Msigeuze wananchi kama kiwanda cha kulisha matumbp yenu
πView attachment 2363566
Wabunge wa CCM watapitisha huu upumbavu mwingineMsigeuze wananchi kama kiwanda cha kulisha matumbp yenu
πView attachment 2363566
NDIO think tank wa CCM hawaHuyu ni Mpumbavu
Mgonjwa huyuMsigeuze wananchi kama kiwanda cha kulisha matumbp yenu
[emoji116]View attachment 2363566
Wabunge wengi waliingia kwa vimemo. Tutegemee ndiyoooo tu. Pale bungeni Zungu anaonekana bonge la kipanga, kina building finance wanamuona Kama lecturer Fulani hivi. Kila atakalosema utasikia NDIOOOOOanaelewa "Internet" au anataja tu kama wale wanafunzi darasani wanaotaka kuonekana wajuaji sana!
bunge nalo liwe na wataalam wa "Internet" liweze kuwashauri vyema viongozi hawa wasiaibike!
kile kikao na kina Facebook na Ig kimeleta matunda gani?
Mkuu tindo sio vyema kumhusisha hayati mzalendo na masuala ya akina ZunguAlaaniwe dhalimu kwa kunajisi uchaguzi na kutuwekea hili bunge kibogoyo la wanakijani tupu. Kwanini hawasemi tuuze zile raslimali ambazo kila siku wanasema tunazo hadi wazungu wanatuonea wivu?
Huyu Nzungu, awaachie wataalamu wafanye kazi zao. Serikali inao wataalamu kama wakiwatumia vizuri wata ushauri serikali.Msigeuze wananchi kama kiwanda cha kulisha matumbp yenu
πView attachment 2363566
hoja yake haina afya kwa mustakabali wa maisha ya watanzaniaMsigeuze wananchi kama kiwanda cha kulisha matumbo yenu
πView attachment 2363566