Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
[emoji3][emoji3][emoji3] people are so funny.100k [emoji15] basi sawa
Muelimishe sasa mkuu,[emoji3][emoji3][emoji3] people are so funny.
But sio kosa lake. Kuna mzee aliwahi niuliza kijijini eti kijana hivi nikiuza kashamba kangu kale nikapata laki 8 siwezi pata kagari kazuri kama haka kako. Afu imagine hapo kakuona na Forester SJ5 nilicheka sana kimoyo moyo [emoji3][emoji3][emoji3]
Sometimes watu wanakuwa hawajui wanachokiongea kina garama gani so wanatamka bei wanazodhania.
Hi Google, what is the minimum cost of a simple website?Muelimishe sasa mkuu,
Labda kiasi anachotoa ni kidogo na kwanini nikidogo? Labda Mahitaji ya kuandaa kazi yanagharimu pesa nyingi n.k
Au Mpe bei iliyopo sokoni ili akajipange vizuri.
Jamaa anatafuta kutapeliwa tu hakuna website ya laki.Kuna siku nilitafuta mtu wa kutengeneza website humu, nikavutiwa na wawili nikawapa requirements zangu, mmoja alinitumia quotation ya 350,000/=. Huyu mwingine alitaka 2.5m, hii ni tofauti kubwa sana. Baada ya majadiliano ya muda mrefu na kupitia kazi zao nikafanya kazi na huyu wa pili alinipunguzua mpaka 2.2m na ikawa kazi nzuri zaidi ya matarajio yetu. Ndio najiuliza kama sikulizishwa na kazi inayofanywa na mtu anayecharge 350,000/= huyu wa 100,000/= itakuwaje?
hosting/year & domain/year anafanya nani, maana hiyo pesa inaishia hapo nadhani haitoshi pia.Kwema?
Nahitaji just a simple website ambayo haina makorokoro mengi,iwe na mwonekano mzuri kwa ajili ya wedding photographer...
Niwe na upload picha na sehemu ya wateja wangu kuweka reviews.
Wateja teyari ninao hii website ni ya ziada tu.
Kama inafaa njoo tufanye biashara...
Sitalipa mpaka kazi yangu ikamilike.
Odd kwamba akaweke kwenye mkeka laki ikitema akucheki sio? Au sijaelewa?hosting/year & domain/year anafanya nani, maana hiyo pesa inaishia hapo nadhani haitoshi pia.
sasa tuje kutengeneza website complete iwe wordpress au scratched itagharimu shingapi ?
kwa hii budget
tafuta odd 7 tupia hiyo hela then nitafutem ukija njoo na pesa ya ukuanzia kabla hatuajenda mbele huwa ni robo ya pesa nayokutajia.
ndo tunaanza kazi
Afu uwe na harusi umuite asimamie na kuhakikisha upatikanaji wa video na photos nzuri za shuhuli nzima umwambie nna laki uone. Sio poa kabisa kutoheshimu kazi za watu.Tuheshimu taaluma za watu wakuu, ni bora kutokutaja bei ila ukaweka hitaji lako la website wadau wakakupa taratibu zao.
Ni sawa na mtu anakuja na mkataba wa mkopo anataka umgongee mhuri kwa 10k
Ndio manake.Odd kwamba akaweke kwenye mkeka laki ikitema akucheki sio? Au sijaelewa?
Huyo wa 100k anakufungulia akaunti za mitandao ya kijamii then anasepaKuna siku nilitafuta mtu wa kutengeneza website humu, nikavutiwa na wawili nikawapa requirements zangu, mmoja alinitumia quotation ya 350,000/=. Huyu mwingine alitaka 2.5m, hii ni tofauti kubwa sana. Baada ya majadiliano ya muda mrefu na kupitia kazi zao nikafanya kazi na huyu wa pili alinipunguzua mpaka 2.2m na ikawa kazi nzuri zaidi ya matarajio yetu. Ndio najiuliza kama sikulizishwa na kazi inayofanywa na mtu anayecharge 350,000/= huyu wa 100,000/= itakuwaje?
ukiona hili neno, kimbiasimple
Kuliko tunda lingine lolote. Sasa wale wapenda tunda lilomshinda Adam je? [emoji3][emoji3][emoji3]Ndio manake.
kwa bongo unashika pesa mpaka nimalize kazi alafu namaliza unaanza story za hapa na pale.
hello devs: kuleni machungwa sana luliko tunda ingine yeyote
Mkuu sinaga hizo..Ndio manake.
kwa bongo unashika pesa mpaka nimalize kazi alafu namaliza unaanza story za hapa na pale.
hello devs: kuleni machungwa sana luliko tunda ingine yeyote
Duh kweli jina linaakisi unachosema KENGE 01Wasikutishe mkuu nenda upwork kuna developer mpaka wa $26 hodting&Domaini ni 40k tena unapata domain ys .co.tz binafsi nilianza blogger na kumiliki blog kwa buku 2 tu