Habari zenu ndugu zangu wana JF
Nilikuwa naomba msaada wa wazo la biashara ambayo haitohitaji management kubwa sana. Mimi niko nje ya nchi na nimeajiriwa sitaki kuacha kazi yangu right away. Nataka nianze na uwekezaji wa 50M kwa kuanza.
Ni biashara ipi ambayo unaweza fanya kwa kiasi hicho? Serious people unaweza piga what'sup number +225718765236 kwa maongezi zaidi. Piga what'sup tu kwa sababu niko nje ya nchi.
Nb: Kwa atakayekuwa na business plan or ideas nzuri. I will be more than happy kushirikiana naye kufanya kazi.
Nilikuwa naomba msaada wa wazo la biashara ambayo haitohitaji management kubwa sana. Mimi niko nje ya nchi na nimeajiriwa sitaki kuacha kazi yangu right away. Nataka nianze na uwekezaji wa 50M kwa kuanza.
Ni biashara ipi ambayo unaweza fanya kwa kiasi hicho? Serious people unaweza piga what'sup number +225718765236 kwa maongezi zaidi. Piga what'sup tu kwa sababu niko nje ya nchi.
Nb: Kwa atakayekuwa na business plan or ideas nzuri. I will be more than happy kushirikiana naye kufanya kazi.