Naibu Spika Dkt. Tulia: Jesca Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya Spika haina taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako

Wewe nimekuelewa, hao jamaa wanalindana kiaina.
 
Kutafanyika kikao kati ya Ndugai, Mbowe na Mahera chini ya mshauri wa Rais wa mambo ya siasa kujua " Kwanini Halima James Mdee wako bungeni bila ridhaa ya kamati kuu ya Chadema ?"

Mjue wale wameapa mbele ya spika, na tume ya uchaguzi ndio ilipeleka majina kwa spika,

Na wale wako bungeni ni kwa because sababu zilizotumika kuwavua uanachama hazina mashiko

Ni sawa na ambavyo Mbowe Aliamua kuwatoa wabunge wote bungeni kisa ni corona wakati bunge linaendelea
 
Corona hiyo hiyo ikaondoka na mwenyekiti wenu
 
Corona hiyo hiyo ikaondoka na mwenyekiti wenu

Ww ndio ulikuwa Dr wake?
Tatizo mkishapata vitekno mnaanza kuandika vitu hata hamvijui

Leo ukiambiwa udhibitishe unaanza kulia na kusema unaonewa
 
Kituko! Mhemiwa kishoa ni sawa na mtuhumiwa anaekiri kosa mahakamani kuwa nimeiba, na Mheshimiwa naibu spika naye ni sawa na hakimu anaemwambia mkosaji mwizi, usiseme nimeipa!
 
Mbona Mbowe alikuwa anakula 1.5 za viti maalum miaka yote? So ni poa tu kwa ndugai
Hata baada ya CAG kutogundua ubadhirifu wowote kuhusiana na fedha husika,Takukuru ilipewa jukumu la kuchunguza upya uhalali na matumizi ya fedha hizo ambazo zilikuwa zinachangwa kwa mujibu wa katiba ya Chadema,lakini Takukuru inaelekea waligonga mwamba,maanake wako kimya mpaka leo.
 
Katibu Mkuu wa chama CDM amelishalitaarifu Bungekuhusu hao covid 19, ni uhuni uhuni tu ndiyo unaofanyika kuichezea katiba na sheria za nchi.
 
Kituko! Mhemiwa kishoa ni sawa na mtuhumiwa anaekiri kosa mahakamani kuwa nimeiba, na Mheshimiwa naibu spika naye ni sawa na hakimu anaemwambia mkosaji mwizi, usiseme nimeipa!
Spika mwemyewe naye mwizi wa kura vilevile patam hapo - mwizi na mwizi wanapokutana uso kwa uso.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…