William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #41
pyepyere kibao.....unamwaga habari ambazo hazijathibiishwa hebu dhibitisha uzije na maandishi marefu kama hotuba za jakaya ndani hamna kitu....
Usisingizie eti haipewi nafasi kwenye media ni kwamba hajafukuzwa period......wewe dishi lako lilinasa Sri lanka......[/QUOTE]
- Ona kichekesho hiki, yaani ulevi ulevi tu inasikitisha sana!
- Ona kichekesho hiki, yaani ulevi ulevi tu inasikitisha sana!
Mkubwa Aminiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiaaaaaaaaaaaaaaaa.
Kuna waungwana nafikiri walikuwa wana beep sasa nafikiri umeweza kuwapigia.
Peleche peleche zilikuwa kibao mchana.
Yaaani hii kama umeshona midomo ya watu basi FMES umetumia SHAZIA ya MAGUNIA
Mkubwa Aminiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiaaaaaaaaaaaaaaaa.
Kuna waungwana nafikiri walikuwa wana beep sasa nafikiri umeweza kuwapigia.
Peleche peleche zilikuwa kibao mchana.
Yaaani hii kama umeshona midomo ya watu basi FMES umetumia SHAZIA ya MAGUNIA
Mkuu Kuntakinte,
- Heshima mbele sana mkuu, jana nilipopata hizi dataz nilikuwa nimetingwa sana na shughuli za kumpokea ndugu Mtanzania mwenzangu aliyefiwa na mkewe majuzi, kwa hiyo sikuwa na nafasi ya kufutailia hizi habari ndio maana nikachelewa kuleta follow up, mpaka leo nilipomsafirisha ndugu yangu na watoto wake ndio nikapata nafasi ya kufuatilia hii ishu,
- I mean ninaweza kuelewa kwamba wananchi hawana uhakika wanasubiri more info, lakini ya kujitokeza na kujifanya unajua kumbe hujui kabisaa, that is wasup bro! Yaani kweli ninaweza kupata dataz live za kikao powerful na cha siri kama cha cha cc halafu nikashindwa za UV-CCM wewe huoni kuwa ni a joke?
- Nimesema mara nyingi sana hapa kwamba hatuna mashindano, tunachojaribu kufanya hapa ni kuhabarishana na kuelmishana, sasa the changamoto kwangu hapa ni kama ni worthy kwangu kuchukua risks zote ninazochukua kuleta hizi dataz hapa, kwa kweli ninalipitia hili swali kwa makini sana kabla ya kuamua, I mean this is a war sio kuelemishana tena, swali kwangu ni is it worthy? Na do I want this? I mean hate me na all the stuff I love it, lakini sasa kufikia kuharibu habari muhimu kwa wananchi at large kwa sababu binafsi zako wewe mtu mmoja na wachache wengine, hilo limenitisha sana na nitalifanyia kazi kabla ya kuamua!, for real!
I mean nini maana ya shukrani ya Punda?
2. Ni kweli pia yapo mengine unayakosea au unakuwa hauyafahamu vizuri.
3. Tuendelee kuhabarishana na kufahamishana bila ya yeyote humu jf kudhani kwamba bila yeye hili au lile lisingefahamika.
- Nimesema mara nyingi sana hapa kwamba hatuna mashindano, tunachojaribu kufanya hapa ni kuhabarishana na kuelmishana, sasa the changamoto kwangu hapa ni kama ni worthy kwangu kuchukua risks zote ninazochukua kuleta hizi dataz hapa, kwa kweli ninalipitia hili swali kwa makini sana kabla ya kuamua, I mean this is a war sio kuelemishana tena, swali kwangu ni is it worthy? Na do I want this? I mean hate me na all the stuff I love it, lakini sasa kufikia kuharibu habari muhimu kwa wananchi at large kwa sababu binafsi zako wewe mtu mmoja na wachache wengine, hilo limenitisha sana na nitalifanyia kazi kabla ya kuamua!, for real!
I mean nini maana ya shukrani ya Punda?
You know what Mkuu FMES, heshima yako utaijenga mwenyewe au kuiharibu mwenyewe na mimi siamini kuwa mtu mwenye akili timamu anaweza kuiharibu ehshima yake. Siamini kwua unaweza kuja hapa na kitu ambacho huna uhakika nacho. Kama wanatokea watu wanadoubt, wanatakiwa kusubiri uthibitisho, wakikosa subira, achana nao kwa sababu you know what you are saying, au siyo?
