Nahitaji watu wawili au watatu tuunganishe nguvu ya kujifunza app/web development

Nahitaji watu wawili au watatu tuunganishe nguvu ya kujifunza app/web development

antanarivo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2018
Posts
450
Reaction score
883
Hello JF members!

Kutokana na kuwa saivi soko kuu la ajira lipo kwenye teknolojia Basi ni vizuri vijana tukachangamkia fursa ambapo sehemu pekee na yenye uhakika ambayo mtu anaweza kujiajiri na kupata kipato kizuri Basi ni hii ya web developer so kwa kutambua hili nataka niingie rasmi kwenye kujifunza (self learning)

Ko Kama Kuna mtu/watu ambaye tunaweza kupeana kampani itakuwa vizuri sana ili tuweze kuanza rasmi hii haijarishi uwezo wako wa sasa ulio nao kwenye coding Mimi nahitaji tuanze mwanzo kabisa na language ya html mpaka kuja kucode mifumo yetu wenyewe ambayo ni madhubuti

Najua tukiwa serius baada ya miezi 7 tutakuwa tupo sehemu ambayo Ina mwanga tayari na tukikomaa mwaka mmoja Basi tutakuwa tumeiva naamini hakuna kinachoshindikana

Kama upo tayari tuweze kuongea tuanzie wapi

Mimi nipo dar es salaam na tukionana najua tutapanga mipango vizuri namna ya kupata kaofisi kadogo ka kuanzia ambapo tutakuwa tunakutana na baadhi ya vifaa vichache Kama pc n.k

NB. Nahitaji watu serius na mwenye Nia ya kweli sio kwamba umekuja wiki mbili unanitelekeza nahitaji mtu ambaye Hana chembe ya kukata tamaa

Ahsante
 
Dah kwa bahati mbaya Niko mbali sana na dar ila nimekuwa interested na idea yako labda Kama Kuna option ya kujifunza online tuambie
 
Sure, hata mimi nilihitaji sana hii kitu ila nipo mbali....hakuna online opt.
 
Mm piah nahitaji kujifunza hiko sem mkuu nik mbal san
 
Binafsi sioni haja ya newbies kukutana ili kujifunza programming. Kuna maelfu ya resources za bure mtandaoni , chukua kaa nyumbani pitia vizuri Kisha tafuta mentor akuongoze.
 
Binafsi sioni haja ya newbies kukutana ili kujifunza programming. Kuna maelfu ya resources za bure mtandaoni , chukua kaa nyumbani pitia vizuri Kisha tafuta mentor akuongoze.
Ushawahi jaribu kujifunza coding mkuu ,iko very boring so mkiwa wawili watatu ni rahisi kukomaa ,
 
Ushawahi jaribu kujifunza coding mkuu ,iko very boring so mkiwa wawili watatu ni rahisi kukomaa ,
Aisee ukweli ni kwamba usipokomaa mwenyewe hamna cha maana utakachofanikisha, kama huwezi kudownload tutorials ukazisikiliza huku unafanya practice mpaka kieleweke kwa mazingira ya bongo utapotea. Programming sio boring kama unaelewa unachokifanya na ili uelewe unachokifanya unahitaji personal effort na commitment
 
Ushawahi jaribu kujifunza coding mkuu ,iko very boring so mkiwa wawili watatu ni rahisi kukomaa ,
Hamtofika mbali trust me. We chukua tutorials ,tafuta online communities , fanya mazoezi ya kutosha,kuwa consistent. Mwisho wa siku utaweza ku connect dots.
 
Aisee ukweli ni kwamba usipokomaa mwenyewe hamna cha maana utakachofanikisha, kama huwezi kudownload tutorials ukazisikiliza huku unafanya practice mpaka kieleweke kwa mazingira ya bongo utapotea. Programming sio boring kama unaelewa unachokifanya na ili uelewe unachokifanya unahitaji personal effort na commitment
From my experience of self learning specifacally in java html and css, you can spend three weeks learning something which you would learn just in a minute.
Self learning need high attention span!
You better choose a team rather than hide alone alone in a room and get bored!
The difficult thing in learning comp programming is how to connect dots not syntax, ie how to use those syntax to create imaginary thing.
 
Hamtofika mbali trust me. We chukua tutorials ,tafuta online communities , fanya mazoezi ya kutosha,kuwa consistent. Mwisho wa siku utaweza ku connect dots.
Mm c ndio namshangaa eti anajifunza ata mm siji uje uibe knowledge za watu mwisho wa siku ww ndio mzigo
 
Pole sn bro ungekuwa na uzoefu ninhekuitq ofisin nikupe kaz natafuta developers wawili
 
Mimi nimeanza na two weeks nasoma pia nahusisha wataalamu kidogo idear inakuja. Ukisoma mwenyewe bila kusaidiwa na wanaojua sawa na kazi bure alafu passion ya kusoma inapotea ghafla!
 
