Nahitaji watu wawili au watatu tuunganishe nguvu ya kujifunza app/web development

Nahitaji watu wawili au watatu tuunganishe nguvu ya kujifunza app/web development

Kutoka na kila mtu kuwa katika location tofauti basi tutengeneze club au learning group kupitia hii thread,telegram,clubhouse au google meet
 
Wazo zuri, nafuatiliaga sana ishu za tech kutengeneza Team au Ecosystem ndio msingi wa kufanikiwa.

Misijawai jifunza Coding ila ilikuwa kwenye mipango yangu, naomba niwepo kwenye hili jambo.

Nashuri tuwe kama watano mapaka sita tutafute sehemu hata kukodi chumba cha 50,000 kwa mwezi tunaweka Working Station tu inatosha tunaweza kukitana kilasiku au hata Weekend kwawalio bize, hii itasaidia kutengeneza Ecosystem unayokuwa nayo kwenye Niche husika...hata ukiwa muda mwengine unajifunza mwenyewe muda mwengine unajumuika na Team.
 
Wazo zuri, nafuatiliaga sana ishu za tech kutengeneza Team au Ecosystem ndio msingi wa kufanikiwa.

Misijawai jifunza Coding ila ilikuwa kwenye mipango yangu, naomba niwepo kwenye hili jambo.

Nashuri tuwe kama watano mapaka sita tutafute sehemu hata kukodi chumba cha 50,000 kwa mwezi tunaweka Working Station tu inatosha tunaweza kukitana kilasiku au hata Weekend kwawalio bize, hii itasaidia kutengeneza Ecosystem unayokuwa nayo kwenye Niche husika...hata ukiwa muda mwengine unajifunza mwenyewe muda mwengine unajumuika na Team.
Nicheki WhatsApp mkuu 0747456177
 
Nipo hapa uncle wenu, Kwa vijana under 40 hii ni great opportunity, mmezaliwa wakati mzuri nyie, sie social group zilikuwa shuleni na mtaani na mawazo makuu yalikuwa kuambukizana tabia za kisela na kukomalia masomo ya darasani tu.
Sasa jukwaa kama hili ni faida kubwa sana kuwaunganisha watu wanaotaka ku adapt na ulimwengu unavyokwenda.
Mpaka leo siku ya tatu bado watu wanajadili kuunda timu , ilitakiwa mpaka leo ziwe zimeundwa timu na yamewekwa malengoTimu zinaweza kuwa kwenye kona tofauti tofauti kulingana na watu walipo na kuwe na central group wasap ambalo litaunganisha nuclear group ili kiweza kupush pale ambapo group fulani linakwama, ikiwezekana hapa hapa JF pawe napo kama group mama.
Wapuuzeni wanaodhani wanajua na wanataka kutumiwa ujuzi wao bure ni wajinga sana.
Binafsi natembelea sana Naira na quora forum ktk tevh forum wao hawana wivu wanapeana ushauri na kusaidiana mambo ya tech nashangaa hapa kuna watu wamekuja na negative altitude, they are fool!
Unaweza ukawa umeanza na mwezzio akaja nyuma kumbe ndio mwenye annovative ideas na ndio maana kila kukicha new comers come up with new technology.
Wewe unaejua kuwa mentor basi kwani kuna faida kubwa sana to mentor others, halafu kujua kwako hakutazuia watu wasijue, njia ni nyingi sana za kujifunza haya mambo hata kama utakataa to join others. Acha niishie hapa.
 
Nipo hapa uncle wenu, Kwa vijana under 40 hii ni great opportunity, mmezaliwa wakati mzuri nyie, sie social group zilikuwa shuleni na mtaani na mawazo makuu yalikuwa kuambukizana tabia za kisela na kukomalia masomo ya darasani tu.
Sasa jukwaa kama hili ni faida kubwa sana kuwaunganisha watu wanaotaka ku adapt na ulimwengu unavyokwenda.
Mpaka leo siku ya tatu bado watu wanajadili kuunda timu , ilitakiwa mpaka leo ziwe zimeundwa timu na yamewekwa malengoTimu zinaweza kuwa kwenye kona tofauti tofauti kulingana na watu walipo na kuwe na central group wasap ambalo litaunganisha nuclear group ili kiweza kupush pale ambapo group fulani linakwama, ikiwezekana hapa hapa JF pawe napo kama group mama.
Wapuuzeni wanaodhani wanajua na wanataka kutumiwa ujuzi wao bure ni wajinga sana.
Binafsi natembelea sana Naira na quora forum ktk tevh forum wao hawana wivu wanapeana ushauri na kusaidiana mambo ya tech nashangaa hapa kuna watu wamekuja na negative altitude, they are fool!
Unaweza ukawa umeanza na mwezzio akaja nyuma kumbe ndio mwenye annovative ideas na ndio maana kila kukicha new comers come up with new technology.
Wewe unaejua kuwa mentor basi kwani kuna faida kubwa sana to mentor others, halafu kujua kwako hakutazuia watu wasijue, njia ni nyingi sana za kujifunza haya mambo hata kama utakataa to join others. Acha niishie hapa.
Umeongea point Sana mkuu
 
Hello JF members!

