Naibu SG wa Hezbollah akimbilia Naim Kassem akimbilia Tehran. Ahofia kuwa Next target ya Mayahudi

Naibu SG wa Hezbollah akimbilia Naim Kassem akimbilia Tehran. Ahofia kuwa Next target ya Mayahudi

Vita ni akili marekani na ubabe wake wote hajawahi pigana vita ya ardhini bush na ulinzi wote alikwea mawinguni kwa masaa kadhaa wakati Osama bin laden alipowavua nguo!
Teh teh teh hivi hizi akili huwa mnazitoa wapi? Eti Marekani hajawahi kupigana vita vya ardhini,kule Afghanistan na Iraq yalipigana majeshi ya Tanzania?
 
Kifo hakina mshirika.

Kimoyo moyo waliobaki hai wanawaona waliofia harakati wendawazimu kwa kushindwa kusoma alama za nyakati.
Labda haka Kaayatolah kana ukosefu wa nguvu za kiume mbona hataki Bikra 72 wa bure?!
Naim Qassem (1).jpg
 
Jamaa yeye hajataka kuwahi mabikra 72. Ameondoka Hezbollah kuelekea Tehran kujificha huko akihofia kilichomkuta Ungo na yeye Kibeku kumkuta. Wamereport Iran katika hali ya kustaajabishwa na makamanda hawa ,mashujaa kukimbia mapambano na wengine kujificha mapangoni.

View attachment 3131280
Toka mwanzo huyu kamanda alionesha uoga uoga🤣 sasa si nasikia wanasema wao hawaogopi kifo inakuwaje tena kamanda kawa kunguru???
 
Huna ujualo!
Jibu swali bro; kwa technology iliopo sasa hvi; utatumia silaha gani kuua adui aliyejificha 6M ardhini? Wewe umedai USA hawana jeuri ya kwenda kupigana ardhini, nimekupa mifano 2 tu, Afghanistan na Iraq, kote huko infantry walifanya kazi yao, umeshindwa kujibu unakuja na general statements. Jibu swali ili kuwe na mjadara wa maana.
 
Jibu swali bro; kwa technology iliopo sasa hvi; utatumia silaha gani kuua adui aliyejificha 6M ardhini? Wewe umedai USA hawana jeuri ya kwenda kupigana ardhini, nimekupa mifano 2 tu, Afghanistan na Iraq, kote huko infantry walifanya kazi yao, umeshindwa kujibu unakuja na general statements. Jibu swali ili kuwe na mjadara wa maana.
Rudia kusoma ulichoandkia kama kinafanana na posti yako ya pili!
 
Rudia kusoma ulichoandkia kama kinafanana na posti yako ya pili!

Hivi kwa technology iliopo sasa hvi; askari wa ardhini wanaweza kutumia silaha gani inayoweza kuua watu waliojificha kwenye mahandaki/tunnels? Jifunzeni vitu kwanza ndio m comment, una haraka gani? Anyway, nikukumbushe tu, yule dogo aliyekua na umri wa miaka 21 ambaye alisaidia sana kujua mahali Osama alipojificha, alikamatwa ma askari wa miguu wa Marekani pale Afghanistan, mwingine aliyekw3nda kwa jina la Albagdad nae alikamatwa na askari wa miguu palepale Iraq; wawili hao ndio hasa walisaidia sana kujua namna ya kumpata Osama Bin Laden. Wote hawa (sina hakika kama bado wapo hai ) walifungwa kwenye gereza na Gwantanamo. (Nime copy kama ilivo, sipaoni mahali nilipobadiri msimamo)

Quote Reply
Report Edit Delete
  • Thanks
Reactions:Imeloa, Mzee Kigogo and Frank Wanjiru
[IMG alt="The Mongolian Savage"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/493/493786.jpg?1630386694[/IMG]

The Mongolian Savage

JF-Expert Member​

HAWA MASENGE WANA SURA NGUMU.
Screenshot_2024-10-21-04-31-52-789_com.twitter.android~2.jpg


Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Detective J"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/393/393541.jpg?1543443195[/IMG]

