Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kuna dalili hata mimi nimezionaKuna uwezekano tanzania tukampata spika mwañamke kabla ya mwaka 2025.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dalili hata mimi nimezionaKuna uwezekano tanzania tukampata spika mwañamke kabla ya mwaka 2025.
Juzi juzi tu walikua wengi walio juu ya katiba.Covid19 ni wabunge wa Ndugai. Na Ndugai yupo juu ya Katiba. So, wacha waendelee kula mema ya nchi.
Hiyo tunaiita "Dr Tulia Ackson ameamua kumuwekea Jesca Kishoa maneno mdomoni" Nadhani hii dhambi italitesa sana bunge la Ndugai.Nakuuliza tu mkristo mwenzangu Dr Tulia Ackson maana Jesca Kishoa amekiri kuwa waliondolewa Chadema lakini wewe ukamtaka afute ukiri wake.
Kimaandiko matakatifu wewe Dr Tulia umetenda dhambi kubwa kuliko Jesca Kafulila aliyeamua kuwa mkweli wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Kazi Iendelee!
Bunge limebuliwa kupitia kwa spika
Hata wewe ukitaka utapewa hivyo viti maalum kupitia kwa chakubangakungekuwa na viti maalum vya wanaume leo Chadema hamna mtu angevuliwa ubunge. Mbowe, Lissu, Lema wangekuwa viti vya mbele kabisa bungeni sema ndio hivyo chama chetu hakiamini wanawake
Dah.. siasa ni mchezo wa ajabu Sana.YES TANGU NOVEMBER MWAKA JANA NA NDU GAY ALII SLAM VIBAYA SANA AKISEMA IMEJAA MAJUNGUView attachment 1761441
Hii ni planned movie....speaker wamempanga Jesca aongee wapate pa kuanziaMbunge Kishoa kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye chama chake. Naibu spika akalazimika kuingilia kwa kusema haihitaji kuwa naye bungeni kama hana chama cha Siasa kwani ni takwa la kuwemo bungeni.
"Mheshimiwa Naibu spika sitaki sana kubishana na kiti chako lakini niseme mimi ni miongoni mwa wahanga wakubwa sana wa suala hili la mikutano ya hadhara, nikiwa kama katibu mkuu wa Baraza la wanawake CHADEMA wakati huo kabla sijaondolewa kwenye chama changu...'' Alisema Kishoa
Spika alimkatisha na kusema, "Mheshimiwa Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya spika haina hiyo taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako, kama umeondolewa kwenye chama chako usingekuwa humu ndani kwa sababu wabunge waliokuwemo humu ndani wote wana vyama vya siasa ndivyo katiba yetu inavyosema na ndiyo katiba yetu inavyosema ile katiba hairuhusu mbunge ambae hana chama"
Kishoa: Mheshimiwa Spika hatujaondolewa kwenye chama, bado mimi ni mwanachama wa CHADEMA kwasababu tuko kwenye taratibu na tumekata rufaa na taratibu zinaendelea
Tulia: Mheshimiwa ngoja, waheshimiwa wabunge taarifa rasmi za Bunge ni kumbukumbu, umezungumza kabla ya sentesi yako ya sasakwamba kabla hujaondolewa kwenye chama chako, futa hiyo kauli kwanza halafu umalizie mchango wako kwasababu ndani ya bunge hili tutakuwa tunavunja katiba kama tutakuwa na wewe humu kama umeshaondolewa na chama chako
Kishoa: Mheshimiwa naibu spika nimefuta
Hoja ya Mbunge Jesca ilianzia kwenye haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na kukumbana na miongozo mingi kutoka kwa wabunge wakimtaka afute kauli. Kishoa amesema nchi ikiongozwa kwa matamko badala ya katiba itapotea.
Akifafanua kuhusu mikutano ya vyama vya kisiasa, Naibu spika amesema mikutano hiyo ipo kwenye katiba za vyama vya siasa na hufanyika kwa vipindi na sio ya hadhara akitolea mfano mkutano mkuu wa CCM uttakaofata utafanyika JK Convection centre na huo ndio unaitwa mkutano wa CCM lakini Rais akienda mahali unakuwa mkutano wa Rais na si CCM.
MY TAKE:
Je, CHADEMA haijatarifu bunge kuhusu kuwavua uanachama Wabunge 19 wa CHADEMA?
