkuu hakika nimepata mengi
 
Pole sana kaka na nadhani take advantage ya hizi Bima za Afya kama NHIF. Kuna mtu aliniambia kua ukijiunga na Mfuko wa PSPF then wanakuunganisha na Bima ya NHIF na hapo unaweza kutibiwa katika Hospitali with no cost.
I wil make a follow up
 
Pole mkuu nini ilikuwa indicator ya kujua kama ulikuwa na uvimbe tumboni???
Niliweza kuhisi kitu tofauti hasa nyakati za kulala ilikua naweza kuhisi kuna uzito flan na ugumu wa kitu upande wa kushoto
 
Wapendwa habari zenu.
Tatizo lenyewe ni kuwa ktk hali ya kupambana na Cancer ya Damu, ilikua 2014 mwanzoni nilipo anza kuhisi uvimbe tumboni ndipo nilipo amua kwenda Hosp na kufanya vipimo ambapo kwakweli majibu yalionyesha tu kuna uvimbe wa bandama na nilipewa tu vidonge vyakupunguza uvimbe.

Pia niliambiwa ukiendelea kuwepo basi watanipasua na kuitoa bandama jambo lililonipa wasiwasi sana,siku zikazidi kwenda uvimbe unaongezeka nilipo hosp nikaongezewa doze, baada ya kuanza kutumia vidonge na doze ikiwa imeongezwa afya ikaanza kudhoofika ndipo nilipo amua kuvuka mpaka na kwenda nchi ya jirani walipo gundua kuwa nina tatizo la Cancer ya Damu.

Nikaanzishwa dawa ya kuua makali na cells za cancer ambazo bado naendelea kuzitumia. Ombi langu kwenu wapendwa najua ktk wingi wetu humu JF wapo watu wenye kujua zaidi juu ya tiba mbadala ambazo nimeskia kuwa zipo Ila kwakweli sizifahamu, pili niliwahi ambiwa kuwa Serikali husaidia matibabu ya Cancer kupitia kuchangia gharama au kutoa dawa lakini kwangu binafsi sijui wapi pakuanzia. Nimekuja kwenu naitaji ushauri kutoka kwenu.
Kama hauna bima ya afya, jiunge kwanza bima ya afya hata kupitia PPF itakusaidia sana, kutibiwa kwa cash lazima utakufa masikini. Mungu akubariki.
 
POLE SANA KAKA,NAOMBA UNIJULISHE MAENEO GANI YA TUMBO YALIKUWA YAKIUMA?NATAKA NIFAHAMU PIA MANAKE KUNA KIPINDI NILIAMBIWA NINA MATATIZO YA BANDAMA NIKAENDA HOSPITAL KUPIMWA DOCTA AKANIAMBIA BANDAMA YANGU IPO VIZURI LAKINI SIJIELEWI ELEWI,HEBU NAOMBA UNIJUZE DALILI ZAKE MKUU.
Ni upande wa kushoto unaweza hisi uvimbe kwa kujigusa au maumivu kwa mbali
 
Ukiwa unaendelea na matibabu yako, kila mara ukipata muda, chukua kitunguu swaumu kitwange au kikuangue ( kama vile unataka kupikia labda mboga), kisha kiweke kwenye kikombe, kisha chukua asali kijiko kimoja weka ndani ya kikombe chenye kitunguu swaumu, harafu kata limao nusu kamulia ndani ya mchanganyiko wa hiyo asali na kitunguu swaumu. Baada ya hapo chemsha maji weka ndani ya kikombe hicho. Kunywa kama chai. Kila siku upatapo muda ( hakikisha kwa siku unakunywa si chini ya siku mbili). Utashangaaaa! ...... Jitahidi kutumia na usiache dawa zako endelea nazo
 
Ukiwa unaendelea na matibabu yako, kila mara ukipata muda, chukua kitunguu swaumu kitwange au kikuangue ( kama vile unataka kupikia labda mboga), kisha kiweke kwenye kikombe, kisha chukua asali kijiko kimoja weka ndani ya kikombe chenye kitunguu swaumu, harafu kata limao nusu kamulia ndani ya mchanganyiko wa hiyo asali na kitunguu swaumu. Baada ya hapo chemsha maji weka ndani ya kikombe hicho. Kunywa kama chai. Kila siku upatapo muda ( hakikisha kwa siku unakunywa si chini ya siku mbili). Utashangaaaa! ...... Jitahidi kutumia na usiache dawa zako endelea nazo
Nimesahau kitu.....unatakiwa kunywa huo mchanganyiko asubuhi kabla hujala kitu na vitunguu swaumu viwe vingi uwezavyo na uvimeze usiviache kwenye kikombe (kwa hiyo nivema unywe huku unakologa ile umeze vyote). Baada ya hapo mchana unaweza kunywa wakati wowote.... Ukitumia baada ya mwezi mmoja uje PM uniambie unaendeleje.......ni tiba usidharau tafadhari
 
Incase ukisikia nguvu zinaisha mwilini, utachemsha tangawizi (tangawizi iwe kali sio kama ile unayoweka kwenye chai ) kicha utaweka sukari kwa mbali, unywe baada ya saa moja ukimaliza kupata lunch.
N.B.. Tangawizi inyweke kama utasikia mwili unapoteza nguvu. ( ujilazimishe kula maana tangawizi itakupa nguvu nyingi na hautasikia hamu ya kula).
 
Back
Top Bottom