Sagungu 1914
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 938
- 581
Hivi wanaoshindwa katika migogoro ya ardhi kwenye suluhu inayo tolewa katika mabaraza ya ardhi ya kata,nao wanaruhusiwa kukata rufaa katika baraza la ardhi na nyumba la wilaya?,na je asipokata rufaa ndani ya siku 45 Sheria inasemaje Kwa huyo mtu?