Nahitaji website kwa 100k

Nahitaji website kwa 100k

Wasikutishe mkuu nenda upwork kuna developer mpaka wa $26 hodting&Domaini ni 40k tena unapata domain ys .co.tz binafsi nilianza blogger na kumiliki blog kwa buku 2 tu
Mkuu unadhani hiyo website ya $26 na domain ya 40k ni website nzuri? Acha kumpotosha mwenzako. Kama anataka website nzuri aandae zaidi ya 500k siyo chini ya hapo. Pia acha kucheza na taaluma za watu basi.
 
Ongeza walau 600k upate package nzuri ya website yako.

NB; siku zote hakuna anayefanya kazi ya website kabla ya malipo. Lazima ulipie 50% au full (kutegemeana na kazi yako) upate receipt halali, then after final draft ndiyo unamaliza 50% iliyobaki.Kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0629266460
 
Wasikutishe mkuu nenda upwork kuna developer mpaka wa $26 hodting&Domaini ni 40k tena unapata domain ys .co.tz binafsi nilianza blogger na kumiliki blog kwa buku 2 tu
Unajua watu hawajaelewa,nataka website ya kawaida sana...lengo ni kuweka portfolio na sehemu ya reviews za wateja wangu...

Wateja teyari ninao.

Wacha nifanye mwenyewe japo muda ni changamoto.
YouTube ni mwalim mzuri.
 
Kwema?

Nahitaji just a simple website ambayo haina makorokoro mengi,iwe na mwonekano mzuri kwa ajili ya wedding photographer.

Niwe na upload picha na sehemu ya wateja wangu kuweka reviews.

Wateja teyari ninao hii website ni ya ziada tu.

Kama inafaa njoo tufanye biashara.

Sitalipa mpaka kazi yangu ikamilike.

Hela ndogo sana hiyo kutoa masharti, heshimu taaluma za wagu, hata ka laki 3, bado kwa hiyo kauli utapata desperate people only
 
Mwingine huyu hapa ndugu, achana na matapeli

 
Achana na mambo ya ku google utapewa majibu ya wazungu mpuuzi wewe, unadhani website ni "dubwana" la ajabu sana
Website ndiyo ni dubwana la ajabu sana. Acha na website za kucustomize tu kwa kutumia WordPress au Wix. Nazungumzia website za kudevelop from the scratch wewe mwenyewe
 
Wasikutishe mkuu nenda upwork kuna developer mpaka wa $26 hodting&Domaini ni 40k tena unapata domain ys .co.tz binafsi nilianza blogger na kumiliki blog kwa buku 2 tu
Au sio 😀 tena huko upwork kuna wapigaji balaa! Akalizwe hiyo laki yake bure akapatiwa facebook page 😀
 
Wanaotengeneza hizo websites ni vijana wa humu humu nchini, hawatoki mbinguni. Ndugu search humu kuna threads za vijana wanatengeneza hadi kwa NUSU YA HIYO BEI YAKO
Akifuata ushauri wako ataishia kujilaumu bure na kula hasara. Website ni zaidi ya kutengeneza. Kuna kuhakikisha website unaweka SEO nzuri ili iwe kwenye rank za juu Google. Acha kupotosha watu
 
Back
Top Bottom