Naibu Spika Dkt. Tulia: Jesca Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya Spika haina taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako

Naibu Spika Dkt. Tulia: Jesca Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya Spika haina taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako

Akina Msukuma Class-7 a.k.a LY wanaposema Maprofesa na Madaktari wa Tanzania pengine WAMENUNUA VYETI .....!!!!

Naibu wa Spika ni Daktari wa Sheria! Namshangaa sana kuongea Uongo Bungeni kuhusu Mbunge Kishoa kuhusu UHALALI WA WABUNGE KUWA BUNGENI KAMA HAWANA CHAMA....!!!!

Pengine Angela kuwafafanulia Watz kuhudu UHALALI WA WABUNGE 19 TOKA CHADEMA AMBAO WAKO BUNGENI NA WALISHA FUKUZWA UANACHAMA NA CHADEMA KITAMBO. Kama hajui kuhusu hao COVID-19 basi amwulize bosi wake Ndugai ambaye anajua namna alivowaingiza hao mash**ga 19 pale Bungeni!!!
 
Tulia endelea kuwafanganya wananchi. Halima mdee kwà mfano 2025 anaelekea wapi? Na kwà chama gani?au utampa jumbo la mbeya mjini? Halima bado ni mdogo kwà umri na hana ajira nyingine ataelekea wapi? Bora uwaeleze mapema kuwa hawana chama ilinwaanze kuhipanga kisiasa na kimaisha. Wengine waanze kuolewa au la.
Kwani kuama cha bei gani
 
Staki kuamini Kama bunge halina taarifa za kuvuliwa uanachama kina Jesca na wenzake, ila wakumbuke tu kuwa hi ni awamu nyingine kabisa. Kuna kila dalili wanaweza kutimuliwa mjengoni
Rais Samia Suluhu, Mungu ambariki sana huyu mama! Kweli uchungu wa mwana aujua Mama Mzazi. Kwa hotuba ya Rais SSH jana Bungeni, she's gonna reverse the situation completely!!! Tayari imeonesha nia ya kukutana na vyama pinzani kujadili huu upuuxi wa Wabunge 19 wa Ndugai na Kigagula Tulia..............!!!!
Yajayo yanafurahisha.
 
Mbunge Kishoa kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye chama chake. Naibu spika akalazimika kuingilia kwa kusema haihitaji kuwa naye bungeni kama hana chama cha Siasa kwani ni takwa la kuwemo bungeni...
alichozungumza kishoa ndiyo hali halisi, Si wabunge wa CHADEMA , hawana chmama, wanakula fedha za matajiri walipa kodi wa hii nchi bila huruma.
 
Aisee! Hii ni sawa mwanamke kaachika kwa talaka tatu ila haamini kama kaachika na bado anaipenda ndoa. Ha ha ha
 
Kwa lipi Mkuu, una uhakika walipokea barua ya CDM?
YES TANGU NOVEMBER MWAKA JANA NA NDU GAY ALII SLAM VIBAYA SANA AKISEMA IMEJAA MAJUNGU
covid 19.JPG
 
Mbunge Kishoa kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye chama chake. Naibu spika akalazimika kuingilia kwa kusema haihitaji kuwa naye bungeni kama hana chama cha Siasa kwani ni takwa la kuwemo bungeni...
Nafkiri amejuta kusema walifutwa uanachama gafla hiyo kauli mara ingemlaza na njaa lakini Naibu spika amempenda kumpa tena nafasi kufuta kauli, kumbe hawa Covid19 wanajua fika wapo bungeni kwa msaada wa Spika tu sio vyenginevyo, siku Ndugai akiamka vibaya wataenda zao nje
 
Back
Top Bottom