Nahitaji watu wawili au watatu tuunganishe nguvu ya kujifunza app/web development

Nahitaji watu wawili au watatu tuunganishe nguvu ya kujifunza app/web development

Hatuna show off mkuu watu niliokuwa nahitaji nimepata na ofisi tumepanga kazi inaendelea sikusema Mimi nahitaji lundo la watu rudia heading uelewe
 
Hatuna show off mkuu watu niliokuwa nahitaji nimepata na ofisi tumepanga kazi inaendelea sikusema Mimi nahitaji lundo la watu rudia heading uelewe
Bila kujionesha uwezo wako basi tegemea mafanikio uyasikie kwa jirani.
Kama mnachotaka kufanya ni business basi ni lazima ujioneshe na usiogope challenges au itakuwa kazi bure tu na kupoteza muda sababu hiyo ndio maana ya business.
Unless unafanya for fun like I was.

Critics, Challenges and Show off itakupa ukweli kwamba unachofanya ni something better au unajiongopea mwenyewe na itakuboost to be more productive and to push the boundaries, even elon musk alisema hivi kwenye kitabu chake.
Nachofanya mimi nilitaka nione mlipo ili niprove kufanya kazi solo na group nani anaenda faster na nani atakuwa more focused and productive, ila kwakua mnaogopa Critics, Challenges na Show off basi inaonesha hamna uhakika wala kujiamini na mimi nipo sahihi kwamba Solo is way much faster and more productive.

Bytheway I never wanted to be in your group if it's about groups then I should've started my own group and me be the leader and not otherwise.
But no I just wanted to prove my hypothesis, its proved.
No offense wala panic lakini hapa ndio mwanzo na uhalisia wa business ulivyo especially kama unataka kuanzisha company, so good luck.
 
Bila kujionesha uwezo wako basi tegemea mafanikio uyasikie kwa jirani.
Kama mnachotaka kufanya ni business basi ni lazima ujioneshe na usiogope challenges au itakuwa kazi bure tu na kupoteza muda sababu hiyo ndio maana ya business.
Unless unafanya for fun like I was.

Critics, Challenges and Show off itakupa ukweli kwamba unachofanya ni something better au unajiongopea mwenyewe na itakuboost to be more productive and to push the boundaries, even elon musk alisema hivi kweny kitabu chake.
Nachofanya mimi nilitaka nione mlipo ili niprove kufanya kazi solo na group nani anaenda faster na nani atakuwa more focused and productive, ila kwakua mnaogopa Critics, Challenges na Show off basi inaonesha hamna uhakika wala kujiamini na mimi nipo sahihi kwamba Solo is way much faster and more productive.

Bytheway I never wanted to be in your group if it's about groups then I should've started my own group and me be the leader and not otherwise.
But no I just wanted to prove my hypothesis, its proved.
No offense wala panic lakini hapa ndio mwanzo na uhalisia wa business ulivyo especially kama unataka kuanzisha company, so good luck.
Solo is better for small project, lakini linapokuja swal la project kubwa basi team inafaa zaidi.
 
Bila kujionesha uwezo wako basi tegemea mafanikio uyasikie kwa jirani.
Kama mnachotaka kufanya ni business basi ni lazima ujioneshe na usiogope challenges au itakuwa kazi bure tu na kupoteza muda sababu hiyo ndio maana ya business.
Unless unafanya for fun like I was.

Critics, Challenges and Show off itakupa ukweli kwamba unachofanya ni something better au unajiongopea mwenyewe na itakuboost to be more productive and to push the boundaries, even elon musk alisema hivi kweny kitabu chake.
Nachofanya mimi nilitaka nione mlipo ili niprove kufanya kazi solo na group nani anaenda faster na nani atakuwa more focused and productive, ila kwakua mnaogopa Critics, Challenges na Show off basi inaonesha hamna uhakika wala kujiamini na mimi nipo sahihi kwamba Solo is way much faster and more productive.

Bytheway I never wanted to be in your group if it's about groups then I should've started my own group and me be the leader and not otherwise.
But no I just wanted to prove my hypothesis, its proved.
No offense wala panic lakini hapa ndio mwanzo na uhalisia wa business ulivyo especially kama unataka kuanzisha company, so good luck.
Wacha ikae hivo
 
Solo is better for small project, lakini linapokuja swal la project kubwa basi team inafaa zaidi.
Yeah, lakini team inahitaji real enthusiasts na enthusiasm ni kitu ambacho hakiexist miongoni mwa watanzania wengi.
Na hapo ndipo tatizo linapoanzia na ndio maana ni ngumu kukuta projects kubwa tanzania.
 
Yeah, lakini team inahitaji real enthusiasts na enthusiasm ni kitu ambacho hakiexist miongoni mwa watanzania wengi.
Na hapo ndipo tatizo linapoanzia na ndio maana ni ngumu kukuta projects kubwa tanzania.
Yeah, lakini team inahitaji real enthusiasts na enthusiasm ni kitu ambacho hakiexist miongoni mwa watanzania wengi.
Na hapo ndipo tatizo linapoanzia na ndio maana ni ngumu kukuta projects kubwa tanzania.
Yeah, lakini team inahitaji real enthusiasts na enthusiasm ni kitu ambacho hakiexist miongoni mwa watanzania wengi.
Na hapo ndipo tatizo linapoanzia na ndio maana ni ngumu kukuta projects kubwa tanzania.
Nilivyoelewa uzi ni group la kujifunza sio kampuni ya kuunda software. Mkuu issue ya kampuni hamuwezi okotana from no where bila kujua uwezo wa kila mtu.
Mnaweza jikuta wote form failure mmeanzisha group sidhani kama linaweza kuwa successive.
Binafsi nikianzisha group naweka vigezo vigumu ili kuchuja maamuma wasio na uwezo na uelewa wa mambo mbali mbali ila wana ari tu ya kujifunza coding.
Code is one side na business ni another side na vyoye vinahitaji watu wenye talent na iq tofauti.
Nolichojifunza kwenye hii industry kuandika code ni kaeneo kadogo sana ktk bahari ya software industry.
Watu wengi sana duniani wanajua coding ila hawajui biashara yenyewe inafanywaje, hivyo basi ni vizuri pia kujifunza how the industry is run.
 
