hakuna MAGROUP ya kibongo ya aina hiyo yanayodumu sijawahi ona na hata kaa yatokeeNdio maana ake mkuu.
Ila mimi sipo kwenye group nilikuwa nataka nione tu walipo, ila naona hakuna matumaini mpaka sasa.
Nalijua hilo mkuu.hakuna MAGROUP ya kibongo ya aina hiyo yanayodumu sijawahi ona na hata kaa yatokee
Bila kujionesha uwezo wako basi tegemea mafanikio uyasikie kwa jirani.Hatuna show off mkuu watu niliokuwa nahitaji nimepata na ofisi tumepanga kazi inaendelea sikusema Mimi nahitaji lundo la watu rudia heading uelewe
Solo is better for small project, lakini linapokuja swal la project kubwa basi team inafaa zaidi.Bila kujionesha uwezo wako basi tegemea mafanikio uyasikie kwa jirani.
Kama mnachotaka kufanya ni business basi ni lazima ujioneshe na usiogope challenges au itakuwa kazi bure tu na kupoteza muda sababu hiyo ndio maana ya business.
Unless unafanya for fun like I was.
Critics, Challenges and Show off itakupa ukweli kwamba unachofanya ni something better au unajiongopea mwenyewe na itakuboost to be more productive and to push the boundaries, even elon musk alisema hivi kweny kitabu chake.
Nachofanya mimi nilitaka nione mlipo ili niprove kufanya kazi solo na group nani anaenda faster na nani atakuwa more focused and productive, ila kwakua mnaogopa Critics, Challenges na Show off basi inaonesha hamna uhakika wala kujiamini na mimi nipo sahihi kwamba Solo is way much faster and more productive.
Bytheway I never wanted to be in your group if it's about groups then I should've started my own group and me be the leader and not otherwise.
But no I just wanted to prove my hypothesis, its proved.
No offense wala panic lakini hapa ndio mwanzo na uhalisia wa business ulivyo especially kama unataka kuanzisha company, so good luck.
Wacha ikae hivoBila kujionesha uwezo wako basi tegemea mafanikio uyasikie kwa jirani.
Kama mnachotaka kufanya ni business basi ni lazima ujioneshe na usiogope challenges au itakuwa kazi bure tu na kupoteza muda sababu hiyo ndio maana ya business.
Unless unafanya for fun like I was.
Critics, Challenges and Show off itakupa ukweli kwamba unachofanya ni something better au unajiongopea mwenyewe na itakuboost to be more productive and to push the boundaries, even elon musk alisema hivi kweny kitabu chake.
Nachofanya mimi nilitaka nione mlipo ili niprove kufanya kazi solo na group nani anaenda faster na nani atakuwa more focused and productive, ila kwakua mnaogopa Critics, Challenges na Show off basi inaonesha hamna uhakika wala kujiamini na mimi nipo sahihi kwamba Solo is way much faster and more productive.
Bytheway I never wanted to be in your group if it's about groups then I should've started my own group and me be the leader and not otherwise.
But no I just wanted to prove my hypothesis, its proved.
No offense wala panic lakini hapa ndio mwanzo na uhalisia wa business ulivyo especially kama unataka kuanzisha company, so good luck.
Niache ikae hivyo kitu gani?Wacha ikae hivo
Yeah, lakini team inahitaji real enthusiasts na enthusiasm ni kitu ambacho hakiexist miongoni mwa watanzania wengi.Solo is better for small project, lakini linapokuja swal la project kubwa basi team inafaa zaidi.
Yeah, lakini team inahitaji real enthusiasts na enthusiasm ni kitu ambacho hakiexist miongoni mwa watanzania wengi.
Na hapo ndipo tatizo linapoanzia na ndio maana ni ngumu kukuta projects kubwa tanzania.
Yeah, lakini team inahitaji real enthusiasts na enthusiasm ni kitu ambacho hakiexist miongoni mwa watanzania wengi.
Na hapo ndipo tatizo linapoanzia na ndio maana ni ngumu kukuta projects kubwa tanzania.
Nilivyoelewa uzi ni group la kujifunza sio kampuni ya kuunda software. Mkuu issue ya kampuni hamuwezi okotana from no where bila kujua uwezo wa kila mtu.Yeah, lakini team inahitaji real enthusiasts na enthusiasm ni kitu ambacho hakiexist miongoni mwa watanzania wengi.
Na hapo ndipo tatizo linapoanzia na ndio maana ni ngumu kukuta projects kubwa tanzania.
