1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Ni kweli kabisa.Kuna watu waling'olewa meno bila ganzi kwenye awamu flni hv ya pesa nje nje lkn hamuongei kabisa mana bado mambo yenu yaliwanyookea, ila alipokuja chuma na kuwabania kila mahali ndo mnakuja kutupigia kelele
Kwa ghilba walizonazo wazungu kutaka kuweka marais wanaowatumia kupora Rasilimali zetu ni Bora kuwakata shingo watu hata Milioni moja ili watu million 60 waishi kwa amani kuliko kucheka na kima halafu amani ya nchi itoweke kama Libya na Somalia.