Wewe nimekuelewa, hao jamaa wanalindana kiaina.Nafkiri amejuta kusema walifutwa uanachama gafla hiyo kauli mara ingemlaza na njaa lakini Naibu spika amempenda kumpa tena nafasi kufuta kauli, kumbe hawa Covid19 wanajua fika wapo bungeni kwa msaada wa Spika tu sio vyenginevyo, siku Ndugai akiamka vibaya wataenda zao nje
Kutafanyika kikao kati ya Ndugai, Mbowe na Mahera chini ya mshauri wa Rais wa mambo ya siasa kujua " Kwanini Halima James Mdee wako bungeni bila ridhaa ya kamati kuu ya Chadema ?"
Chadema itapata wabunge halali!
Maskini wanatia huruma
Hilo liko wazi,huoni anavyozidi kuumuka mashavu kwa fedha ya dhulma
Unajichosha tu MBOWE haelewekiNi jambo jema!
Baada ya hotuba ya jana kuna kila dalili covid 19 watatimuliwa bungeni.
Aka Tumbili ataisoma namba T 2020 RAS
Ni jambo la muda tu; kinga aliyojiwekea itayeyuka.Mwenzako Ndugai kajiwekea kinga ingawa sio mwisho wa yote.
Ni jambo la muda tu; kinga aliyojiwekea itayeyuka.
Hizo ni stori zenu wakati mnakuna nazi.Mbona Mbowe alikuwa anakula 1.5 za viti maalum miaka yote? So ni poa tu kwa ndugai
Hizo ni stori zenu wakati mnakuna nazi.View attachment 1761510View attachment 1761511
Tulia ni mlokole mwenye roho ya SHETANI.
Corona hiyo hiyo ikaondoka na mwenyekiti wenuMjue wale wameapa mbele ya spika, na tume ya uchaguzi ndio ilipeleka majina kwa spika,
Na wale wako bungeni ni kwa because sababu zilizotumika kuwavua uanachama hazina mashiko
Ni sawa na ambavyo Mbowe Aliamua kuwatoa wabunge wote bungeni kisa ni corona wakati bunge linaendelea
Tulia hawezi kuwq mrokole maana mwaka jama alishiriki mambo ya kishirikina pale mbeya na kundi lake .Tulia ni mlokole mwenye roho ya SHETANI.
Mnavyomchukia si mngeshamfunga jela. Hizo stori za kimalaya malaya za LumumbaMpaka Ndugai akawa anapiga kelele the way jamaa alikuwa anakula posho za viti maalum
Corona hiyo hiyo ikaondoka na mwenyekiti wenu
Kituko! Mhemiwa kishoa ni sawa na mtuhumiwa anaekiri kosa mahakamani kuwa nimeiba, na Mheshimiwa naibu spika naye ni sawa na hakimu anaemwambia mkosaji mwizi, usiseme nimeipa!Mbunge Kishoa kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye chama chake. Naibu spika akalazimika kuingilia kwa kusema haihitaji kuwa naye bungeni kama hana chama cha Siasa kwani ni takwa la kuwemo bungeni.
"Mheshimiwa Naibu spika sitaki sana kubishana na kiti chako lakini niseme mimi ni miongoni mwa wahanga wakubwa sana wa suala hili la mikutano ya hadhara, nikiwa kama katibu mkuu wa Baraza la wanawake CHADEMA wakati huo kabla sijaondolewa kwenye chama changu...'' Alisema Kishoa
Spika alimkatisha na kusema, "Mheshimiwa Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya spika haina hiyo taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako, kama umeondolewa kwenye chama chako usingekuwa humu ndani kwa sababu wabunge waliokuwemo humu ndani wote wana vyama vya siasa ndivyo katiba yetu inavyosema na ndiyo katiba yetu inavyosema ile katiba hairuhusu mbunge ambae hana chama"
Kishoa: Mheshimiwa Spika hatujaondolewa kwenye chama, bado mimi ni mwanachama wa CHADEMA kwasababu tuko kwenye taratibu na tumekata rufaa na taratibu zinaendelea
Tulia: Mheshimiwa ngoja, waheshimiwa wabunge taarifa rasmi za Bunge ni kumbukumbu, umezungumza kabla ya sentesi yako ya sasakwamba kabla hujaondolewa kwenye chama chako, futa hiyo kauli kwanza halafu umalizie mchango wako kwasababu ndani ya bunge hili tutakuwa tunavunja katiba kama tutakuwa na wewe humu kama umeshaondolewa na chama chako
Kishoa: Mheshimiwa naibu spika nimefuta
Hoja ya Mbunge Jesca ilianzia kwenye haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na kukumbana na miongozo mingi kutoka kwa wabunge wakimtaka afute kauli. Kishoa amesema nchi ikiongozwa kwa matamko badala ya katiba itapotea.
Akifafanua kuhusu mikutano ya vyama vya kisiasa, Naibu spika amesema mikutano hiyo ipo kwenye katiba za vyama vya siasa na hufanyika kwa vipindi na sio ya hadhara akitolea mfano mkutano mkuu wa CCM uttakaofata utafanyika JK Convection centre na huo ndio unaitwa mkutano wa CCM lakini Rais akienda mahali unakuwa mkutano wa Rais na si CCM.
MY TAKE:
Je, CHADEMA haijatarifu bunge kuhusu kuwavua uanachama Wabunge 19 wa CHADEMA?
Zaidi soma: John Mnyika amuumbua Spika kwa kutoa ushahidi wa Ofisi ya Spika kupokea barua ya CHADEMA kuwavua ubunge wanachama wake
Hata baada ya CAG kutogundua ubadhirifu wowote kuhusiana na fedha husika,Takukuru ilipewa jukumu la kuchunguza upya uhalali na matumizi ya fedha hizo ambazo zilikuwa zinachangwa kwa mujibu wa katiba ya Chadema,lakini Takukuru inaelekea waligonga mwamba,maanake wako kimya mpaka leo.Mbona Mbowe alikuwa anakula 1.5 za viti maalum miaka yote? So ni poa tu kwa ndugai
Spika mwemyewe naye mwizi wa kura vilevile patam hapo - mwizi na mwizi wanapokutana uso kwa uso.Kituko! Mhemiwa kishoa ni sawa na mtuhumiwa anaekiri kosa mahakamani kuwa nimeiba, na Mheshimiwa naibu spika naye ni sawa na hakimu anaemwambia mkosaji mwizi, usiseme nimeipa!