Detective J

JF-Expert Member​

Netanyau mwenyewe sio muda atakimbilia marekani naona dalili
Huyo daily anasafiri kwenda na kurudi marekani na hamna kitu kimefanyika kuzuia hilo

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Detective J"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/393/393541.jpg?1543443195[/IMG]

Detective J

JF-Expert Member​

Hivi kwa technology iliopo sasa hvi; askari wa ardhini wanaweza kutumia silaha gani inayoweza kuua watu waliojificha kwenye mahandaki/tunnels? Jifunzeni vitu kwanza ndio m comment, una haraka gani? Anyway, nikukumbushe tu, yule dogo aliyekua na umri wa miaka 21 ambaye alisaidia sana kujua mahali Osama alipojificha, alikamatwa ma askari wa miguu wa Marekani pale Afghanistan, mwingine aliyekw3nda kwa jina la Albagdad nae alikamatwa na askari wa miguu palepale Iraq; wawili hao ndio hasa walisaidia sana kujua namna ya kumpata Osama Bin Laden. Wote hawa (sina hakika kama bado wapo hai ) walifungwa kwenye gereza na Gwantanamo.
Click to expand...
Anadharau infantry, infantry ndio jeshi mama , ndio uti wa mgongo wa majeshi yote duniani

Thanks Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:You, Mzee Kigogo, lamaa and 2 others
[IMG alt="kipara kipya"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/364/364867.jpg?1505625903[/IMG]

kipara kipya

JF-Expert Member​

Hivi kwa technology iliopo sasa hvi; askari wa ardhini wanaweza kutumia silaha gani inayoweza kuua watu waliojificha kwenye mahandaki/tunnels? Jifunzeni vitu kwanza ndio m comment, una haraka gani? Anyway, nikukumbushe tu, yule dogo aliyekua na umri wa miaka 21 ambaye alisaidia sana kujua mahali Osama alipojificha, alikamatwa ma askari wa miguu wa Marekani pale Afghanistan, mwingine aliyekw3nda kwa jina la Albagdad nae alikamatwa na askari wa miguu palepale Iraq; wawili hao ndio hasa walisaidia sana kujua namna ya kumpata Osama Bin Laden. Wote hawa (sina hakika kama bado wapo hai ) walifungwa kwenye gereza na Gwantanamo.
Huna ujualo!

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="kipara kipya"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/364/364867.jpg?1505625903[/IMG]

kipara kipya

JF-Expert Member​

Anadharau infantry, infantry ndio jeshi mama , ndio uti wa mgongo wa majeshi yote duniani
Hajitambui!

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Komeo Lachuma"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/256/256453.jpg?1417635432[/IMG]

Komeo Lachuma

JF-Expert Member​

Anakimbia je tena na wanasema kufia vitani ni ndio kifo cha ushahidi?
Yeye kasema AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO.

Thanks Quote Reply
Report
  • Kicheko
Reactions:imhotep
1 of 2Next Last

BoldItalicMore options…

Insert linkInsert imageMore options…
UndoMore options…
Preview

Font sizeText colorFont familyListAlignment
  • Align left
  • Align center
  • Align right
  • Justify text
Paragraph formatStrike-throughUnderlineInline spoilerInline code
SmiliesQuoteInsert videoMediaInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCodeSubscriptSuperscript
RedoToggle BB codeRemove formattingDrafts