Kutokana na kuwa saivi soko kuu la ajira lipo kwenye teknolojia Basi ni vizuri vijana tukachangamkia fursa ambapo sehemu pekee na yenye uhakika ambayo mtu anaweza kujiajiri na kupata kipato kizuri Basi ni hii ya web developer so kwa kutambua hili nataka niingie rasmi kwenye kujifunza (self learning)

Ko Kama Kuna mtu/watu ambaye tunaweza kupeana kampani itakuwa vizuri sana ili tuweze kuanza rasmi hii haijarishi uwezo wako wa sasa ulio nao kwenye coding Mimi nahitaji tuanze mwanzo kabisa na language ya html mpaka kuja kucode mifumo yetu wenyewe ambayo ni madhubuti

Najua tukiwa serius baada ya miezi 7 tutakuwa tupo sehemu ambayo Ina mwanga tayari na tukikomaa mwaka mmoja Basi tutakuwa tumeiva naamini hakuna kinachoshindikana

Kama upo tayari tuweze kuongea tuanzie wapi

Mimi nipo dar es salaam na tukionana najua tutapanga mipango vizuri namna ya kupata kaofisi kadogo ka kuanzia ambapo tutakuwa tunakutana na baadhi ya vifaa vichache Kama pc n.k

NB. Nahitaji watu serius na mwenye Nia ya kweli sio kwamba umekuja wiki mbili unanitelekeza nahitaji mtu ambaye Hana chembe ya kukata tamaa

Ahsante
napend tushrkiane ila mm nipo MWZ. je inawezekana ?
 
Mimi pia niko mbali Sana huku mikoani, iyo kitu naitamani. Wale ambao wangependa tuelekezane ONLINE nitumie namba yako pm, nikuadd kwenye WhatsApp group ambalo nimeanzisha. Halina members wowote ni group jipya. Tunaweza kukutana huko na kujadiliana abc za programming.
Interested my wtp no.0710526835
 
Hello JF members!

Kutokana na kuwa saivi soko kuu la ajira lipo kwenye teknolojia Basi ni vizuri vijana tukachangamkia fursa ambapo sehemu pekee na yenye uhakika ambayo mtu anaweza kujiajiri na kupata kipato kizuri Basi ni hii ya web developer so kwa kutambua hili nataka niingie rasmi kwenye kujifunza (self learning)

Ko Kama Kuna mtu/watu ambaye tunaweza kupeana kampani itakuwa vizuri sana ili tuweze kuanza rasmi hii haijarishi uwezo wako wa sasa ulio nao kwenye coding Mimi nahitaji tuanze mwanzo kabisa na language ya html mpaka kuja kucode mifumo yetu wenyewe ambayo ni madhubuti

Najua tukiwa serius baada ya miezi 7 tutakuwa tupo sehemu ambayo Ina mwanga tayari na tukikomaa mwaka mmoja Basi tutakuwa tumeiva naamini hakuna kinachoshindikana

Kama upo tayari tuweze kuongea tuanzie wapi

Mimi nipo dar es salaam na tukionana najua tutapanga mipango vizuri namna ya kupata kaofisi kadogo ka kuanzia ambapo tutakuwa tunakutana na baadhi ya vifaa vichache Kama pc n.k

NB. Nahitaji watu serius na mwenye Nia ya kweli sio kwamba umekuja wiki mbili unanitelekeza nahitaji mtu ambaye Hana chembe ya kukata tamaa

Ahsante
Idea nzuri inahitaji userious wa hali ya juu, na mipango ya mda mrefu
na mda mfup.
 
Waaakuuu habari
Hii idea ilifikia wapi maana namm nahitaji wakuu
Tulio mbali mikoani tunaweza kupeana maujuzi hapa kuhusiana website development n.k
20220116_154124.jpg
 
Kwanini msiifanye hii thread kuwa kama sehemu maalum ya kujifunza na kusaidiana na kila mtu aweze kuona maendeleo pia labda mtu kusaidia ikiwezekana sababu humu kuna wenye uzoefu zaidi kwenye hiyo sector.
Honestly speaking mimi katika harakati zangu zote za kujifunza sijawahi kuomba msaada, sipendi kuomba msaada pia sipendi kusaidiwa sababu napenda kujifunza mwenyewe zaidi.
na kila nikikutana na changamoto basi nitataka kuitatua mwenyewe ili kupata uzoefu zaidi na kujua nje ndani ya tatizo na kwanini limetokea na nitatatua vipi next time.
Lakini kusaidia wengine sioni tatizo, so this is not for me but for everyone who needs help.