<html>
<head>
<title>Coding ni kucode</title>
</head>
<body>
<p id="dushe"></p>
<button value="gusa" onclick="onesha()">
<script>
function onesha(){
document.getElementById(dushe).innerHTML="naomba anaejua kukode vizuri anipige msasa";
}
</script>
</body>
</html>
<html> <head> <title>Coding ni kucode</title> </head> <body> <p id="dushe"></p> <button value="gusa" onclick="onesha()"></button> <script> function onesha(){ document.getElementById(dushe).innerHTML="naomba anaejua kukode vizuri anipige msasa"; } </script> </body> </html>
section .data
pagumu: db 'msaada uliupata boss!',10
tzyacodeLen: equ $-pagumu
section .text
global _start
_start:
mov eax,4
mov ebx,1
mov ecx,pagumu
mov edx,tzyacodeLen
int 80h
mov eax,1
mov ebx,0
int 80h;
Niko dar uko maeneo gan tuji organize nduguHello JF members!
Kutokana na kuwa saivi soko kuu la ajira lipo kwenye teknolojia Basi ni vizuri vijana tukachangamkia fursa ambapo sehemu pekee na yenye uhakika ambayo mtu anaweza kujiajiri na kupata kipato kizuri Basi ni hii ya web developer so kwa kutambua hili nataka niingie rasmi kwenye kujifunza (self learning)
Ko Kama Kuna mtu/watu ambaye tunaweza kupeana kampani itakuwa vizuri sana ili tuweze kuanza rasmi hii haijarishi uwezo wako wa sasa ulio nao kwenye coding Mimi nahitaji tuanze mwanzo kabisa na language ya html mpaka kuja kucode mifumo yetu wenyewe ambayo ni madhubuti
Najua tukiwa serius baada ya miezi 7 tutakuwa tupo sehemu ambayo Ina mwanga tayari na tukikomaa mwaka mmoja Basi tutakuwa tumeiva naamini hakuna kinachoshindikana
Kama upo tayari tuweze kuongea tuanzie wapi
Mimi nipo dar es salaam na tukionana najua tutapanga mipango vizuri namna ya kupata kaofisi kadogo ka kuanzia ambapo tutakuwa tunakutana na baadhi ya vifaa vichache Kama pc n.k
NB. Nahitaji watu serius na mwenye Nia ya kweli sio kwamba umekuja wiki mbili unanitelekeza nahitaji mtu ambaye Hana chembe ya kukata tamaa
Ahsante
Wewe ñdo kilaza. Unataka kujua nn kuhusu Tanzania, sio Kila kitú ujueWhy are Tanzanian not able to develop new algorithms ?
Do you wnt to tell me Tanz. developer are not geneus,gifted and preveledge to create those wonder!
Why is the same to Tanz mathematician, physist, Engineer, chemists etc. They are all not able to come up with new inventionvand discovery, most of them use western and eastern invention to solve their problems ?
Watanzania ni vilaza ? Mbona walifaulu mitihani kwa A zote?
The most rubbish comment i have ever read since i joined JF!!!Wewe ñdo kilaza. Unataka kujua nn kuhusu Tanzania, sio Kila kitú ujue
Kaka umefikia wapi?Hello JF members!
Kutokana na kuwa saivi soko kuu la ajira lipo kwenye teknolojia Basi ni vizuri vijana tukachangamkia fursa ambapo sehemu pekee na yenye uhakika ambayo mtu anaweza kujiajiri na kupata kipato kizuri Basi ni hii ya web developer so kwa kutambua hili nataka niingie rasmi kwenye kujifunza (self learning)
Ko Kama Kuna mtu/watu ambaye tunaweza kupeana kampani itakuwa vizuri sana ili tuweze kuanza rasmi hii haijarishi uwezo wako wa sasa ulio nao kwenye coding Mimi nahitaji tuanze mwanzo kabisa na language ya html mpaka kuja kucode mifumo yetu wenyewe ambayo ni madhubuti
Najua tukiwa serius baada ya miezi 7 tutakuwa tupo sehemu ambayo Ina mwanga tayari na tukikomaa mwaka mmoja Basi tutakuwa tumeiva naamini hakuna kinachoshindikana
Kama upo tayari tuweze kuongea tuanzie wapi
Mimi nipo dar es salaam na tukionana najua tutapanga mipango vizuri namna ya kupata kaofisi kadogo ka kuanzia ambapo tutakuwa tunakutana na baadhi ya vifaa vichache Kama pc n.k
NB. Nahitaji watu serius na mwenye Nia ya kweli sio kwamba umekuja wiki mbili unanitelekeza nahitaji mtu ambaye Hana chembe ya kukata tamaa
Ahsante