Ndiyo maana wakati woote Ndugaye anaonekana mwenye mawazo mengi utadhani anamsaidia Bashiru .Kuna uwezekano tanzania tukampata spika mwañamke kabla ya mwaka 2025.
Huu ni ufisadi unaofanywa na Ndugaye kwa makusudi kabisaalichozungumza kishoa ndiyo hali halisi, Si wabunge wa CHADEMA , hawana chmama, wanakula fedha za matajiri walipa kodi wa hii nchi bila huruma.
Kama hawajatimuliwa, hiyo idea ya kusema hadharani bungeni kuwa alifukuzwa imekujaje akilini kwake?? Daima ukweli haufichiki milele.Mbunge Kishoa kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye chama chake. Naibu spika akalazimika kuingilia kwa kusema haihitaji kuwa naye bungeni kama hana chama cha Siasa kwani ni takwa la kuwemo bungeni.
"Mheshimiwa Naibu spika sitaki sana kubishana na kiti chako lakini niseme mimi ni miongoni mwa wahanga wakubwa sana wa suala hili la mikutano ya hadhara, nikiwa kama katibu mkuu wa Baraza la wanawake CHADEMA wakati huo kabla sijaondolewa kwenye chama changu...'' Alisema Kishoa
Spika alimkatisha na kusema, "Mheshimiwa Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya spika haina hiyo taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako, kama umeondolewa kwenye chama chako usingekuwa humu ndani kwa sababu wabunge waliokuwemo humu ndani wote wana vyama vya siasa ndivyo katiba yetu inavyosema na ndiyo katiba yetu inavyosema ile katiba hairuhusu mbunge ambae hana chama"
Kishoa: Mheshimiwa Spika hatujaondolewa kwenye chama, bado mimi ni mwanachama wa CHADEMA kwasababu tuko kwenye taratibu na tumekata rufaa na taratibu zinaendelea
Tulia: Mheshimiwa ngoja, waheshimiwa wabunge taarifa rasmi za Bunge ni kumbukumbu, umezungumza kabla ya sentesi yako ya sasakwamba kabla hujaondolewa kwenye chama chako, futa hiyo kauli kwanza halafu umalizie mchango wako kwasababu ndani ya bunge hili tutakuwa tunavunja katiba kama tutakuwa na wewe humu kama umeshaondolewa na chama chako
Kishoa: Mheshimiwa naibu spika nimefuta
Hoja ya Mbunge Jesca ilianzia kwenye haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na kukumbana na miongozo mingi kutoka kwa wabunge wakimtaka afute kauli. Kishoa amesema nchi ikiongozwa kwa matamko badala ya katiba itapotea.
Akifafanua kuhusu mikutano ya vyama vya kisiasa, Naibu spika amesema mikutano hiyo ipo kwenye katiba za vyama vya siasa na hufanyika kwa vipindi na sio ya hadhara akitolea mfano mkutano mkuu wa CCM uttakaofata utafanyika JK Convection centre na huo ndio unaitwa mkutano wa CCM lakini Rais akienda mahali unakuwa mkutano wa Rais na si CCM.
MY TAKE:
Je, CHADEMA haijatarifu bunge kuhusu kuwavua uanachama Wabunge 19 wa CHADEMA?
A.K.A betina wa nzoovweeeRais Samia Suluhu, Mungu ambariki sana huyu mama! Kweli uchungu wa mwana aujua Mama Mzazi. Kwa hotuba ya Rais SSH jana Bungeni, she's gonna reverse the situation completely!!! Tayari imeonesha nia ya kukutana na vyama pinzani kujadili huu upuuxi wa Wabunge 19 wa Ndugai na Kigagula Tulia..............!!!!
Yajayo yanafurahisha.
Ndugaye leo kaumbukaSidhani....Nahisi Kuna namna alitaka kuchokonoa mada na amefanikiwa kwa kiasi fulani.
Alichofanya Kishoa ni kuionyesha Dunia kuwa sisi kuwemo humu ndani sio kwa mapenzi yetu ila Kuna nguvu iliyonyuma yetu.
SitakujibuKwa lipi Mkuu, una uhakika walipokea barua ya CDM?
Sasa Naibu Spika anamlazimisha Mbunge awe wa Chama fulani wakati mbunge huyo anamwambia yeye hana Chama.Covid19 ni wabunge wa Ndugai. Na Ndugai yupo juu ya Katiba. So, wacha waendelee kula mema ya nchi.