<html> <head> <title>Coding ni kucode</title> </head> <body> <p id="dushe"></p> <button value="gusa" onclick="onesha()"> <script> function onesha(){ document.getElementById(dushe).innerHTML="naomba anaejua kukode vizuri anipige msasa"; } </script> </body> </html>
 
<html> <head> <title>Coding ni kucode</title> </head> <body> <p id="dushe"></p> <button value="gusa" onclick="onesha()"></button> <script> function onesha(){ document.getElementById(dushe).innerHTML="naomba anaejua kukode vizuri anipige msasa"; } </script> </body> </html>
Code:
section .data
    pagumu:     db 'msaada uliupata boss!',10   
    tzyacodeLen:  equ $-pagumu             

section .text
    global _start

_start:
    mov eax,4           
    mov ebx,1           
    mov ecx,pagumu       
    mov edx,tzyacodeLen     
                        
    int 80h             
    mov eax,1           
    mov ebx,0         
    int 80h;
 
Hello JF members!

Kutokana na kuwa saivi soko kuu la ajira lipo kwenye teknolojia Basi ni vizuri vijana tukachangamkia fursa ambapo sehemu pekee na yenye uhakika ambayo mtu anaweza kujiajiri na kupata kipato kizuri Basi ni hii ya web developer so kwa kutambua hili nataka niingie rasmi kwenye kujifunza (self learning)

Ko Kama Kuna mtu/watu ambaye tunaweza kupeana kampani itakuwa vizuri sana ili tuweze kuanza rasmi hii haijarishi uwezo wako wa sasa ulio nao kwenye coding Mimi nahitaji tuanze mwanzo kabisa na language ya html mpaka kuja kucode mifumo yetu wenyewe ambayo ni madhubuti

Najua tukiwa serius baada ya miezi 7 tutakuwa tupo sehemu ambayo Ina mwanga tayari na tukikomaa mwaka mmoja Basi tutakuwa tumeiva naamini hakuna kinachoshindikana

Kama upo tayari tuweze kuongea tuanzie wapi

Mimi nipo dar es salaam na tukionana najua tutapanga mipango vizuri namna ya kupata kaofisi kadogo ka kuanzia ambapo tutakuwa tunakutana na baadhi ya vifaa vichache Kama pc n.k

NB. Nahitaji watu serius na mwenye Nia ya kweli sio kwamba umekuja wiki mbili unanitelekeza nahitaji mtu ambaye Hana chembe ya kukata tamaa

Ahsante
Niko dar uko maeneo gan tuji organize ndugu
 
Why are Tanzanian not able to develop new algorithms ?
Do you wnt to tell me Tanz. developer are not geneus,gifted and preveledge to create those wonder!
Why is the same to Tanz mathematician, physist, Engineer, chemists etc. They are all not able to come up with new inventionvand discovery, most of them use western and eastern invention to solve their problems ?
Watanzania ni vilaza ? Mbona walifaulu mitihani kwa A zote?
Wewe ñdo kilaza. Unataka kujua nn kuhusu Tanzania, sio Kila kitú ujue
 
Hello JF members!

Kutokana na kuwa saivi soko kuu la ajira lipo kwenye teknolojia Basi ni vizuri vijana tukachangamkia fursa ambapo sehemu pekee na yenye uhakika ambayo mtu anaweza kujiajiri na kupata kipato kizuri Basi ni hii ya web developer so kwa kutambua hili nataka niingie rasmi kwenye kujifunza (self learning)

Ko Kama Kuna mtu/watu ambaye tunaweza kupeana kampani itakuwa vizuri sana ili tuweze kuanza rasmi hii haijarishi uwezo wako wa sasa ulio nao kwenye coding Mimi nahitaji tuanze mwanzo kabisa na language ya html mpaka kuja kucode mifumo yetu wenyewe ambayo ni madhubuti

Najua tukiwa serius baada ya miezi 7 tutakuwa tupo sehemu ambayo Ina mwanga tayari na tukikomaa mwaka mmoja Basi tutakuwa tumeiva naamini hakuna kinachoshindikana

Kama upo tayari tuweze kuongea tuanzie wapi

Mimi nipo dar es salaam na tukionana najua tutapanga mipango vizuri namna ya kupata kaofisi kadogo ka kuanzia ambapo tutakuwa tunakutana na baadhi ya vifaa vichache Kama pc n.k

NB. Nahitaji watu serius na mwenye Nia ya kweli sio kwamba umekuja wiki mbili unanitelekeza nahitaji mtu ambaye Hana chembe ya kukata tamaa

Ahsante
Kaka umefikia wapi?
 
Back
Top Bottom