Naibu Katibu Mtendaji NECTA aondolewe mara moja kwenye nafasi hiyo

Naibu Katibu Mtendaji NECTA aondolewe mara moja kwenye nafasi hiyo

Samiaagain2025

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
3,626
Reaction score
3,869
Jana matokeo ya CSEE na QT yalitangazwa. Lakini hayakuwa na ranking wala hata kuonesha halmashauri inakopatikana shule husika.

1. Kufanya ranking ni mhimu Kama recognition kwa shule na mwanafunzi binafsi. Hii pia ni motivation.

2. Mtihani wa NECTA ni standard, kwa maana kwamba hatua zote kuanzia utungaji mpaka usahihishaji. Mazingira wanayosoma watahiniwa hayahusiani moja kwa moja na usahihishwaji wa mitihani. Kama ni hivyo basi kila shule iwe na mtihani wake au marking scheme yake. Ni kweli pia mtihani standard (wa NECTA) huwa unazingatia mazingira ya shule zote, hasa wakati wa usahihishaji.

This is the poorest decision to be made by NECTA since I was born.

NB: Kwa nini Dr. Msonde aliondolewa?
 
Ranking zipo dunia nzima, ndo maana kuna orodha ya ubora wa vyuo vikuu duniani pamoja na mazingira tofauti ya nchi vilipo vyuo husika, hili la kuondoa ranking kwenye jambo nyeti la elimu ni ajabu jingine kupatikana kwenye nchi ya bongolala.
 
Ranking zipo dunia nzima, ndo maana kuna orodha ya ubora wa vyuo vikuu duniani pamoja na mazingira tofauti ya nchi vilipo vyuo husika, hili la kuondoa ranking kwenye jambo nyeti la elimu ni ajabu jingine kupatikana kwenye nchi ya bongolala.
Ndo wanaenda kuiua elimu yenyewe.
 
bila shaka wamefanya utafiti kufikia hayo mamuzi maana hata nchi jirani wenzetu hawana utaratibu huo wa ranking to come up na best school nor best student, tungeweza walau kurank kimkoa.
 
Nimefurahishwa na uhamuzi huu wa necta! Nawapongeza wewe wakifanya ranking inakusaidia nini??? Kikubwa aliyefaulu apate cheti chake! Kutangaziana sijui nani kaongoza ni mambo ya kikoloni sasa!! Na hii inachangia wizi wa mithani sana!!!
 
Nimefurahishwa na uhamuzi huu wa necta! Nawapongeza wewe wakifanya ranking inakusaidia nini??? Kikubwa aliyefaulu apate cheti chake! Kutangaziana sijui nani kaongoza ni mambo ya kikoloni sasa!! Na hii inachangia wizi wa mithani sana!!!
Hoja ya ajabu sana, kwani sahivi bila ya rankings wakiamua tu Kila shule kusema iliongoza kitaifa unafikiri itakuaje. Mimi nadhani wange grade top 10 za govt na top 10 za private hakuna shida yoyote inakua fair rank.

Hatuwezi kimbia ukweli kwa kuficha takwimu, nakumbuka Kenya Kila media iliamua kurusha matokeo ya Urais unakumbuka chaos iliyotokea Kila channel ikawa na matokeo tofauti!!

Baadae tusije Tena lalamika kuwa shule zinafanya udanganyifu juu ya ufaulu wao!!
 
Jana matokeo ya CSEE na QT yalitangazwa. Lakini hayakuwa na ranking wala hata kuonesha halmashauri inakopatikana shule husika.

1. Kufanya ranking ni mhimu Kama recognition kwa shule na mwanafunzi binafsi. Hii pia ni motivation.

2. Mtihani wa NECTA ni standard, kwa maana kwamba hatua zote kuanzia utungaji mpaka usahihishaji. Mazingira wanayosoma watahiniwa hayahusiani moja kwa moja na usahihishwaji wa mitihani. Kama ni hivyo basi kila shule iwe na mtihani wake au marking scheme yake. Ni kweli pia mtihani standard (wa NECTA) huwa unazingatia mazingira ya shule zote, hasa wakati wa usahihishaji.

