Naibu Spika Zungu madaraka yamekulevya. Unataka wananchi wakatwe tozo zipi za intaneti wakati tunanunua salio na kukatwa tozo?

Kazi tunayo safari hii,pepo la tozo limetung'ang'ania.
Alafu Dada yao anavyoteua vibabu kurudi serikalini kwa kasi,tutarajie utumbo mwingi sana awamu hii!
 
HIVI NAIBU SPIKA ANAKATWA TOZO/KODI

ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…