Ukiwa muongo unapaswa kuwa na kumbukumbu sana (Liars must have a good memory). Bibi Tulia anadaia hajapata barua kutoka Chadema inayoonesha kuwa wanawake 19 walioko bungeni, walifukuzwa uanachama. Anasema wangekua wamefukuzwa wasingepaswa kuwepo bungeni maana ni kinyume cha Katiba.
Sasa tumemsaidia kumkumbusha kwamba barua ilitumwa na ilipokelewa ofisi ya Spika tarehe 1/12/2020 tena kwa dispach. Pia nakala ilitumwa NEC na kupokelewa kwa diapatch siku hiyohiyo 1/12/2020 saa saa 7:12 mchana.
Kwa kuwa Tulia ametamla kwamba ikiwa akina Kishoa wamefukuzwa uanachama hawapaswi kuwepo bungeni, basi apitie mafaili hapo ofisini ataona barua ya Chadema iliyotumwa 1/12/2020 halafu afanye maamuzi kwa mujibu wa Katiba.
Baada ya hapo jopo la wanasheria wa Chadema liwaburuze mahakamani Bwana Ndugai na Bibi Tulia kwa kutumia rasilimali za umma kulipa mishahara, posho na marupurupu kwa watu wasio wabunge kwa miezi 6. Huu ni uhujumu uchumi.!
Comment
Share
Sasa tumemsaidia kumkumbusha kwamba barua ilitumwa na ilipokelewa ofisi ya Spika tarehe 1/12/2020 tena kwa dispach. Pia nakala ilitumwa NEC na kupokelewa kwa diapatch siku hiyohiyo 1/12/2020 saa saa 7:12 mchana.
Kwa kuwa Tulia ametamla kwamba ikiwa akina Kishoa wamefukuzwa uanachama hawapaswi kuwepo bungeni, basi apitie mafaili hapo ofisini ataona barua ya Chadema iliyotumwa 1/12/2020 halafu afanye maamuzi kwa mujibu wa Katiba.
Baada ya hapo jopo la wanasheria wa Chadema liwaburuze mahakamani Bwana Ndugai na Bibi Tulia kwa kutumia rasilimali za umma kulipa mishahara, posho na marupurupu kwa watu wasio wabunge kwa miezi 6. Huu ni uhujumu uchumi.!
Comment
Share