Naibu kamanda mkuu wa Jeshi la Israel aangamizwa na Wapalestina

Naibu kamanda mkuu wa Jeshi la Israel aangamizwa na Wapalestina

Ni Major tuu, mnawachokoza wazee wa six days war msije anza kuita UN tuu.
 
Mkuu mbona kama unalialia vile au ndo macho yanacheka moyo unalia

Ebu rudi kwanza kwenye hii id Sikirimimimasikini tukamalizane na SMO

Na log off Z
Kuna Myahudi Mwingine Ukraine anamhenyesha kubwa la Makobazi
 
Vita ya Ukanda wa Gaza inaumiza sana wanaokufa ni watoto na wanawake hata haieleweki unakuta muda mwingine pametulia balaa ila ikianza madhara yake ni makubwa sana...
 
Ngoja nisubiri wale wanayoibariki Israel.
muda si mrefu utasikia pray for Palestina , mwaka juz wapalestina walilipua mabomu 1000 kwenda Israel bas waislam feki walisifia sana ila siku mbili mbele vikaja vilio , YANGU MACHO
 
Napongeza juhudi za nchi iitwayo Palestine maana kabla hakukua na nchi iitwayo Israel ni utemi wa mayahudi tu kudai wana taifa la Israel
waliambiwa waunde nchi moja ila ubaguz wao wakaamua aanzisha vita dhidi ya wayaudi kipind Israel bado changa , na haya ni malipo ya ubaguz wao
 
Gaza ikiianza kunyeeshewa makombora msianze kulalamika Israel inawaua wapalestine ila akiuawa myahudi kwenu ni furaha
 
Back
Top Bottom