Nahitaji wadada wawili wa kuhudumia (ku-serve) chakula Bar

Nahitaji wadada wawili wa kuhudumia (ku-serve) chakula Bar

Chimulenge

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
219
Reaction score
150
Nahitataji wadada wawili wachapa kazi wa kuserve chakula kwenye bar.

Awe mwenye muonekano maridadi.
Awe mzoefu na kazi.
Awe mchapa kazi.

Kazi ipo Dodoma, wakazi wa Dodoma watapewa kipaumbele

Mshahara maelewano kwa aliye tayari tuwasiliane 0622723082

Kazi inaanza kesho
 
Nahitataji wadada wawili wachapa kazi wa kusave chakula kwenye bar.

Awe mwenye muonekano maridadi.
Awe mzoefu na kazi.
Awe mchapa kazi.

Kazi ipo Dodoma, wakazi wa dodoma watapewa kipaumbele

Mshahara maelewano kwa aliyetayari tuwasiliane 0622723082 kazi inaanza kesho
Cc Erythrocyte changamkia tenda ili uwe busy
 
Mm wakishaanza kazi ntakuja kupata kinywaji hapo niwatest ubora wao
Karibu sana

IMG20210608173416.jpg
 
Back
Top Bottom