This is the poorest decision to be made by NECTA since I was born.

NB: Kwa nini Dr. Msonde aliondolewa?
Naunga mkono hoja
 
Jana matokeo ya CSEE na QT yalitangazwa. Lakini hayakuwa na ranking wala hata kuonesha halmashauri inakopatikana shule husika.

1. Kufanya ranking ni mhimu Kama recognition kwa shule na mwanafunzi binafsi. Hii pia ni motivation.

2. Mtihani wa NECTA ni standard, kwa maana kwamba hatua zote kuanzia utungaji mpaka usahihishaji. Mazingira wanayosoma watahiniwa hayahusiani moja kwa moja na usahihishwaji wa mitihani. Kama ni hivyo basi kila shule iwe na mtihani wake au marking scheme yake. Ni kweli pia mtihani standard (wa NECTA) huwa unazingatia mazingira ya shule zote, hasa wakati wa usahihishaji.

This is the poorest decision to be made by NECTA since I was born.

NB: Kwa nini Dr. Msonde aliondolewa?
Ukitaka kuwatawala watu daima wavuruge kielimu
 
Kwani best practices zikoje, wenzentu kwenye East Africa wanafanyaje, na huko mbele wanafanyaje?
 
Jana matokeo ya CSEE na QT yalitangazwa. Lakini hayakuwa na ranking wala hata kuonesha halmashauri inakopatikana shule husika.

1. Kufanya ranking ni mhimu Kama recognition kwa shule na mwanafunzi binafsi. Hii pia ni motivation.

2. Mtihani wa NECTA ni standard, kwa maana kwamba hatua zote kuanzia utungaji mpaka usahihishaji. Mazingira wanayosoma watahiniwa hayahusiani moja kwa moja na usahihishwaji wa mitihani. Kama ni hivyo basi kila shule iwe na mtihani wake au marking scheme yake. Ni kweli pia mtihani standard (wa NECTA) huwa unazingatia mazingira ya shule zote, hasa wakati wa usahihishaji.

This is the poorest decision to be made by NECTA since I was born.

NB: Kwa nini Dr. Msonde aliondolewa?
This is the poorest decision to be made by NECTA since I was born.[emoji817][emoji818]
 
Jana matokeo ya CSEE na QT yalitangazwa. Lakini hayakuwa na ranking wala hata kuonesha halmashauri inakopatikana shule husika.

1. Kufanya ranking ni mhimu Kama recognition kwa shule na mwanafunzi binafsi. Hii pia ni motivation.

2. Mtihani wa NECTA ni standard, kwa maana kwamba hatua zote kuanzia utungaji mpaka usahihishaji. Mazingira wanayosoma watahiniwa hayahusiani moja kwa moja na usahihishwaji wa mitihani. Kama ni hivyo basi kila shule iwe na mtihani wake au marking scheme yake. Ni kweli pia mtihani standard (wa NECTA) huwa unazingatia mazingira ya shule zote, hasa wakati wa usahihishaji.

This is the poorest decision to be made by NECTA since I was born.

NB: Kwa nini Dr. Msonde aliondolewa?
mazingira yanayosemwa ni mazingira ya kusomea. Wewe usiumize kichwa chako bure, tafuta pesa, peleka watoto wako shule binafsi za maana. Watoto wako wakiwa wanasoma shule za maana zenye madara, vitendea kazi vizuri na una uhakika watafaulu, uamuzi wa necta hauwezi ukakusumbua.
 
Maamuzi Bora kabisa ya necta, nawapongeza! Kuweka ranking za shule ni kuhamasisha shule kuwa za kibiashara.
 
Back
Top Bottom