- Mkuu FP, kweli hata wewe mtumzima ninakuheshimu na ninajua kwua una sources kibao hapa bongo, unaweza kukurupuka namna hii? Wewe kweli unaweza kushindana na dataz zangu mkuu unajua ninakozitoa?
- Sasa unaona aibu hii? Niambie tunaendaleaje mbele na mtu tuliyekua tukiheshimiana kama wewe after this? Maana hata ukiomba radhi haiwezi kusaidia what you did ni more than kukurupuka, halafu not from you mkuu? Kama Halisi hajasema kitu kuhusu uongo wa dataz zangu wewe kaaa pembeni mkuuu, maana ni yeye tu mut mmoja mwenye almost the same access kama zangu.
Hii ni aibu sana mkuu, hivi unajua kuwa huyu kijana kila akiulizwa kuhusu maadili amekua akijibu kwa kiburi kwamba aulizwe Nchimbi? Bwa! ha! ha! ha!
Kidumu chama cha mapinduzi.
Francis hajasimamishwa wala kufukuzwa mpaka sasa hivi ninapoandika.
Habari ndio hiyo!
Quote: Fairplayer
Hapana Mheshmiwa Uwiano maalum,
Siwezi kumuita mleta habari muongo. Nadhani tu chanzo chake sio cha uhakika au chanzo chake cha habari kiliteleza. Kuna mushkeli kweli lakini sio kusimamishwa. Hayo ya kusimamishwa yanaweza kufuatia baadaye na vikao husika.
Quote: Fairplayer
Mkuu FMES;
Mie sio mzuri kulumbana. Kamati ya utekelezaji inayo mamlaka ya kumsimamisha Francis, lakini lazima ikubalike kwenye ngazi za juu. Hivyo basi anaweza kurudi tu labda wamjengee zengwe.
Mimi huwa nasubiri maamuzi ya kuthibitisha hilo na kulifanya azimio hilo liwe la kudumu. Ndipo nasema kasimamishwa. Kumbuka ya Nnauye Nape. Ndivyo nilivyolichukulia.
Ukisoma ndani ya maandishi yangu sijakuita muongo au kukebehi maneno yako.
Poa tupo pamoja na si mashindano mkuu kama ulivyosema.
Ni tofauti za tafsiri tu. Na wala sihitaji kuomba msamaha nadhani.
Pamoja.
Kaimu Katibu Mkuu nafikiri na pia kaimu naibu katibu mkuu,hivi katibu mkuu wao alienda wapi hilo ndiyo swali nililonalo! Kwasababu Amos Makala alikuwa Naibu Katibu mkuu kabla ya kuteuliwa kuwa Katibu wa NEC Uchumi na Fedha (Mwekahazina wa Chama) nafasi yake ikachukuliwa na huyu Frank Isaack. lakini wakati huo huo Amos Makala alikuwa kaimu katibu mkuu kwahiyo kijana alibeba vyeo vyote viwili cha kaimu naibu katibu mkuu na kaimu katibu mkuu.
Mtanisahihisha wakuu! lakini kuna watu wanachokonoa mambo duuuh! Heshima mbele mkuu Mwanakijiji.
Hivi huyu jamaa alikuwa na cheo gani?
a. Kaimu Katibu mkuu
b. Naibu Katibu Mkuu
c. Katibu Mkuu
d. Naibu Kaimu Katibu Mkuu wa Katibu Mkuu
????
?
- Alikuwa naibu katibu mkuu, kwa sababu kwa sasa UV-CCM hawana katibu mkuu, huyu bwana alikuwa akikaimu ukatibu mkuu, huku akitumia ofisi ya katibu mkuu.
Kaimu Katibu Mkuu nafikiri na pia kaimu naibu katibu mkuu,hivi katibu mkuu wao alienda wapi hilo ndiyo swali nililonalo! Kwasababu Amos Makala alikuwa Naibu Katibu mkuu kabla ya kuteuliwa kuwa Katibu wa NEC Uchumi na Fedha (Mwekahazina wa Chama) nafasi yake ikachukuliwa na huyu Frank Isaack. lakini wakati huo huo Amos Makala alikuwa kaimu katibu mkuu kwahiyo kijana alibeba vyeo vyote viwili cha kaimu naibu katibu mkuu na kaimu katibu mkuu.
Mtanisahihisha wakuu! lakini kuna watu wanachokonoa mambo duuuh! Heshima mbele mkuu Mwanakijiji.