From my experience of self learning specifacally in java html and css, you can spend three weeks learning something which you would learn just in a minute.
Self learning need high attention span!
You better choose a team rather than hide alone alone in a room and get bored!
The difficult thing in learning comp programming is how to connect dots not syntax, ie how to use those syntax to create imaginary thing.
The reality is , most developers are self taught, all you need is commitment. Teams have other complex dynamics and most of them don't last long. If you are to make it as a professional a software developer especially in developing countries like Tanzania the best option is the self-learning approach.

Learn the architecture of whatever solution you are building, read about proper code design patterns and practice. Google, youtube, stackoverflow, reddit + many other communites have answers to whatever question you have, asking others doesnt necessarily mean you have to mobilize a team and be in the same room just to learn a concept.

By the way, programming doesn't necessarily create imaginary things, you can use abstract concepts to create working solutions be it a mobile, web , desktop , microcontroller app that solves a problem that can be observed in the real world....very few people especially in Tanzania have the privilege of creating abstract things from abstract concepts i.e. create algorithms that solve absract problems.

Most Tanzanian programmers spend their time on applying existing algorithms/data structures to solve certain well known problem.
 
Mimi nimeanza na two weeks nasoma pia nahusisha wataalamu kidogo idear inakuja. Ukisoma mwenyewe bila kusaidiwa na wanaojua sawa na kazi bure alafu passion ya kusoma inapotea ghafla!
Ulikuwa unasoma nini hasa ? Komaeni aisee, wengine tulijifunza hizo programing enzi hamna youtube...bundle ya internet mb 1 unanunua kwa shilingi 10,000. Unaenda interenet cafe mara moja kwa mwezi ukibahatisha kitabu cha Visual Basic ndio una jaribisha chochote hapo hapo unaandika na notes ukirudi tena ni mwezi mwingine unaanza moja
 
The reality is , most developers are self taught, all you need is commitment. Teams have other complex dynamics and most of them don't last long. If you are to make it as a professional a software developer especially in developing countries like Tanzania the best option is the self-learning approach.

Learn the architecture of whatever solution you are building, read about proper code design patterns and practice. Google, youtube, stackoverflow, reddit + many other communites have answers to whatever question you have, asking others doesnt necessarily mean you have to mobilize a team and be in the same room just to learn a concept.

By the way, programming doesn't necessarily create imaginary things, you can use abstract concepts to create working solutions be it a mobile, web , desktop , microcontroller app that solves a problem that can be observed in the real world....very few people especially in Tanzania have the privilege of creating abstract things from abstract concepts i.e. create algorithms that solve absract problems.

Most Tanzanian programmers spend their time on applying existing algorithms/data structures to solve certain well known problem.
In 21st century team work is no.1 choise. There is no big thing built by a single scientist in 21c .
You can use more time to figure out something inwch a team can just solve it easly! i can't mention something big built by a singe hand in all realm of technology but i can mention many thing built by a team, can you mention one ?
In ground we get news that some team are working in lab building a quanfum computer but the virse versa is not true.
 
By the way, programming doesn't necessarily create imaginary things, you can use abstract concepts to create working solutions be it a mobile, web , desktop , microcontroller app
Is software imaginarything or real thing?
 
The reality is , most developers are self taught, all you need is commitment. Teams have other complex dynamics and most of them don't last long. If you are to make it as a professional a software developer especially in developing countries like Tanzania the best option is the self-learning approach.

Learn the architecture of whatever solution you are building, read about proper code design patterns and practice. Google, youtube, stackoverflow, reddit + many other communites have answers to whatever question you have, asking others doesnt necessarily mean you have to mobilize a team and be in the same room just to learn a concept.

By the way, programming doesn't necessarily create imaginary things, you can use abstract concepts to create working solutions be it a mobile, web , desktop , microcontroller app that solves a problem that can be observed in the real world....very few people especially in Tanzania have the privilege of creating abstract things from abstract concepts i.e. create algorithms that solve absract problems.

Most Tanzanian programmers spend their time on applying exiWhy are Tanzanuansting algorithms/data structures to solve certain well known problem.
Why are Tanzanian not able to develop new algorithms ?
Do you wnt to tell me Tanz. developer are not geneus,gifted and preveledge to create those wonder!
Why is the same to Tanz mathematician, physist, Engineer, chemists etc. They are all not able to come up with new inventionvand discovery, most of them use western and eastern invention to solve their problems ?
Watanzania ni vilaza ? Mbona walifaulu mitihani kwa A zote?
 
Back
Top Bottom