CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Utoe mayai Iringa hadi Dar utaweza compete na wanal zalishia Dar?
Kama target yako ni soko la Dar basi kawafugie huko Kinaha au ikiwa mbali sana basi Chalinze. Iringa ni mbali sana transport coast itakusumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama target yako ni soko la Dar basi kawafugie huko Kinaha au ikiwa mbali sana basi Chalinze. Iringa ni mbali sana transport coast itakusumbua.
Soko ni kubwa sana mkuu.Nashukuru kwa mchango wako.Cjafanikiwa tu kuattach doc inayoonyesha demand ya mayai kwa Dar pekee yake.Nitafanya hivo
Sent using Jamii Forums mobile app