Write your repHivi kwa technology iliopo sasa hvi; askari wa ardhini wanaweza kutumia silaha gani inayoweza kuua watu waliojificha kwenye mahandaki/tunnels? Jifunzeni vitu kwanza ndio m comment, una haraka gani? Anyway, nikukumbushe tu, yule dogo aliyekua na umri wa miaka 21 ambaye alisaidia sana kujua mahali Osama alipojificha, alikamatwa ma askari wa miguu wa Marekani pale Afghanistan, mwingine aliyekw3nda kwa jina la Albagdad nae alikamatwa na askari wa miguu palepale Iraq; wawili hao ndio hasa walisaidia sana kujua namna ya kumpata Osama Bin Laden. Wote hawa (sina hakika kama bado wapo hai ) walifungwa kwenye gereza na Gwantanamo.
Quote ReplyReport Edit Delete
Thanks Reactions:Imeloa, Mzee Kigogo and Frank Wanjiru
The Mongolian Savage
The Mongolian Savage
JF-Expert Member
Yesterday at 10:43 AM
Add bookmark
#15
HAWA MASENGE WANA SURA NGUMU.
Screenshot_2024-10-21-04-31-52-789_com.twitter.android~2.jpg
Thanks Quote ReplyReport
Detective J
Detective J
JF-Expert Member
Yesterday at 10:44 AM
Add bookmark
#16
Morogoro kaskazini said:
Netanyau mwenyewe sio muda atakimbilia marekani naona dalili
Huyo daily anasafiri kwenda na kurudi marekani na hamna kitu kimefanyika kuzuia hilo
Thanks Quote ReplyReport
Detective J
Detective J
JF-Expert Member
Yesterday at 10:45 AM
Add bookmark
#17
Makwizi Band said:
Hivi kwa technology iliopo sasa hvi; askari wa ardhini wanaweza kutumia silaha gani inayoweza kuua watu waliojificha kwenye mahandaki/tunnels? Jifunzeni vitu kwanza ndio m comment, una haraka gani? Anyway, nikukumbushe tu, yule dogo aliyekua na umri wa miaka 21 ambaye alisaidia sana kujua mahali Osama alipojificha, alikamatwa ma askari wa miguu wa Marekani pale Afghanistan, mwingine aliyekw3nda kwa jina la Albagdad nae alikamatwa na askari wa miguu palepale Iraq; wawili hao ndio hasa walisaidia sana kujua namna ya kumpata Osama Bin Laden. Wote hawa (sina hakika kama bado wapo hai ) walifungwa kwenye gereza na Gwantanamo.
Click to expand...
Anadharau infantry, infantry ndio jeshi mama , ndio uti wa mgongo wa majeshi yote duniani
Thanks Thanks Quote ReplyReport
Thanks Reactions:You, Mzee Kigogo, lamaa and 2 others
kipara kipya
kipara kipya
JF-Expert Member
Yesterday at 10:46 AM
Add bookmark
#18
Makwizi Band said:
Hivi kwa technology iliopo sasa hvi; askari wa ardhini wanaweza kutumia silaha gani inayoweza kuua watu waliojificha kwenye mahandaki/tunnels? Jifunzeni vitu kwanza ndio m comment, una haraka gani? Anyway, nikukumbushe tu, yule dogo aliyekua na umri wa miaka 21 ambaye alisaidia sana kujua mahali Osama alipojificha, alikamatwa ma askari wa miguu wa Marekani pale Afghanistan, mwingine aliyekw3nda kwa jina la Albagdad nae alikamatwa na askari wa miguu palepale Iraq; wawili hao ndio hasa walisaidia sana kujua namna ya kumpata Osama Bin Laden. Wote hawa (sina hakika kama bado wapo hai ) walifungwa kwenye gereza na Gwantanamo.
Huna ujualo!
Thanks Quote ReplyReport
kipara kipya
kipara kipya
JF-Expert Member
Yesterday at 10:47 AM
Add bookmark
#19
Detective J said:
Anadharau infantry, infantry ndio jeshi mama , ndio uti wa mgongo wa majeshi yote duniani
Hajitambui!
 
Jamaa yeye hajataka kuwahi mabikra 72. Ameondoka Hezbollah kuelekea Tehran kujificha huko akihofia kilichomkuta Ungo na yeye Kibeku kumkuta. Wamereport Iran katika hali ya kustaajabishwa na makamanda hawa ,mashujaa kukimbia mapambano na wengine kujificha mapangoni.

View attachment 3131280
Huyu si ndiye alikuwa anamwaga chozi kama binti mjamzito aliyefiwa na mumewe? Muweni hata na huruma japo kidogo.
 
It's very sad. Wanaoteseka ni raia wa Gaza na Israel. Viongozi wanakula maisha tu.
 