Mimi sio fan mkubwa web development bali napendelea zaidi app development.
Lakini jana mida ya saa 10 nikaamua ngoja nianze kujifunza web dev for fun, nikaanza na HTML na CSS mpaka mida ya saa 7 usiku hivi nikapiga usingizi, kusema ukweli it's was fun na leo asubuhi nikatengeneza simple clone ya jamiiforums.

Picha hii hapa

Actually nilianza hivi wakati naanza kupractice.
part 2.png


Alafu baada ya kuhangaika kwa dk kadhaa nikaja hapa.
part 1.png


Baada ya kupractice na kukutana na fake errors sababu kuna wakati unasahau kusave na kila ukireload page hakutokei mabadiliko kumbe sababu ni kusahau tu kusave progress.
Nikafikia hapa.
how I started.png



Baada ya tries and errors za hapa na pale nikafikia hapa.
JAMIIFORUMS CLONE 1.png


Nikapumzika jana na leo mida ya jioni nikatengeza my first simple web page.
Business Nidavellir.png


Nyie mmefikia wapi wakuu?
 
Mimi pia niko mbali Sana huku mikoani, iyo kitu naitamani. Wale ambao wangependa tuelekezane ONLINE nitumie namba yako pm, nikuadd kwenye WhatsApp group ambalo nimeanzisha. Halina members wowote ni group jipya. Tunaweza kukutana huko na kujadiliana abc za programming.
nenda You tube, telegram channel kibao zipo
 
Hamtofika mbali trust me. We chukua tutorials ,tafuta online communities , fanya mazoezi ya kutosha,kuwa consistent. Mwisho wa siku utaweza ku connect dots.
Aina ya computer inayotakiwa ni ipi hasa
 
Nipo hapa uncle wenu, Kwa vijana under 40 hii ni great opportunity, mmezaliwa wakati mzuri nyie, sie social group zilikuwa shuleni na mtaani na mawazo makuu yalikuwa kuambukizana tabia za kisela na kukomalia masomo ya darasani tu.
Sasa jukwaa kama hili ni faida kubwa sana kuwaunganisha watu wanaotaka ku adapt na ulimwengu unavyokwenda.
Mpaka leo siku ya tatu bado watu wanajadili kuunda timu , ilitakiwa mpaka leo ziwe zimeundwa timu na yamewekwa malengoTimu zinaweza kuwa kwenye kona tofauti tofauti kulingana na watu walipo na kuwe na central group wasap ambalo litaunganisha nuclear group ili kiweza kupush pale ambapo group fulani linakwama, ikiwezekana hapa hapa JF pawe napo kama group mama.
Wapuuzeni wanaodhani wanajua na wanataka kutumiwa ujuzi wao bure ni wajinga sana.
Binafsi natembelea sana Naira na quora forum ktk tevh forum wao hawana wivu wanapeana ushauri na kusaidiana mambo ya tech nashangaa hapa kuna watu wamekuja na negative altitude, they are fool!
Unaweza ukawa umeanza na mwezzio akaja nyuma kumbe ndio mwenye annovative ideas na ndio maana kila kukicha new comers come up with new technology.
Wewe unaejua kuwa mentor basi kwani kuna faida kubwa sana to mentor others, halafu kujua kwako hakutazuia watu wasijue, njia ni nyingi sana za kujifunza haya mambo hata kama utakataa to join others. Acha niishie hapa.
Sahihi
 
Leo mida ya jioni nimetengeneza simple webpage yangu kwa kutumia HTML na CSS kama sehemu ya kuendelea kujifunza for fun.
Nyie wakuu mmefikia wapi? wekeni kazi zenu humu tuone au haumko serious?

That's why nasemaga ni ngumu kufanya kazi pamoja au kushirikiana na watanzania and that's why I always fly solo.

Business Nidavellir.png
 
So nimecheck how much inacost to design a website front end nimeona inaanzia usd 1000 to usd 7000 ni sawa na kusema 2 million tsh mpaka 14 million tsh per project.
Nilkuwa najifunza for fun lakini baada ya kuona hiyo taarifa now nadhani I should get more serious.

Nyie jamaa na group lenu mmefikia wapi au group limekufa?
Leo nimeimodify kidogo now it's looking way better.
To be honest if it was a girl I would've call it thicker than a bowl of oatmeal.

Business Nidavellir simplified 1.png
 
Washajikataa umebaki wewe sio😂
So nimecheck how much inacost to design a website front end nimeona inaanzia usd 1000 to usd 7000 ni sawa na kusema 2 million tsh mpaka 14 million tsh per project.
Nilkuwa najifunza for fun lakini baada ya kuona hiyo taarifa now nadhani I should get more serious.

Nyie jamaa na group lenu mmefikia wapi au group limekufa?
Leo nimeimodify kidogo now it's looking way better.
To be honest if it was a girl I would've call it thicker than a bowl of oatmeal.

View attachment 2118543
 
Back
Top Bottom