Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maisha yake yote hajawahi kufanya kazi zaidi ya ubunge katoka tu chuo akala ubunge viti maalumu kwa hiyo kaona ni halali yake na dharau kwa mbowe aliyemfikisha hapoTulia endelea kuwafanganya wananchi. Halima mdee kwà mfano 2025 anaelekea wapi? Na kwà chama gani?au utampa jumbo la mbeya mjini? Halima bado ni mdogo kwà umri na hana ajira nyingine ataelekea wapi? Bora uwaeleze mapema kuwa hawana chama ilinwaanze kuhipanga kisiasa na kimaisha. Wengine waanze kuolewa au la
Kutafanyika kikao kati ya Ndugai, Mbowe na Mahera chini ya mshauri wa Rais wa mambo ya siasa kujua " Kwanini Halima James Mdee wako bungeni bila ridhaa ya kamati kuu ya Chadema ?"Ni kinaonyesha hizo dalili?
Hahahaaaa...... Chachandu.WABUNGE KUPITIA chama cha Ndugai (chachandu)
Ndo nashangaa.Mwambie Mataga wagumu sana kuelewa.Kwani wao waliingia huko bungeni kwa staha?
Ni mbombo ngafu 🤣🤣👆👆Tusubirie mama akisharuhusu mikutano ya kisiasa,twone watavaa jezi za chama kipi wasimamapo majukwaan
Covid19 ni wabunge wa Ndugai. Na Ndugai yupo juu ya Katiba. So, wacha waendelee kula mema ya nchi
Kwa Mungu hakuna kinga, Mda ukifika utakwenda tu utake usitake..Mwenzako Ndugai kajiwekea kinga ingawa sio mwisho wa yote.
Inawezekana kabisa maana ndugai ni mjuzi wa kutengeneza fursa ya kufisidi.Je, kuna uwezekano kwamba kila mwezi Ndugai anachukua mgao wake toka kwa COVID-19?
Kwa lipi Mkuu, una uhakika walipokea barua ya CDM?Ndugai na Tulia ni wapuuzi
Wewe ni mpumbaf kama wapumbaf wengine hasa hao kina covid -19.Mbunge Kishoa kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye chama chake. Naibu spika akalazimika kuingilia kwa kusema haihitaji kuwa naye bungeni kama hana chama cha Siasa kwani ni takwa la kuwemo bungeni.
"Mheshimiwa Naibu spika sitaki sana kubishana na kiti chako lakini niseme mimi ni miongoni mwa wahanga wakubwa sana wa suala hili la mikutano ya hadhara, nikiwa kama katibu mkuu wa Baraza la wanawake CHADEMA wakati huo kabla sijaondolewa kwenye chama changu...'' Alisema Kishoa
Spika alimkatisha na kusema, "Mheshimiwa Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya spika haina hiyo taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako, kama umeondolewa kwenye chama chako usingekuwa humu ndani kwa sababu wabunge waliokuwemo humu ndani wote wana vyama vya siasa ndivyo katiba yetu inavyosema na ndiyo katiba yetu inavyosema ile katiba hairuhusu mbunge ambae hana chama"
Kishoa: Mheshimiwa Spika hatujaondolewa kwenye chama, bado mimi ni mwanachama wa CHADEMA kwasababu tuko kwenye taratibu na tumekata rufaa na taratibu zinaendelea
Tulia: Mheshimiwa ngoja, waheshimiwa wabunge taarifa rasmi za Bunge ni kumbukumbu, umezungumza kabla ya sentesi yako ya sasakwamba kabla hujaondolewa kwenye chama chako, futa hiyo kauli kwanza halafu umalizie mchango wako kwasababu ndani ya bunge hili tutakuwa tunavunja katiba kama tutakuwa na wewe humu kama umeshaondolewa na chama chako
Kishoa: Mheshimiwa naibu spika nimefuta
Hoja ya Mbunge Jesca ilianzia kwenye haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na kukumbana na miongozo mingi kutoka kwa wabunge wakimtaka afute kauli. Kishoa amesema nchi ikiongozwa kwa matamko badala ya katiba itapotea.
Akifafanua kuhusu mikutano ya vyama vya kisiasa, Naibu spika amesema mikutano hiyo ipo kwenye katiba za vyama vya siasa na hufanyika kwa vipindi na sio ya hadhara akitolea mfano mkutano mkuu wa CCM uttakaofata utafanyika JK Convection centre na huo ndio unaitwa mkutano wa CCM lakini Rais akienda mahali unakuwa mkutano wa Rais na si CCM.
MY TAKE:
Je, CHADEMA haijatarifu bunge kuhusu kuwavua uwanachama Wabunge 19 wa CHADEMA?
Lawama zoote sasa atazibeeba Ndugaye naada ya boss wake kutangulia mbele ya haki.Kishoa ushaambiwa huwa chama humo sepa !! Nchi hii ina vituko aisee..huwezi amini. Huyo mwingine na yeye aliyetolewa gelezani usiku wa manane kuwahi saa mbili asubuhi kuuapia Ubunge - katulia as if nothing illegal happened.