Wao si wananguvu waende Iran kuuwa watumie njia yao kigaidi bin uoga kama kupigana uwez ata kung,ta pia unaweza pata ushindi na mashabiki wako wakijitoa faaam unajikuta unashangiliwa kuwa mshindii. IRAN ameifanya dunia ijue akuna kisichowezekana chini ya jua alimtwanga USA akaambia icho kibao tu sasa jaribu tukuoneshe vita inakuwaje. akaambiwa tena iyo vita utakuwa umeiyanza ww lkn ni Iran tu atakaeimaliza iyo vita akuna mwengine 😂😂 Tramp adi Leo anaishi kwa yoga. So mwambieni Israel atimbe Iran sio mbali.
 
Jamaa yeye hajataka kuwahi mabikra 72. Ameondoka Hezbollah kuelekea Tehran kujificha huko akihofia kilichomkuta Ungo na yeye Kibeku kumkuta. Wamereport Iran katika hali ya kustaajabishwa na makamanda hawa ,mashujaa kukimbia mapambano na wengine kujificha mapangoni.

View attachment 3131280
1 Wafalme 2:5-6 (KJV) Na zaidi ya hayo, umejua alivyonitenda Yoabu, mwana wa Seruya, yaani, alivyowatenda majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri, mwana wa Neri, na Amasa, mwana wa Yetheri, ambao aliwaua, na kuimwaga damu ya vita wakati wa amani, akautia damu ya vita mshipi uliokuwa viunoni mwake, na viatu vilivyokuwa miguuni mwake.
Kwa hiyo ufanye kama ilivyo hekima yako, wala usimwachie mvi zake kushukia Ahera kwa amani.
 
View attachment 3132723Huyu nae atauwawa tu hukohuko kwenye Shimo alilojifichaView attachment 3132725 Hamuoni mwenzake anavyolia akisikia jina la Bunker Busters
1 Wafalme 2:5-6 (KJV) Na zaidi ya hayo, umejua alivyonitenda Yoabu, mwana wa Seruya, yaani, alivyowatenda majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri, mwana wa Neri, na Amasa, mwana wa Yetheri, ambao aliwaua, na kuimwaga damu ya vita wakati wa amani, akautia damu ya vita mshipi uliokuwa viunoni mwake, na viatu vilivyokuwa miguuni mwake.
Kwa hiyo ufanye kama ilivyo hekima yako, wala usimwachie mvi zake kushukia Ahera kwa amani.
 
Jamaa yeye hajataka kuwahi mabikra 72. Ameondoka Hezbollah kuelekea Tehran kujificha huko akihofia kilichomkuta Ungo na yeye Kibeku kumkuta. Wamereport Iran katika hali ya kustaajabishwa na makamanda hawa ,mashujaa kukimbia mapambano na wengine kujificha mapangoni.

View attachment 3131280
Hata Nasurlah walisema vile vile eti.kakimbia yuko Iran, tatizo nyie wafuasi wa Paulo mnajijua wazi kabisa ukristo wenu fake ndio mana mnaogopa kufa. Waislam waogope kufa sababu ipi labda awe haendi sawa na uislamu unavyo amrisha, ndio ataogopa kufa sababu hana tofauti na wakristo na wayahudi.
 
Hata Nasurlah walisema vile vile eti.kakimbia yuko Iran, tatizo nyie wafuasi wa Paulo mnajijua wazi kabisa ukristo wenu fake ndio mana mnaogopa kufa. Waislam waogope kufa sababu ipi labda awe haendi sawa na uislamu unavyo amrisha, ndio ataogopa kufa sababu hana tofauti na wakristo na wayahudi.

1 Kor 1:18-31​

1 Kor 1:18-31 SUV​

BHNSUVNenoSRUV
Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa. Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mlete hoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu? Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumjua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa waaminio kwa upuzi wa lile neno linalohubiriwa. Kwa sababu Wayahudi wanataka ishara, na Wayunani wanatafuta hekima; bali sisi tunamhubiri Kristo, aliyesulibiwa; kwa Wayahudi ni kikwazo, na kwa Wayunani ni upuzi; bali kwao waitwao, Wayahudi kwa Wayunani, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu. Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu. Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa; bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu; tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko; mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu. Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi; kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana.
 
Back
Top Bottom