The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Hata Nasurlah walisema vile vile eti.kakimbia yuko Iran, tatizo nyie wafuasi wa Paulo mnajijua wazi kabisa ukristo wenu fake ndio mana mnaogopa kufa. Waislam waogope kufa sababu ipi labda awe haendi sawa na uislamu unavyo amrisha, ndio ataogopa kufa sababu hana tofauti na wakristo na wayahudi.
1 Wafalme 2:5-6 (KJV) Na zaidi ya hayo, umejua alivyonitenda Yoabu, mwana wa Seruya, yaani, alivyowatenda majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri, mwana wa Neri, na Amasa, mwana wa Yetheri, ambao aliwaua, na kuimwaga damu ya vita wakati wa amani, akautia damu ya vita mshipi uliokuwa viunoni mwake, na viatu vilivyokuwa miguuni mwake.
Kwa hiyo ufanye kama ilivyo hekima yako, wala usimwachie mvi zake kushukia Ahera kwa amani.
Hata Nasurlah walisema vile vile eti.kakimbia yuko Iran, tatizo nyie wafuasi wa Paulo mnajijua wazi kabisa ukristo wenu fake ndio mana mnaogopa kufa. Waislam waogope kufa sababu ipi labda awe haendi sawa na uislamu unavyo amrisha, ndio ataogopa kufa sababu hana tofauti na wakristo na wayahudi.
Wao si wananguvu waende Iran kuuwa watumie njia yao kigaidi bin uoga kama kupigana uwez ata kung,ta pia unaweza pata ushindi na mashabiki wako wakijitoa faaam unajikuta unashangiliwa kuwa mshindii. IRAN ameifanya dunia ijue akuna kisichowezekana chini ya jua alimtwanga USA akaambia icho kibao tu sasa jaribu tukuoneshe vita inakuwaje. akaambiwa tena iyo vita utakuwa umeiyanza ww lkn ni Iran tu atakaeimaliza iyo vita akuna mwengine ππ Tramp adi Leo anaishi kwa yoga. So mwambieni Israel atimbe Iran sio mbali.
Hatar sana ππBado kile kisemaji chao. Jana kimekimbia mabomu.
Mbona anafanana na Yuda Iscariot wa kwenye movie....,πππJamaa yeye hajataka kuwahi mabikra 72. Ameondoka Hezbollah kuelekea Tehran kujificha huko akihofia kilichomkuta Ungo na yeye Kibeku kumkuta. Wamereport Iran katika hali ya kustaajabishwa na makamanda hawa ,mashujaa kukimbia mapambano na wengine kujificha mapangoni.
View attachment 3131280