TANZIA Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Joseph Pande Afariki Dunia, Rais Samia Atuma Salamu za Rambirambi

TANZIA Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Joseph Pande Afariki Dunia, Rais Samia Atuma Salamu za Rambirambi

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Imeandikwa katika kurasa za mitandao za Mhe Rais Samia Suluhu Hassan

"Nimesikitishwa na kifo cha Ndugu Joseph Sebastian Pande, aliyekuwa akitumikia nchi yetu katika nafasi ya Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka. Nawapa pole Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Sylvester Mwakitalu, familia, wakuu wa divisheni na vitengo, wafanyakazi wote katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, ndugu, jamaa na marafiki. Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema. Amina.

Screenshot 2023-12-20 at 19.18.14.png

dd037c937766800f51b3837c22e20411.jpeg
 
Imeandikwa katika kurasa za mitandao za Mhe Rais Samia Suluhu Hassan

"Nimesikitishwa na kifo cha Ndugu Joseph Sebastian Pande, aliyekuwa akitumikia nchi yetu katika nafasi ya Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka. Nawapa pole Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Sylvester Mwakitalu, familia, wakuu wa divisheni na vitengo, wafanyakazi wote katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, ndugu, jamaa na marafiki. Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema. Amina.

View attachment 2848365
View attachment 2848368
Imeandikwa katika kurasa za mitandao za Mhe Rais Samia Suluhu Hassan

"Nimesikitishwa na kifo cha Ndugu Joseph Sebastian Pande, aliyekuwa akitumikia nchi yetu katika nafasi ya Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka. Nawapa pole Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Sylvester Mwakitalu, familia, wakuu wa divisheni na vitengo, wafanyakazi wote katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, ndugu, jamaa na marafiki. Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema. Amina.

View attachment 2848365
View attachment 2848368
Pole sana familia ndugu jamaa ...naaikia walimu2ekea sumu mara tj kupata uteuzi....Mungu atamlipia hapa hapa alieweka sumu anajulikana uzirii hatapata ut3uziiii atabakia laana milele
 
Pole sana familia ndugu jamaa ...naaikia walimu2ekea sumu mara tj kupata uteuzi....Mungu atamlipia hapa hapa alieweka sumu anajulikana uzirii hatapata ut3uziiii atabakia laana milele
Sumu aulizwe yule aliemuekea mangula jamaa mlemavuu
 
Awamu ya mtu legelege hii, watu watamalizana. Mwishowe naye atakuwa hatarini.
 
Back
Top Bottom